-
Iran katu haitafanya mazungumzo kuhusu uwezo wake wa makombora
Oct 24, 2017 01:01Mkuu wa Vyombo vya Mahakama nchini Iran amesisitiza kuwa, Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katu haitafanya mazungumo yoyote kuhusu makombora yake ya kujihami.
-
Dakta Velayati: Siasa za Uholanzi na Marekani kuhusu JCPOA zinatofautiana
Oct 22, 2017 10:30Mshauri wa Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu katika masuala ya kimataifa amesema katika mazungumzo yake hapa mjini Tehran na ujumbe wa kibunge wa Uholanzi kwamba, siasa za Uholanzi na Marekani kuhusiana na makubaliano ya nyuklia ya JCPOA zinatofautiana.
-
Zarif: Marekani inapasa kutekeleza makubaliano ya JCPOA
Oct 21, 2017 13:23Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesisitiza kuwa Marekani inapasa kufanya jitihada za kutekeleza majukumu yake kuhusu makubaliano ya nyuklia ya JCPOA kama inavyofanya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.
-
Iran haitafanya mazungumzo kuhusu uwezo wake wa makombora
Oct 19, 2017 04:16Afisa wa ngazi za juu wa kijeshi nchini Iran amesema Jamhuri ya Kiislamu ya Iran haitafanya mazungumzo kuhusu uwezo wake mkubwa wa makombora.
-
Antonio Guterres: Makubaliano ya nyuklia ya JCPOA yanapaswa kuheshimiwa
Oct 19, 2017 00:50Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa amesisitiza kuwa, makubaliano ya nyuklia yanayojulikana kama Mpango Kamili wa Pamoja wa Utekelezaji JCPOA kwa kifupi, yanapaswa kulindwa na kutekelezwa na kuongeza kuwa, makubaliano hayo ya kimataifa ni muhimu na ya lazima kwa ajili ya kulinda usalama na uthabiti wa dunia.
-
Kiongozi Muadhamu: Kama upande wa pili utayachana makubaliano ya JCPOA, Iran itayararua vipande vipande
Oct 18, 2017 11:51Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesisitiza kuwa, Iran haitayachana makubaliano ya nyuklia ya JCPOA maadamu upande wa pili haujayachana, lakini kama upande huo utayachana, basi Jamhuri ya Kiislamu ya Iran itayararua vipande vipande makubaliano hayo.
-
Mogherini: JCPOA ni ushindi kwa ulimwengu na kwa wananchi wa Iran
Oct 17, 2017 23:55Mkuu wa Sera za Nje wa Umoja wa Ulaya amesisitiza kwa mara nyengine tena umuhimu wa makubaliano ya nyuklia ya JCPOA na ulazima wa kuyalinda na ameeleza kwamba: kwa makubaliano haya ya kimataifa, ulimwengu pamoja na wananchi wa Iran wamepata ushindi.
-
Uungaji mkono wa Umoja wa Afrika kwa makubaliano ya nyuklia ya JCPOA
Oct 17, 2017 09:28Mkuu wa Kamisheni ya Umoja wa Afrika amesisitiza kuwa, umoja huo unaunga mkono kikamilifu makubaliano ya nyuklia yanayojulikana kama Mpango Kamili wa Pamoja wa Utekelezaji JCPOA.
-
Umoja wa Ulaya wasisitiza utekelezwaji kikamilifu mapatano ya nyuklia ya Iran
Oct 17, 2017 04:36Mawaziri wa Mambo ya Nje wa Umoja wa Ulaya Jumatatu baada ya kumalizika kikao chao mjini Luxembourg walitoa taarifa na kutuangaza kuunga mkono na kuendeleza ushirikiano kuhusu mapatano ya nyuklia ya Iran yanayojulikana kama Mpango Kamili wa Pamoja wa Utekelezwaji, JCPOA.
-
Rais Rouhani: Marekani imetengwa kwa hatua yake ya kuvuruga mapatano ya nyuklia
Oct 17, 2017 02:40Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema, kubakia Marekani peke yake kufuatia hatua yake ya kuvuruga mapatano ya nyuklia ya Iran yajulikanayo kama Mpango Kamili wa Pamoja wa Utekelezwaji, JCPOA ni kati ya mafanikio ya Iran