Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Jumuiya ya Nchi za Kiarabu

  • Imarati yakiri kwamba lilikuwa kosa kuiondoa Syria Arab League

    Imarati yakiri kwamba lilikuwa kosa kuiondoa Syria Arab League

    Jun 07, 2018 02:55

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Imarati amekiri wazi kwamba maamuzi ya kuiondoa Syria katika Jumuiya ya Nchi za Kiarabu (Arab League) yalikuwa makosa makubwa.

  • Akthari ya Walgeria wanataka nchi yao ijitoe kwenye Jumuiya ya Nchi za Kiarabu

    Akthari ya Walgeria wanataka nchi yao ijitoe kwenye Jumuiya ya Nchi za Kiarabu

    Jun 03, 2018 23:43

    Matokeo ya uchunguzi mpya wa maoni uliofanywa nchini Algeria yanaonyesha kuwa akthari ya raia wa nchi hiyo wanataka nchi yao ijiondoe kwenye Jumuiya ya Nchi za Kiarabu (Arab League).

  • Zarif: Baadhi ya nchi za Kiarabu hazishughulishwi kabisa na masuala ya ulimwengu wa Kiislamu

    Zarif: Baadhi ya nchi za Kiarabu hazishughulishwi kabisa na masuala ya ulimwengu wa Kiislamu

    May 18, 2018 10:12

    Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema baadhi ya nchi za Kiarabu zimejikurubisha na kujipendekeza kwa Marekani na utawala wa Kizayuni, na zimepuuza kabisa malengo na changamoto zinazoukabili ulimwengu wa Kiislamu.

  • Arab League yajitutumua, yataka kufanyika uchunguzi kuhusu jinai za Mazayuni

    Arab League yajitutumua, yataka kufanyika uchunguzi kuhusu jinai za Mazayuni

    May 17, 2018 23:45

    Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Nchi za Kiarabu ametaka kufanyika uchunguzi wa kimataifa kuhusiana na jinai za hivi karibuni za utawala katili wa Israel dhidi ya Wapalestina katika eneo la Ukanda wa Gaza.

  • Arab League yaitisha kikao cha dharura kujadili mauaji ya umati ya Wapalestina

    Arab League yaitisha kikao cha dharura kujadili mauaji ya umati ya Wapalestina

    May 16, 2018 03:00

    Huku nchi mbalimbali za dunia zikiendelea kulaani vikali mauaji ya umati yaliyofanywa na askari wa utawala bandia wa Israel dhidi ya Wapalestina katika Ukanda wa Gaza, Jumuiya ya Nchi za Kiarabu imeaitisha kikao cha dharura kujadili ukatili huo.

  • Iran: Taarifa ya kikao cha Arab League imekariri madai hewa na uongo usio na tija

    Iran: Taarifa ya kikao cha Arab League imekariri madai hewa na uongo usio na tija

    Apr 16, 2018 00:06

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran ametoa jibu kwa taarifa iliyotolewa mwishoni mwa kikao cha viongozi wa Jumuiya ya Nchi za Kiarabu (Arab League), ambapo mbali na kusisitiza kwamba sera za msingi na za kudumu za Jamhuri ya Kiislamu ni kutoingilia masuala ya ndani ya nchi nyingine, amebainisha kuwa tuhuma zilizotolewa dhidi ya Iran katika baadhi ya vifungu vya taarifa hiyo hazikubaliki asilani.

  • Ujumbe wa Jumuiya ya Kimataifa ya Maulamaa wa Kiislamu kwa kikao cha wakuu wa Kiarabu huko Saudia

    Ujumbe wa Jumuiya ya Kimataifa ya Maulamaa wa Kiislamu kwa kikao cha wakuu wa Kiarabu huko Saudia

    Apr 15, 2018 09:50

    Jumuiya ya Kimataifa ya Maulamaa wa Kiislamu imewatumia ujumbe wakuu wa nchi za Kiarabu ikiwataka waratibu mkakati wa kivitendo kwa ajili ya kufikiwa mapatano makubwa baina ya mataifa, serikali na viongozi wa nchi za Kiarabu na Kiislamu.

  • Arab League yalaani jinai za karibuni za utawala wa Kizayuni dhidi ya Wapalestina

    Arab League yalaani jinai za karibuni za utawala wa Kizayuni dhidi ya Wapalestina

    Apr 09, 2018 02:42

    Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Nchi za Kiarabu (Arab League) amelaani jinai za wanajeshi wa utawala wa Kizayuni dhidi ya raia wa Palestina.

  • Jumamosi, Machi 31, 2018

    Jumamosi, Machi 31, 2018

    Mar 30, 2018 22:15

     Leo ni Jumamosi tarehe 13 Rajab 1439 Hijria sawa na tarehe 31 Machi 2018 Miladia.

  • Alkhamisi tarehe 22 Machi, 2018

    Alkhamisi tarehe 22 Machi, 2018

    Mar 21, 2018 21:52

    Leo ni Alkhamisi tarehe 4 Rajab 1439 Hijria sawa na tarehe 22 Machi, 2018.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS