-
Sergey Lavrov: Marekani chanzo kikuu cha migogoro Mashariki ya Kati
Jul 17, 2019 21:57Sergey Lavrov, Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Russia amesema kuwa, Marekani ndio chanzo cha migogoro katika eneo la Mashariki ya Kati.
-
EU: Iran kupunguza uwajibikaji wake hakujakiuka JCPOA
Jul 16, 2019 03:26Mkuu wa Sera za Kigeni wa Umoja wa Ulaya amesema hatua ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ya kupunguza uwajibikaji wake katika makubaliano ya nyuklia haijakiuka pakubwa mapatano hayo ya JCPOA.
-
El Baradei akosoa siasa za Donald Trump dhidi ya Iran
Jul 13, 2019 06:41Mkurugenzi mkuu wa zamani wa Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Atomiki (IAEA) amekosoa vikali hatua ya serikali ya Rais Donald Trump wa Marekani ya kujiondoa katika makubaliano ya nyuklia ya JCPOA na vilevile sera za nchi hiyo dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.
-
JCPOA na Baraza la Magavana; juhudi za Ulaya katika kivuli cha undumakuwili wa Marekani
Jul 11, 2019 06:25Sambamba na kufanyika safari ya mshauri wa masuala ya kidiplomasia wa Rais Emmanuel Macron wa Ufaransa mjini Tehran, kikao cha Baraza la Magavana la Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Nyuklia kimefanyika mjini Vienna Austria kwa ombi la Marekani.
-
Hatua ya pili; kiwango cha urutubishaji urani ni cha kudhamini mahitaji ya Iran na sio ya JCPOA
Jul 08, 2019 07:14Baada ya kumalizika muhula wa kwanza wa siku 60 zilizotolewa na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kwa anchi za Ulaya ili zitekeleze ahadi zao za mapatano ya kimataifa ya nyuklia mashuhuri kama JCPOA, Tehran imetangaza kuanza hatua ya pili ya kupunguza ahadi zake kwa mujibu wa vipengee vya 26 na 36 vya mapatano hayo, kwa kuongeza kiwango cha urutubishaji wake wa madini ya urani.
-
Iran yaingia hatua ya pili ya kupunguza uwajibikaji wake kwa mujibu wa makubaliano ya nyuklia ya JCPOA
Jul 07, 2019 07:43Jamhuri ya Kiislamu ya Iran leo imetangaza kuanza kutekeleza hatua ya pili ya kupunguza uwajibikaji wake kwa mujibu wa makubaliano ya nyuklia ya JCPOA.
-
Ukosoaji wa Russia kuhusu mkinzano uliopo kati ya shaari na hatua za Ulaya katika kulinda makubaliano ya JCPOA
Jul 06, 2019 07:19Umoja wa Ulaya na Troika ya Ulaya inayoundwa na Ujerumani, Ufaransa na Uingereza ambazo ni nchi wanachama wa Ulaya katika kundi la 4+1 mara kwa mara zimekuwa zikisisitiza juu ya ulazima wa kulindwa makubaliano ya nyuklia ya JCPOA; na hata kudai kuwa zimeanzisha mfumo maalumu kwa lengo hilo. Pamoja na hayo, shaari na nara zinaotolewa na pande hizo za Ulaya zinakinzana na matendo yao.
-
Sisitizo la Russia la nafasi hasi ya vikwazo vya Marekani katika hatua za hivi karibuni za Iran
Jul 05, 2019 23:36Russia ambayo ni moja ya wanachama muhimu wa kundi la 4+1 la mapatano ya nyuklia ya JCPOA imesisitizia haja ya kuendelezwa mapatano hayo kwa hali yoyote ile.
-
Zarif: Hatua ya Iran kupunguza ahadi ilizojifunga nazo itazuia JCPOA kuvunjika kikamilifu
Jul 05, 2019 02:54Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ameashiria ukiukaji ahadi wa madola ya Ulaya katika kutekeleza makubaliano ya nyuklia ya Iran na kueleza bayana kwamba, hatua ya kupunguza ahadi ilizojifunga nazo Iran kwa mujibu wa mapatano hayo inachukuliwa kwa shabaha ya kuzuia JCPOA isivunjike kikamilifu.
-
Uhispania: Iran haijavunja hata mara moja mapatano ya JCPOA
Jul 03, 2019 22:12Waziri wa Mambo ya Nje wa Uhispania ambaye anatarajiwa kuchukua nafasi ya Federica Mogherini, Mkuu wa Sera za Kigeni wa Umoja wa Ulaya amesisitiza kuwa, uamuzi wa hivi karibuni wa Iran haujavunja vipengee vya mapatano ya nyuklia ya JCPOA na kimsingi hilo ni suala la kiufundi.