-
EALA kuanza shughuli zake baada ya Kenya kuwateua wawakilishi wake
Dec 17, 2017 08:13Bunge la Afrika Mashariki EALA linatazamiwa kurejelea shughuli zake kuanzia kesho Jumatatu baada ya Kenya kuwateua wawakilishi wake katika chombo hicho cha kieneo.
-
Wakuu wa Ulinzi Afrika Mashariki wakutana Uganda
Nov 21, 2017 02:40Wataalamu wa masuala ya ulinzi kutoka nchi za Afrika Mashariki wanakutana nchini Uganda kujadili njia za kuimarisha amani na usalama kieneo.
-
Kenya yachelewesha kuanza vikao vya EALA tangu Juni 2017
Sep 22, 2017 08:04Hatua ya Kenya kutoteua wabunge wake wa Bunge la Afrika Mashariki EALA hadi sasa imechelewesha kuanza vikao vya chombo hicho cha kieneo.
-
EALA kusuluhisha uhasama kati ya Rwanda na Burundi
Aug 09, 2016 13:11Bunge la Afrika Mashariki EALA limesema karibuni hivi litaanza kuchunguza kwa shabaha ya kuupatia ufumbuzi mzozo na uhasama kati ya nchi jirani za Rwanda na Burundi.
-
Bunge la Afrika Mashariki lamuenzi Hafsa Mossi
Jul 21, 2016 13:52Bunge la Afrika Mashariki EALA limefanya kikao maalumu asubuhi ya leo mjini Arusha Tanzania, kwa ajili ya kumuenzi Hafsa Mossi, mwakilishi wa Burundi katika bunge hilo la kieneo ambaye aliuawa wiki jana mjini Bujumbura.
-
Kuungwa mkono duru ya pili ya mazungumzo ya serikali ya Burundi na wapinzani
Jul 10, 2016 12:34Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) imesema inaunga mkono kufanyika duru ya pili ya mazungumo kati ya serikali ya Burundi na wapinzani.
-
EALA yandaa muswada wa sheria ya kukabili ukeketaji
Jun 04, 2016 07:40Bunge la Afrika Mashariki EALA linaandaa muswada ambao ukipasishwa na kuwa sheria, utamaduni wa kuwakeketa mabinti na wanawake utapigwa marufuku katika nchi wanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki EAC.
-
Bunge la Afrika Mashariki laanza vikao Arusha, kujadili bajeti ya EAC
May 23, 2016 12:14Bunge la Afrika Mashariki EALA limeanza vikao vyake mjini Arusha nchini Tanzania hii leo, huku mjadala kuhusu bajeti ya Jumuiya ya Afrika Mashariki EAC ikiwa moja ya ajenda kuu katika vikao hivyo.
-
Sudan Kusini yapokewa rasmi katika Jumuiya ya Afrika Mashariki
Apr 16, 2016 07:28Ni rasmi sasa Sudan Kusini ni nchi mwanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki EAC. Hii ni baada ya Rais Salva Kiir wa nchi hiyo kusaini mkataba unaorasimisha nchi hiyo kujiunga na EAC katika mji mkuu wa kibiashara wa Tanzania, Dar es Salaam.
-
Nchi za Afrika Mashariki kuunda Jeshi la Pamoja
Mar 26, 2016 01:40Jumuiya ya Afrika Mashariki ,EAC, inakaribia kuunda jeshi la pamoja kwa lengo la kulinda taasisi muhimu za kiuchumi za nchi wanachama.