Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Jumuiya ya Nchi za Kiarabu

  • Sudan Kusini yaomba uanachama Arab League

    Sudan Kusini yaomba uanachama Arab League

    Mar 06, 2018 23:48

    Sudan Kusini jana Jumanne iliwasilisha ombi rasmi la kuwa mwanachama katika Jumuiya ya Nchi za Kiarabu (Arab League).

  • Uingereza yakosoa vitisho vya Trump vya kuanzisha vita vya kibiashara na EU

    Uingereza yakosoa vitisho vya Trump vya kuanzisha vita vya kibiashara na EU

    Mar 05, 2018 04:36

    David Lidington, Naibu Waziri Mkuu wa Uingereza, Theresa May amekosoa vikali vitisho vya Rais Donald Trump wa Marekani vya kuanzisha vita vya kibiashara na Umoja wa Ulaya.

  • Jumuiya ya Nchi za Kiarabu yalaani tangazo la kuhamishia ubalozi wa Marekani Quds Tukufu

    Jumuiya ya Nchi za Kiarabu yalaani tangazo la kuhamishia ubalozi wa Marekani Quds Tukufu

    Feb 25, 2018 03:53

    Jumuiya ya Nchi za Kiarabu imelaani vikali hatua ya Marekani kutangaza kuwa itahamisha ubalozi wake kutoka Tel Aviv hadi Quds Tukufu (Jerusalem).

  • Arab League: Hujuma dhidi ya Beitul-Muqaddas ni kucheza na moto

    Arab League: Hujuma dhidi ya Beitul-Muqaddas ni kucheza na moto

    Feb 02, 2018 00:49

    Ahmed Aboul Gheit, Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Nchi za Kiarabu amesema kuwa, hujuma na uvamizi dhidi ya Beitul Muqaddas ni sawa na kucheza na moto.

  • Arab League: Sharti Quds itambulike kimataifa kama mji mkuu wa Palestina

    Arab League: Sharti Quds itambulike kimataifa kama mji mkuu wa Palestina

    Jan 07, 2018 04:18

    Jumuiya ya Nchi za Kiarabu imesema karibuni hivi itaanzisha jitihada za kuhakikisha kuwa Umoja wa Mataifa na jamii ya kimataifa kwa ujumla inalitambua taifa la Palestina, mji mkuu wake ukiwa Quds Tukufu.

  • Kikao cha dharura cha nchi za Kiarabu kuhusu Quds Tukufu na maamuzi yaisyoweza kutekelezeka

    Kikao cha dharura cha nchi za Kiarabu kuhusu Quds Tukufu na maamuzi yaisyoweza kutekelezeka

    Dec 11, 2017 04:28

    Mawaziri wa mashauri ya kigeni kutoka nchi wanachama wa Jumuiya ya Nchi za Kiarabu Jumamosi walikutana katika kikao cha dharura mjini Cairo Misri kujadili na kulaani uamuzi wa Rais Donald Trump wa Marekani wa kutambua Quds Tukufu (Jerusalem) kama mji mkuu wa utawala wa Kizayuni wa Israel.

  • Lebanon yazitaka nchi za Kiarabu ziiwekee Marekani vikwazo

    Lebanon yazitaka nchi za Kiarabu ziiwekee Marekani vikwazo

    Dec 10, 2017 03:36

    Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Lebanon amezitaka nchi za Kiarabu ziiwekee Marekani vikwazo vya kiuchumi kutokana na hatua ya Rais Donald Trump wa nchi hiyo kuitangaza Baytul Muqaddas kuwa eti ni mji mkuu wa Israel.

  • Palestina yaitisha mkutano wa OIC, Arab League Kujadili Tishio la Trump kwa Quds Tukufu

    Palestina yaitisha mkutano wa OIC, Arab League Kujadili Tishio la Trump kwa Quds Tukufu

    Dec 04, 2017 03:46

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Mamlaka ya Ndani ya Palestina Riad al-Maliki ametoa wito kwa Jumuiya ya Nchi za Kiarabu na Jumuiya ya Ushirikiano wa Nchi za Kiislamu OIC kuitisha mikutano ya kujadili hatima ya Quds Tukufu.

  • Arab League yaionya Marekani dhidi ya kuuhamishia ubalozi wake Quds

    Arab League yaionya Marekani dhidi ya kuuhamishia ubalozi wake Quds

    Dec 03, 2017 10:56

    Jumuiya ya Nchi za Kiarabu imeonya kuwa, kuhamishiwa ubalozi wa Marekani kutoka Tel Aviv hadi mji mtukufu wa Quds hakutakuwa na natija nyingine ghairi ya kuibua ghasia na kuvuruga zaidi hali ya mambo.

  • Indhari ya Lebanon kwa Jumuiya ya Nchi za Kiarabu

    Indhari ya Lebanon kwa Jumuiya ya Nchi za Kiarabu

    Nov 27, 2017 10:18

    Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Lebanon ameamwandikia barua Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Nchi za Kiarabu (Arab League) akimwambia kwamba, umoja huo unapaswa kufungamana na makubaliano ya Waarabu ambayo yalitofautisha baina ya muqawama na ugaidi.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS