Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

jinai za kivita

  • Kuuawa watoto; mhimili wa jinai za Saudi Arabia nchini Yemen

    Kuuawa watoto; mhimili wa jinai za Saudi Arabia nchini Yemen

    Dec 27, 2017 02:41

    Mfuko wa Watoto wa Umoja wa Mataifa (UNICEF) umeashiria maafa makubwa ya vita vya Saudi Arabia dhidi ya Yemen na kuipa hujuma hiyo ya kijeshi ya Aal Saud jina la "Vita Dhidi ya Watoto".

  • Amnesty yailaani UN kwa kujaribu kudunisha jinai za Saudia nchini Yemen

    Amnesty yailaani UN kwa kujaribu kudunisha jinai za Saudia nchini Yemen

    Oct 08, 2017 02:41

    Shirika la Kutetea Haki za Binadamu la Amnesty International limeulaani Umoja wa Mataifa kwa kujaribu kudunisha jinai za muungano wa Saudi Arabia dhidi ya watoto wa Yemen katika vita dhidi ya nchi hiyo masikini ya Kiarabu.

  • Indhari ya Yemen kwa utawala haramu wa Israel baada ya kuipatia Saudia kambi zake za kijeshi

    Indhari ya Yemen kwa utawala haramu wa Israel baada ya kuipatia Saudia kambi zake za kijeshi

    Sep 30, 2017 08:04

    Naibu msemaji wa jeshi la Yemen ameonya kwamba, kambi za kijeshi za utawala haramu wa Kizayuni wa Israel zilizoko katika visiwa vya Eritrea katikati ya Bahari Nyekundu, zinatumiwa na Saudia kwa ajili ya kufyatua makombora kuishambulia Yemen.

  • Mauaji ya silaha za kibiolojia dhidi ya Wayemen, kilele cha unyama wa Marekani na Saudia

    Mauaji ya silaha za kibiolojia dhidi ya Wayemen, kilele cha unyama wa Marekani na Saudia

    Aug 02, 2017 08:04

    Kila siku moja inayopita ya vita vya Saudi Arabia dhidi ya watu wa Yemen, kunadhihirika sura mpya na ya kikatili zaidi ya mauaji ya kimbari yanayofanyika nchini humo, na sasa baada ya kutumia silaha zilizopigwa marufuku kama zile za vishada kuua raia wasio na hatia wa Yemen, Aal Saud na washirika wao wanatumia silaha ya kibiolojia kufanya maangamizi ya wanadamu.

  • Nafasi ya kipekee ya Saudia katika kuenea fikra za Kiwahabi duniani

    Nafasi ya kipekee ya Saudia katika kuenea fikra za Kiwahabi duniani

    Jun 02, 2017 13:30

    Abdul Malik al Houthi, Katibu Mkuu wa harakati ya Answarullah ya Yemen ametangaza kuwa, nchi ambayo hivi sasa inaongoza fikra za Kiwahabi na kuzieneza katika nchi mbalimbali duniani, ni Saudi Arabia.

  • Utupiaji jicho jinai za Israel katika kuwachukua mateka Wapalestina

    Utupiaji jicho jinai za Israel katika kuwachukua mateka Wapalestina

    Apr 16, 2017 12:16

    Jumuiya ya Masuala ya Mateka na Watu Walioachiliwa Huru ya Palestina imetangaza kuwa, idadi ya mateka wa Kipalestina wanaoshikiliwa katika korokoro za utawala ghasibu wa Israel imefikia 6,500.

  • Saudi Arabia yawafanya Wayemen

    Saudi Arabia yawafanya Wayemen "mapanya" wa majaribio ya mabomu na silaha hatari

    Apr 12, 2017 03:52

    Naibu Mwenyekiti wa Baraza Kuu la Siasa nchini Yemen amesema kuwa, Saudi Arabia na washirika wake wa Kimagharibi na Kiarabu wameifanya Yemen kuwa medani ya majaribio ya mabomu na silaha zenye uharibifu mkubwa.

  • Maandamano ya wananchi wa Syria ya kulaani jinai za Marekani

    Maandamano ya wananchi wa Syria ya kulaani jinai za Marekani

    Apr 09, 2017 02:38

    Wananchi wa Syria wamefanya maandamano katika mitaa ya Damascus mji mkuu wa nchi hiyo kulaani mashambulizi ya Marekani katika kituo cha jeshi la anga cha nchi hiyo.

  • Siku ya Mtoto wa Palestina na mauaji ya Israel dhidi ya watoto

    Siku ya Mtoto wa Palestina na mauaji ya Israel dhidi ya watoto

    Apr 05, 2017 12:55

    Jumatano ya leo tarehe 5 Aprili Wapalestina wameadhimisha Siku ya Mtoto wa Palestina huku askari wa utawala wa Kizayuni wa Israel wakiendelea kufanya mauaji na ukatili wa kutisha dhidi ya watoto katika ardhi zinazokaliwa kwa mabavu za Palestina.

  • Iran yataka Marekani ishtakiwe kwa jinai za kivita baada ya mauaji ya Mosul

    Iran yataka Marekani ishtakiwe kwa jinai za kivita baada ya mauaji ya Mosul

    Mar 27, 2017 02:43

    Afisa wa ngazi za juu nchini Iran amesema kuwa, hujuma za ndege za kivita za Marekani katika mji wa Mosul, Iraq ambazo zimeua idadi kubwa ya raia, ni jinai za kivita.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS