-
Mfumo wa kifedha wa SPV; ahadi nyingine, mara hii kutoka katika kinywa cha Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Ufaransa
Jan 25, 2019 01:06Juhudi za madola ya Ulaya za kuanzisha mfumo wa kifedha kati ya Ulaya na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kwa shabaha ya kuyalinda makubaliano ya nyuklia ya Mpango Kamili wa Pamoja wa Utekelezaji JCPOA, bado haziiridhishi Tehran, na madola hayo yangali yanafanya harakati kwa kusitasita na kwa kigugumizi katika uwanja huo.
-
Jean-Yves Le Drian: Mfumo wa SPV utaanza kufanya kazi hivi karibuni
Jan 24, 2019 04:24Jean-Yves Le Drian, Waziri wa Mambo ya Nje wa Ufaransa amesema kuwa kuna uwezekano wa mfumo wa kifedha kati ya Ulaya na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, kuanza kufanya kazi siku chache zijazo.
-
Russia yaamua kususia mkutano wa Marekani wa Warsaw
Jan 24, 2019 00:35Ikiwa ni katika fremu ya malengo yake inayoyafuatilia katika eneo la Mashariki ya Kati, Marekani ina mpango wa kuitisha mkutano hapo tarehe 13 na 14 mwezi ujao wa Februari huko Warsaw mji mkuu wa Poland chini ya anwani ya "Mkutano wa Amani na Usalama katika Mashariki ya Kati".
-
Qassemi: Iran ingali imefungamana na makubaliano ya nyuklia JCPOA
Jan 13, 2019 04:06Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amekanusha uvumi kwamba Tehran imejiondoa katika makubaliano ya nyuklia yanayofahamika kwa kifupi kama JCPOA.
-
Ukosoaji wa Russia kwa EU kwa kufeli mtihani wa kutekeleza kivitendo makubaliano ya JCPOA
Jan 12, 2019 04:43Makubaliano ya nyuklia, yanayojulikana kama Mpango Kamili wa Pamoja wa Utekelezaji (JCPOA) ni makubaliano muhimu sana katika uga wa kudumisha amani na usalama wa kimataifa. Lakini uamuzi iliochukuliwa na Marekani mnamo mwezi Mei 2018 wa kujitoa kwenye JCPOA, ulikuwa hatua hasi iliyotekelezwa kwa nia ya kuyasambaratisha makubaliano hayo.
-
Russia: EU haijafuzu mtihani wa utekelezaji kivitendo makubaliano ya nyuklia ya JCPOA
Jan 12, 2019 00:00Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Russia amesema, Umoja wa Ulaya haujafaulu mtihani wa kuonyesha kuwa uko huru kivitendo katika kutekeleza makubaliano ya nyuklia ya JCPOA.
-
Zarif: Iran haitazisubiri nchi za Ulaya
Jan 08, 2019 04:12Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesema, Tehran inafanya mazungumzo na washirika wake wa jadi kwa ajili ya kudhamini maslahi ya watu wa Iran.
-
Mogherini: EU haitairuhusu Marekani iingilie uhusiano wake na Iran
Jan 02, 2019 11:47Mkuu wa Sera za Kigeni wa Umoja wa Ulaya amesema Marekani haiwezi na haipaswi kuitwisha EU sera zake na kwamba umoja huo wenye nchi wanachama 28 hautairuhusu Washington iufanyie maamuzi juu ya uhusiano wake wa kibiashara na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.
-
Iran: Ulaya haina nia ya kweli ya kukabiliana na mashinikizo ya Marekani + Video
Dec 31, 2018 11:43Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, Ulaya imeonesha kivitendo kuwa haina nia ya kweli ya kukabiliana na mashinikizo ya Marekani.
-
Zarif: Vikwazo vya Marekani kamwe haviwezi kubadilisha siasa za Iran + Video
Dec 16, 2018 04:18Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, vikwazo vya kiuchumi vilivyowekwa na Marekani dhidi ya nchi yake vitashindwa tu na kamwe havitoweza kubadilisha siasa za Tehran.