-
Utendaji dhaifu wa Jamii ya Kimataifa kuhusiana na maafa ya kibinadamu nchini Yemen
Feb 03, 2017 00:51Umoja wa Mataifa umesema unatiwa wasiwasi na hali ya usalama ya raia wa Yemen katika miji ya Dhubab na Almakha iliyoko kwenye mkoa wa Taiz. Kuhusiana na suala hilo, Jamie McGoldrick, Mratibu wa masuala ya kibinadamu wa Umoja wa Mataifa nchini Yemen ametoa taarifa na kutangaza kuwa ripoti kutoka maeneo hayo zinaonyesha kwamba operesheni za kijeshi zilizofanywa kwenye maeneo ya pwani ya miji ya Dhubab na Almakha zimewafanya wakaazi wake walazimike kuzihama nyumba zao.
-
UN: Saudi Arabia imetenda jinai kubwa za kivita nchini Yemen
Jan 31, 2017 00:40Umoja wa Mataifa umetangaza kuwa, Saudi Arabia imefanya jinai za kivita katika mashambulizi yake ya kijeshi nchini Yemen.
-
Kuendelea jinai za Saudia nchini Yemen kunatokana na uzembe wa Umoja wa Mataifa
Jan 27, 2017 23:19Akizungumza siku ya Alkhamisi katika Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa, Stephen O'Brien, Naibu Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa anayeshughulikia Masuala ya Kibinadamu na Misaada ya Dharura amesisitiza kwamba ndege za kivita za Saudi Arabia zingali zinaendesha hujuma ya kuwaua ovyo na kwa umati raia wa nchi jirani ya Yemen.
-
Ukuta wa uzio katika mpaka wa Gaza; dharau ya Israel kwa Baraza la Usalama la UN
Jan 11, 2017 11:30Wakati Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa limepitisha azimio nambari 2234 la kuutaka utawala wa Kizayuni wa Israel usimamishe ujenzi wa vitongoji katika ardhi za Palestina unazozikalia kwa mabavu, waziri wa vita wa utawala huo haramu ameafiki shauri la kujengwa ukuta wa uzio katika mipaka ya Ukanda wa Gaza.
-
Jinai za kivita Syria na jukumu la Katibu Mkuu mpya wa UN
Jan 06, 2017 23:49Katika radiamali yake ya kwanza kabisa kuhusiana na mgogoro wa Syria katika kipindi cha katibu mkuu António Guterres, Umoja wa Mataifa umelaani kitendo cha magenge ya kigaidi cha kuwakatia maji wananchi wa Damascus Syria na kusema hiyo ni jinai ya kivita.
-
HRW: Silaha za Marekani zinatumiwa na Saudia kutenda jinai za kivita Yemen
Dec 03, 2016 00:55Shirika la kutetea haki za binadamu la Human Rights Watch kwa mara nyingine limetoa wito kwa Marekani kusitisha uuzaji wake wa silaha kwa Saudi Arabia.
-
Marekani yatuhumiwa na ICC kutenda jinai za kivita Afghanistan
Nov 15, 2016 23:26Mwendesha Mashtaka Mkuu wa Mahakama ya Kimataifa ya Jinai ICC ametoa taarifa akiituhumu Marekani kwamba, imetenda jinai za kivita nchini Afghanistan.
-
Rais wa zamani wa Chad ahukumiwa kifungo cha maisha jela Senegal
May 30, 2016 11:12Mahakama maalumu nchini Senegal imemhukumu kifungo cha maisha jela mtawala wa zamani wa kijeshi wa Chad, Hissene Habre baada ya kumpata na hatia ya kuhusika na kutenda jinai dhidi ya binadamu, utesaji na utumwa wa ngono.
-
Maonyesho ya jinai za Saudia nchini Yemen
Apr 07, 2016 23:26Wananchi wa mji mkuu wa Yemen, Sana'a wamefanya maonyesho ya picha, michoro na mabango yanayoakisi jinai zinazoendelea kufanywa na utawala wa kifalme wa Saudi Arabia dhidi ya raia wa Yemen
-
Saudia yadondosha mabomu sokoni Yemen
Feb 27, 2016 22:57Ndege za kivita za Saudi Arabia Jumamosi zilidondosha mabomu katika soko moja lenye idadi kubwa ya watu katika mkoa wa Sana'a nchini Yemen.