Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

jinai za kivita

  •  Pompeo: Marekani itawanyima viza majaji wa mahakama ya ICC

    Pompeo: Marekani itawanyima viza majaji wa mahakama ya ICC

    Mar 16, 2019 04:43

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani amesema kuwa, nchi hiyo itawawekea marufuku ya viza ya kuingia Marekani maafisa wa Mahakama ya Kimataifa ya Jinai watakaotaka kuwasaili na kuwachunguza wanajeshi wa nchi hiyo wanaotuhumiwa kufanya jinai za kivita huko Afghanistan.

  • Jumuiya ya Nchi za Kiarabu yaunga mkono ripoti ya UN kuhusu jinai za Israel

    Jumuiya ya Nchi za Kiarabu yaunga mkono ripoti ya UN kuhusu jinai za Israel

    Mar 01, 2019 08:13

    Jumuiya ya Nchi za Kiarabu, Arab League, imeunga mkono ripoti ya hivi karibuni ya Umoja wa Mataifa kuhusu jinai ambazo zinatendwa na utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Wapalestina katika Ukanda wa Ghaza.

  • Mwaka 2019, mwaka mbaya zaidi kwa haki za binaadamu nchini Bahrain

    Mwaka 2019, mwaka mbaya zaidi kwa haki za binaadamu nchini Bahrain

    Jan 21, 2019 01:32

    Kamati ya watu waliotiwa mbaroni katika Ukanda wa Pwani nchini Bahrain imetangaza kwamba, katika jela ya Jau nchini Bahrain, maafisa usalama wa utawala wa Aal-Khalifa na katika kulipiza kisasi dhidi ya wafungwa wa kesi za uhuru wa kujieleza, wanatekeleza siasa za kuwatesa kwa njaa wafungwa hao.

  • Amnesty International yaitaka Uhispania isishirikiane na Saudi Arabia katika jinai zake nchini Yemen

    Amnesty International yaitaka Uhispania isishirikiane na Saudi Arabia katika jinai zake nchini Yemen

    Sep 18, 2018 03:58

    Shirika la Msamaha Duniani la Amnesty International limeitaka serikali ya Uhispania iache kuiuzia silaha Saudi Arabia ili isitangazwe kuwa mmoja wa washirika wa utawala wa Aal Saud katika jinai za kivita huko nchini Yemen.

  • HRW: Serikali na wanaotaka kujitenga wamehusika na jinai Cameroon

    HRW: Serikali na wanaotaka kujitenga wamehusika na jinai Cameroon

    Jul 21, 2018 01:18

    Shirika la kutetea haki za binadamu la Human Rights Watch limesema jeshi la serikali na kundi linalotaka kujitenga eneo la watu wanaozungumza Kiingereza Cameroon wamehusika katika mauaji na jinai nyingine za kutisha nchini humo.

  • Kwa mara ya pili mfululizo, Saudia yawekwa kwenye orodha nyeusi ya nchi zinazokiuka haki za watoto duniani

    Kwa mara ya pili mfululizo, Saudia yawekwa kwenye orodha nyeusi ya nchi zinazokiuka haki za watoto duniani

    Jul 05, 2018 02:41

    Kamanda wa muungano wa wavamizi wa Yemen unaoongozwa na Saudi Arabia amekanusha ripoti ya Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa inayosisitiza kuwa muungano huo unaua watoto wadogo wa Yemen.

  • Ansarullah: Umoja wa Mataifa unahalalisha uvamizi wa Saudia na waitifaki wake Yemen

    Ansarullah: Umoja wa Mataifa unahalalisha uvamizi wa Saudia na waitifaki wake Yemen

    Jun 17, 2018 01:32

    Harakati ya Ansarullah nchini Yemen imetangaza kuwa, mwakilishi maalumu wa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa nchini humo hajafanya lolote la maana na anafanya juhudi za kuhalalisha uvamizi wa Yemen. Taarifa ya harakati hiyo imesisitiza kuwa, utendaji wa mwakilishi wa sasa wa Katibu Mkuu wa UN nchini Yemen hautofautiani na ule wa mwakilishi wa kabla yake.

  • Saudia yaendelea kutumia silaha zilizopigwa marufuku nchini Yemen

    Saudia yaendelea kutumia silaha zilizopigwa marufuku nchini Yemen

    Jun 15, 2018 06:50

    Ndege za kivita za Saudi Arabia zimelishambulia eneo la Khadhrawan katika mkoa wa Sa'ada kwa kutumia mabomu ya vishada yaliyopigwa marufuku kimataifa.

  • Mohammad bin Salman; baina ya kulewa madaraka na jinamizi la kuhukumiwa kwa jinai zake

    Mohammad bin Salman; baina ya kulewa madaraka na jinamizi la kuhukumiwa kwa jinai zake

    Jan 21, 2018 13:27

    Msemaji wa shirika la kutetea haki za binaadamu la Human Rights Watch, amelitaka Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa lianze kumfuatilia kisheria na kumchukulia hatua Mohammad bin Salman bin Abdulaziz Al Saud, Mrithi wa Kiti cha Ufalme na Waziri wa Ulinzi wa Saudia kutokana na jinai za kivita anazozitenda nchini Yemen

  • Kushtadi mauaji ya Saudi Arabia ikishirikiana na Marekani dhidi ya wananchi wa Yemen

    Kushtadi mauaji ya Saudi Arabia ikishirikiana na Marekani dhidi ya wananchi wa Yemen

    Dec 30, 2017 08:09

    Mratibu wa masuala ya kibinadamu wa Umoja wa Mataifa nchini Yemen amekosoa vikali kuendelea kuuawa kiholela raia katika nchi hiyo, mauaji ambayo yamekuwa yakifanywa na muungano wa kijeshi unaoongozwa na Saudi Arabia.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS