Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

jinai za kivita

  • UN: Mashambulizi ya Marekani nchini Syria ni sawa na jinai za kivita

    UN: Mashambulizi ya Marekani nchini Syria ni sawa na jinai za kivita

    Sep 12, 2019 03:24

    Umoja wa Mataifa umetangaza kuwa, mashambulizi yanayofanywa na Marekani na washirika wake huko Syria ni sawa na jinai za kivita.

  • Ripoti ya UN: Marekani, Uingereza na Ufaransa zinahusika kutenda jinai za kivita nchini Yemen

    Ripoti ya UN: Marekani, Uingereza na Ufaransa zinahusika kutenda jinai za kivita nchini Yemen

    Sep 04, 2019 08:10

    Wachunguzi wa Umoja wa Mataifa wameandaa orodha ya siri ya watuhumiwa wa kimataifa waliohusika na jinai za kivita nchini Yemen inayoonyesha kuwa Marekani na nchi kadhaa za Ulaya zimehusika pia katika jinai hizo kwa kuuzuia silaha muungano vamizi wa kijeshi unaoongozwa na Saudi Arabia.

  • Shirika la Haki za Binadamu Barani Ulaya: Uhalifu wa Israel dhidi ya Palestina ni jinai za kivita

    Shirika la Haki za Binadamu Barani Ulaya: Uhalifu wa Israel dhidi ya Palestina ni jinai za kivita

    Jul 09, 2019 22:02

    Shirika la Haki za Binadamu Barani Ulaya na Mediterania limetangaza kuwa, uhalifu unaofanywa na Israel dhidi ya haki za Wapalestina ni jinai za kivita na kuna haja ya kuwepo usimamizi makhsusi wa kufuatilia jinai hizo.

  • Answarullah: Nchi zinazoishambulia Yemen zinatekeleza jinai zilizoratibiwa kimataifa

    Answarullah: Nchi zinazoishambulia Yemen zinatekeleza jinai zilizoratibiwa kimataifa

    Jun 08, 2019 22:36

    Harakati ya Answarullah ya nchini Yemen imetoa radiamali yake kufuatia shambulizi la vibaraka wa Imarati dhidi ya Waislamu waliokuwa wanaswali msikitini katika mkoa wa Ad Dali na kusema kuwa, jinai hiyo ni moja ya jinai zilizoratibiwa kimataifa.

  • Radiamali ya Donald Trump kwa uamuzi wa Mahakama ya Kimataifa ya Jinai ICC

    Radiamali ya Donald Trump kwa uamuzi wa Mahakama ya Kimataifa ya Jinai ICC

    Apr 14, 2019 03:32

    Rais Donald Trump wa Marekani ambaye alishika hatamu za uongozi wa nchi hiyo Januari mwaka 2017, ameamua kuchukua mkondo wa kupuuza, kukosoa na kujiondoa katika asasi na jumuiya za kimataifa.

  • Madai ya Muungano wa Kimarekani ya eti kupambana na ugaidi, urongo mkubwa wa karne

    Madai ya Muungano wa Kimarekani ya eti kupambana na ugaidi, urongo mkubwa wa karne

    Mar 18, 2019 23:36

    Serikali ya Syria imeutuhumu muungano eti wa kimataifa wa kupambana na Daesh unaoongozwa na Marekani kuwa umefanya jinai za kivita.

  •  Pompeo: Marekani itawanyima viza majaji wa mahakama ya ICC

    Pompeo: Marekani itawanyima viza majaji wa mahakama ya ICC

    Mar 16, 2019 01:13

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani amesema kuwa, nchi hiyo itawawekea marufuku ya viza ya kuingia Marekani maafisa wa Mahakama ya Kimataifa ya Jinai watakaotaka kuwasaili na kuwachunguza wanajeshi wa nchi hiyo wanaotuhumiwa kufanya jinai za kivita huko Afghanistan.

  • Jumuiya ya Nchi za Kiarabu yaunga mkono ripoti ya UN kuhusu jinai za Israel

    Jumuiya ya Nchi za Kiarabu yaunga mkono ripoti ya UN kuhusu jinai za Israel

    Mar 01, 2019 04:43

    Jumuiya ya Nchi za Kiarabu, Arab League, imeunga mkono ripoti ya hivi karibuni ya Umoja wa Mataifa kuhusu jinai ambazo zinatendwa na utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Wapalestina katika Ukanda wa Ghaza.

  • Mwaka 2019, mwaka mbaya zaidi kwa haki za binaadamu nchini Bahrain

    Mwaka 2019, mwaka mbaya zaidi kwa haki za binaadamu nchini Bahrain

    Jan 20, 2019 22:02

    Kamati ya watu waliotiwa mbaroni katika Ukanda wa Pwani nchini Bahrain imetangaza kwamba, katika jela ya Jau nchini Bahrain, maafisa usalama wa utawala wa Aal-Khalifa na katika kulipiza kisasi dhidi ya wafungwa wa kesi za uhuru wa kujieleza, wanatekeleza siasa za kuwatesa kwa njaa wafungwa hao.

  • Amnesty International yaitaka Uhispania isishirikiane na Saudi Arabia katika jinai zake nchini Yemen

    Amnesty International yaitaka Uhispania isishirikiane na Saudi Arabia katika jinai zake nchini Yemen

    Sep 17, 2018 23:28

    Shirika la Msamaha Duniani la Amnesty International limeitaka serikali ya Uhispania iache kuiuzia silaha Saudi Arabia ili isitangazwe kuwa mmoja wa washirika wa utawala wa Aal Saud katika jinai za kivita huko nchini Yemen.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS