Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

jinai za kivita

  • Nafasi ya kipekee ya Saudia katika kuenea fikra za Kiwahabi duniani

    Nafasi ya kipekee ya Saudia katika kuenea fikra za Kiwahabi duniani

    Jun 02, 2017 09:00

    Abdul Malik al Houthi, Katibu Mkuu wa harakati ya Answarullah ya Yemen ametangaza kuwa, nchi ambayo hivi sasa inaongoza fikra za Kiwahabi na kuzieneza katika nchi mbalimbali duniani, ni Saudi Arabia.

  • Utupiaji jicho jinai za Israel katika kuwachukua mateka Wapalestina

    Utupiaji jicho jinai za Israel katika kuwachukua mateka Wapalestina

    Apr 16, 2017 07:46

    Jumuiya ya Masuala ya Mateka na Watu Walioachiliwa Huru ya Palestina imetangaza kuwa, idadi ya mateka wa Kipalestina wanaoshikiliwa katika korokoro za utawala ghasibu wa Israel imefikia 6,500.

  • Saudi Arabia yawafanya Wayemen

    Saudi Arabia yawafanya Wayemen "mapanya" wa majaribio ya mabomu na silaha hatari

    Apr 11, 2017 23:22

    Naibu Mwenyekiti wa Baraza Kuu la Siasa nchini Yemen amesema kuwa, Saudi Arabia na washirika wake wa Kimagharibi na Kiarabu wameifanya Yemen kuwa medani ya majaribio ya mabomu na silaha zenye uharibifu mkubwa.

  • Maandamano ya wananchi wa Syria ya kulaani jinai za Marekani

    Maandamano ya wananchi wa Syria ya kulaani jinai za Marekani

    Apr 08, 2017 22:08

    Wananchi wa Syria wamefanya maandamano katika mitaa ya Damascus mji mkuu wa nchi hiyo kulaani mashambulizi ya Marekani katika kituo cha jeshi la anga cha nchi hiyo.

  • Siku ya Mtoto wa Palestina na mauaji ya Israel dhidi ya watoto

    Siku ya Mtoto wa Palestina na mauaji ya Israel dhidi ya watoto

    Apr 05, 2017 08:25

    Jumatano ya leo tarehe 5 Aprili Wapalestina wameadhimisha Siku ya Mtoto wa Palestina huku askari wa utawala wa Kizayuni wa Israel wakiendelea kufanya mauaji na ukatili wa kutisha dhidi ya watoto katika ardhi zinazokaliwa kwa mabavu za Palestina.

  • Iran yataka Marekani ishtakiwe kwa jinai za kivita baada ya mauaji ya Mosul

    Iran yataka Marekani ishtakiwe kwa jinai za kivita baada ya mauaji ya Mosul

    Mar 26, 2017 22:13

    Afisa wa ngazi za juu nchini Iran amesema kuwa, hujuma za ndege za kivita za Marekani katika mji wa Mosul, Iraq ambazo zimeua idadi kubwa ya raia, ni jinai za kivita.

  • Syria yalalamikia kushadidi jinai za Marekani

    Syria yalalamikia kushadidi jinai za Marekani

    Mar 23, 2017 10:55

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Syria katika kulalamikia jinai za muungano wa Marekani wa eti kupambana na magaidi wa ISIS au Daesh, imelitaka Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa kutekeleza majukumu yake na kusitisha mauaji ya raia na uharibifu unaofanywa na muungano wa kimataifa unaoongozwa na Marekani nchini Syria.

  • Kuendelea jinai za utawala wa Kizayuni na kutojali kwake ripoti za Umoja wa Mataifa

    Kuendelea jinai za utawala wa Kizayuni na kutojali kwake ripoti za Umoja wa Mataifa

    Mar 22, 2017 11:58

    Katika hali ambayo jinai na sera za kujipanua za utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya wananchi wa Palestina zinakabiliwa na malalamiko na upinzani wa walimwengu pamoja na jumuiya za kimataifa, utawala huo dhalimu umeamua kushadidisha mashambulio yake dhidi ya wananchi hao madhulumu.

  • Radiamali ya Umoja wa Mataifa kwa hatua zilizo dhidi ya ubinadamu za utawala wa Israel

    Radiamali ya Umoja wa Mataifa kwa hatua zilizo dhidi ya ubinadamu za utawala wa Israel

    Feb 27, 2017 23:13

    Umoja wa Mataifa umetangaza katika ripoti yake kwamba, katika kipindi cha majuma mawili yaliyopita, utawala wa Kizayuni wa Israel umebomoa makumi ya nyumba za Wapalestina katika Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan na hivyo kuwaacha Wapalestina wengine wakitangatanga kutokana na kutokuwa na makazi.

  • Udharura wa kuundwa kamati ya kutafuta ukweli kuhusu jinai za kivita za Saudi Arabia

    Udharura wa kuundwa kamati ya kutafuta ukweli kuhusu jinai za kivita za Saudi Arabia

    Feb 14, 2017 23:27

    Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Serikali ya Wokovu wa Kitaifa ya Yemen kwa mara nyingine tena sambamba na kumtaka Kamishna Mkuu wa Haki za Binadamu wa Umoja wa Mataifa kufanya safari nchini Yemen ili ashuhudie kwa karibu hali ya nchi hiyo ameitaka taasisi hiyo ya kimataifa iunde kamati huru ya kutafuta ukweli.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS