-
Ijumaa, Novemba 24, 2017
Nov 23, 2017 23:08Leo ni Ijumaa tarehe 5 Mfunguo Sita Rabiul Awwal 1439 Hijria sawa na Novemba 24, 2017 Milaadia
-
Ripoti mpya ya IAEA yathibitisha kufungamana Iran na makubaliano ya JCPOA
Nov 23, 2017 10:55Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Nyuklia (IAEA) kwa mara nyingine tena umethibitisha katika ripoti yake mpya ya msimu kuwa Iran imetekeleza majukumu yake kuhusu makubaliano ya JCPOA.
-
EU: Hakuna uwezekano wa kujadiliwa upya makubaliano ya nyuklia ya Iran
Nov 21, 2017 10:48Afisa mwandamizi wa taasisi moja ya Umoja wa Ulaya amesema hakuna uwezekano wala mpango wowote wa kuyadili upya makubaliano ya nyuklia ya Iran.
-
Ukiukaji wa makubaliano ya JCPOA na tabia ya Marekani ya kutotekeleza majukumu yake
Nov 19, 2017 13:34Mwenendo wa Marekani wa kukiuka makubaliano ya kimataifa ya nyuklia ya Iran JCPOA kwa kifupi umeingia katika awamu mpya baada ya matamshi yaliyotolewa na Rais wa nchi hiyo, Donald Trump.
-
Iran: Ripoti mpya ya IAEA inakinzana na madai hewa ya Marekani kuhusu JCPOA
Nov 14, 2017 01:09Balozi wa Iran katika Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Nyuklia (IAEA) amesema ripoti ya hivi punde ya wakala huo sanjari na kuthibitisha kuwa Tehran imefungamana na makubaliano ya nyuklia ya Vienna, lakini pia imekinzana na tuhuma zisizo na msingi zilizotolewa na Washington kuhusu mapatano hayo ya kimataifa.
-
EU yapinga takwa la Marekani la kutaka mazungumzo mapya kuhusu mapatano ya nyuklia ya Iran
Nov 09, 2017 00:19Mkuu wa Sera za Kigeni katika Umoja wa Ulaya Federica Mogherini amesisitiza kuwa haiwezekani kufanya mazungumzo mpya kuhusu mapatano ya nyuklia ya Iran yajulikanayo kama Mpango Kamili wa Pamoja wa Utekelezwaji JCPOA.
-
Salehi: Marekani inafanya njama za kufuta makubaliano ya JCPOA
Nov 04, 2017 23:40Mkuu wa Taasisi ya Nishati ya Nyuklia ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesisitiza kuwa Marekani inataka kuyasambaratisha makubaliano ya nyuklia ya JCPOA kwa gharama za Iran.
-
Ayatullah Kermani: Marekani ni kinara wa jinai, mipango ya Trump ni ya kipumbavu
Nov 03, 2017 10:51Khatibu wa Sala ya Ijumaa iliyosaliwa leo Tehran amesema Wamarekani ni wenye kuvunja ahadi na kuongeza kuwa, Marekani ni kinara wa uhaini na jinai zote duniani.
-
Marais Putin na Macron: Kupitia upya makubaliano ya JCPOA ni jambo lisilokubalika
Nov 03, 2017 01:02Rais Vladmir Putin wa Russia na Emmanuel Macron wa Ufaransa wamesema kuwa, kuangaliwa upya makubaliano ya nyuklia ya Iran JCPOA, ni jambo lisilokubalika.
-
Larijani: Nchi zinazodai kutetea haki za binadamu zina rekodi mbaya katika uwanja huo
Oct 25, 2017 03:56Katibu wa Tume ya Haki za Binadamu ya Idara ya Mahakama nchini Iran amesema kuwa nchi zinazodai kutetea haki za binadamu ikiwemo Marekani zina faili chafu sana katika uwanja wa haki za binadamu na mikono yao imejaa damu za watu wa eneo la Mashariki ya Kati hususan huko Yemen, Iraq, Bahrain na Syria.