-
Hatua mpya ya Marekani dhidi ya makubaliano ya JCPOA
May 04, 2019 06:38Makubaliano ya nyuklia ya JCPOA ni makubaliano muhimu sana katika fremu ya kulinda amani na usalama wa kimataifa; hata hivyo tarehe 8 mwezi Mei mwaka jana Marekani ilijitoa kwenye makubaliano hayo. Serikali ya Trump mwezi Agosti na Novemba mwaka 2018 katika marhala mbili iliiwekea tena Iran vikwazo vya nyuklia; na ingali inaendeleza mashinikizo ya vikwazo dhidi ya Tehran.
-
Tahadhari ya Katibu Mkuu wa OPEC kuhusu taathira hasi za kuiwekea Iran vikwazo vya mafuta
May 03, 2019 23:08Hatua ya serikali ya Marekani kuiwekea Iran vikwazo vya mafuta baada ya kujiondoa katika mapatano ya nyuklia ya JCPOA imekabiliwa na upinzani mkali kutoka kwa wanunuzi wa mafuta ghafi ya petroli ya Iran katika soko la kimataifa na pia kutoka kwa wakuu wa Shirika la Nchi Zinazouza Mafuta kwa Wingi Duniani (OPEC).
-
Kamati ya Nyuklia ya Iran: Tutajiondoa NPT, JCPOA iwapo tutaendelea kuwekewa vikwazo
May 01, 2019 03:07Mwenyekiti wa Kamati ya Nyuklia ya Majilisi ya Ushauri ya Kiislamu (Bunge la Iran) amesema iwapo taifa hili litaendelea kukabiliwa na vikwazo, basi Tehran itajitoa katika Mkataba wa Kuzuia Uzalishaji na Uenezaji wa Silaha za Atomiki (NPT) sambamba na makubaliano ya nyuklia ya JCPOA.
-
Zarif: Vikwazo havitabadilisha sera za Iran
Apr 24, 2019 23:12Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesema: "Sera za Jamhuri ya Kiislamu ya Iran hazitabadilishwa kwa vikwazo."
-
Sisitizo jipya la Ufaransa la kuheshimu mapatano ya JCPOA
Apr 16, 2019 21:56Mpango Kamili wa Pamoja wa Utekelezaji (JCPOA) ulitiwa saini kati ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na kundi la 5+1 mnamo tarehe 14 Julai 2015, na kuanza kutekelezwa rasmi tarehe 16 Januari 2016.
-
Zarif: Nchi za Ulaya zimezembea sana katika kutekeleza ahadi zao za mapatano ya JCPOA
Apr 14, 2019 10:17Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesema nchi za Umoja wa Ulaya zimezembea sana katika kutekeleza ahadi zao katika mpatano ya nyuklia ya Mpango Kamili wa Pamoja wa Utekekelzwaji (JCPOA), na kuongeza kuwa: "Nchi za Ulaya hazipaswi kudhani kuwa Iran itaendelea kuzisuburi"
-
China na Umoja wa Ulaya zatangaza tena kuunga mkono mapatano ya nyuklia ya JCPOA
Apr 12, 2019 10:49Mapatano ya kimataifa ya nyuklia ya Iran maarufu kama Mpango Kamili wa Pamoja wa Utekelezwaji (JCPOA) yanahesabiwa kuwa mapatano muhimu sana katika fremu ya usalama na amani ya kimataifa. Lakini pamoja na hayo, mnamo Mei 8 mwaka 2018, Marekani ilichukua uamuzi wa pande moja na kujiondoa katika mapatano hayo.
-
Siku ya Kitaifa ya Teknolojia ya Nyuklia Iran
Apr 09, 2019 07:43Tarehe 20 Farvardin Inasadifiana na "Siku ya Kitaifa ya Teknolojia ya Nyuklia" nchini Iran. Katika siku kama hii mwaka 1385 Hijria Shamsia sawa na Aprili 9 2006, wanasayansi na wasomi Wairani walifanikiwa kukamilisha mzunguko wa utegenezaji fueli ya nyuklia katika maabara.
-
Qassemi: Kuzusha masuala yasiyoendana na uhalisia wa mambo hakuwezi kuathiri azma na irada ya taifa la Iran
Apr 07, 2019 11:23Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amekemea misimamo isiyoendana na uhalisia wa mambo ya nchi wanachama wa G7 na kusisitizia nafasi chanya ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika kuimarisha uthabiti, amani na kupambana na ugaidi katika eneo la Magharibi ya Asia pamoja na mpango wake wa makombora kwa ajili ya ulinzi na malengo ya amani.
-
Madai ya Pompeo ya eti kuunga mkono hatua za IAEA kuhusiana na JCPOA
Apr 05, 2019 08:46Makubaliano ya nyuklia, yajulikanayo kama Mpango Kamili wa Pamoja wa Utekelezaji (JCPOA) yanahesabiwa kuwa ni makubaliano muhimu sana kwa ajili ya kudumisha amani na usalama wa kimataifa; lakini Marekani imekuwa ikiyachimba kwa dhamira ya kuyasambaratisha, hasa kutokana na hatua iliyochukuliwa na nchi hiyo tarehe 8 Mei, 2018 ya kutangaza kujitoa kwenye makubaliano hayo ya kimataifa.