-
Kuuawa watoto; mhimili wa jinai za Saudi Arabia nchini Yemen
Dec 27, 2017 02:41Mfuko wa Watoto wa Umoja wa Mataifa (UNICEF) umeashiria maafa makubwa ya vita vya Saudi Arabia dhidi ya Yemen na kuipa hujuma hiyo ya kijeshi ya Aal Saud jina la "Vita Dhidi ya Watoto".
-
Amnesty yailaani UN kwa kujaribu kudunisha jinai za Saudia nchini Yemen
Oct 08, 2017 02:41Shirika la Kutetea Haki za Binadamu la Amnesty International limeulaani Umoja wa Mataifa kwa kujaribu kudunisha jinai za muungano wa Saudi Arabia dhidi ya watoto wa Yemen katika vita dhidi ya nchi hiyo masikini ya Kiarabu.
-
Indhari ya Yemen kwa utawala haramu wa Israel baada ya kuipatia Saudia kambi zake za kijeshi
Sep 30, 2017 08:04Naibu msemaji wa jeshi la Yemen ameonya kwamba, kambi za kijeshi za utawala haramu wa Kizayuni wa Israel zilizoko katika visiwa vya Eritrea katikati ya Bahari Nyekundu, zinatumiwa na Saudia kwa ajili ya kufyatua makombora kuishambulia Yemen.
-
Mauaji ya silaha za kibiolojia dhidi ya Wayemen, kilele cha unyama wa Marekani na Saudia
Aug 02, 2017 08:04Kila siku moja inayopita ya vita vya Saudi Arabia dhidi ya watu wa Yemen, kunadhihirika sura mpya na ya kikatili zaidi ya mauaji ya kimbari yanayofanyika nchini humo, na sasa baada ya kutumia silaha zilizopigwa marufuku kama zile za vishada kuua raia wasio na hatia wa Yemen, Aal Saud na washirika wao wanatumia silaha ya kibiolojia kufanya maangamizi ya wanadamu.
-
Nafasi ya kipekee ya Saudia katika kuenea fikra za Kiwahabi duniani
Jun 02, 2017 13:30Abdul Malik al Houthi, Katibu Mkuu wa harakati ya Answarullah ya Yemen ametangaza kuwa, nchi ambayo hivi sasa inaongoza fikra za Kiwahabi na kuzieneza katika nchi mbalimbali duniani, ni Saudi Arabia.
-
Utupiaji jicho jinai za Israel katika kuwachukua mateka Wapalestina
Apr 16, 2017 12:16Jumuiya ya Masuala ya Mateka na Watu Walioachiliwa Huru ya Palestina imetangaza kuwa, idadi ya mateka wa Kipalestina wanaoshikiliwa katika korokoro za utawala ghasibu wa Israel imefikia 6,500.
-
Saudi Arabia yawafanya Wayemen "mapanya" wa majaribio ya mabomu na silaha hatari
Apr 12, 2017 03:52Naibu Mwenyekiti wa Baraza Kuu la Siasa nchini Yemen amesema kuwa, Saudi Arabia na washirika wake wa Kimagharibi na Kiarabu wameifanya Yemen kuwa medani ya majaribio ya mabomu na silaha zenye uharibifu mkubwa.
-
Maandamano ya wananchi wa Syria ya kulaani jinai za Marekani
Apr 09, 2017 02:38Wananchi wa Syria wamefanya maandamano katika mitaa ya Damascus mji mkuu wa nchi hiyo kulaani mashambulizi ya Marekani katika kituo cha jeshi la anga cha nchi hiyo.
-
Siku ya Mtoto wa Palestina na mauaji ya Israel dhidi ya watoto
Apr 05, 2017 12:55Jumatano ya leo tarehe 5 Aprili Wapalestina wameadhimisha Siku ya Mtoto wa Palestina huku askari wa utawala wa Kizayuni wa Israel wakiendelea kufanya mauaji na ukatili wa kutisha dhidi ya watoto katika ardhi zinazokaliwa kwa mabavu za Palestina.
-
Iran yataka Marekani ishtakiwe kwa jinai za kivita baada ya mauaji ya Mosul
Mar 27, 2017 02:43Afisa wa ngazi za juu nchini Iran amesema kuwa, hujuma za ndege za kivita za Marekani katika mji wa Mosul, Iraq ambazo zimeua idadi kubwa ya raia, ni jinai za kivita.