-
Gebran Bassil: Jumuiya ya Nchi za Kiarabu inapaswa kutofautisha baina ya muqawama na ugaidi
Nov 25, 2017 12:40Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Lebanon ameamwandikia barua Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Nchi za Kiarabu (Arab League) akimwambia kwamba, umoja huo unapaswa kufungamana na makubaliano ya Waarabu ambayo yalitofautisha baina ya muqawama na ugaidi.
-
Wabunge wa Tunisia wakosoa taarifa ya Arab League dhidi ya Iran, Hizbullah
Nov 24, 2017 13:05Kundi la Wabunge wa Tunisia limekosoa taarifa iliyotolewa hivi karibuni na Jumuiya ya Nchi za Kiarabu chini mashinikizo ya Saudi Arabia dhidi ya harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Lebanon Hizbullah na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.
-
Jumuiya ya Nchi za Kiarabu na hatua zake za kufunika jinai za Saudi Arabia nchini Yemen
Oct 10, 2017 09:39Misimamo ya uungaji mkono ya baadhi ya asasi na jumuiya za Kiarabu kwa jinai za Saudi Arabia nchini Yemen katika siku za hivi karibuni pamoja na pirikapirika za asasi hizo za kuzitia dosari ripoti za Umoja wa Mataifa kuhusiana na jinai hizo zimekabiliwa na wimbi la ukosoaji wa fikra za waliowengi ulimwenguni.
-
Algeria yataka kurejea Syria katika Jumuiya ya Kiarabu
Sep 24, 2017 04:18Waziri wa Mambo ya Nje wa Algeria amesema kuwa uhusiano wa nchi hiyo na Syria ni wa kihistoria na kusisitiza kuwa Algeria inataka Syria irejee katika Jumuiya ya Nchi za Kiarabu (Arab League).
-
Iran, mhimili wa vita vya maneno baina ya Qatar na Saudia ndani ya Arab League
Sep 14, 2017 03:05Katika hali ambayo kwa mara nyingine moto wa mgogoro kati ya Qatar na Saudia umeibuka, wawakilishi wa nchi mbili katika Jumuiya ya Nchi za Kiarabu (Arab League) kwa mara nyingine wameshambuliana kwa maneno kuhusiana na nasafi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika eneo la Mashariki ya Kati.
-
Wanazuoni wa Iraq washangaa kimya cha nchi za Kiarabu kuhusu al-Aqsa
Jul 26, 2017 03:18Jumuiya ya Wanazuoni wa Kiislamu nchini Iraq imeeleza kusikitishwa kwake na kimya cha watawala wa nchi za Kiarabu kuhusu hali mbaya ya mgogoro inayoikabili Quds na msikiti mtukufu wa al-Aqsa.
-
Arab League: Israel inacheza na moto kuhusu kadhia ya Quds
Jul 23, 2017 09:41Jumuiya ya Nchi za Kiarabu imeutahadharisha utawala wa Kizayuni wa Israel kwamba 'unacheza na moto' kutokana na kushadidisha ukandamizaji dhidi ya Wapalestina wa Quds Tukufu inayokaliwa kwa mabavu.
-
Palestina yataka Arab League iitishe kikao cha dharura kujadili ushawishi wa Israel Afrika
Jun 07, 2017 21:57Waziri wa Mambo ya Nje wa Palestina ametaka Jumuiya ya Nchi za Kiarabu (Arab League) iitishe kikao cha dharura kujadili kuenea satua na ushawishi wa utawala wa Kizayuni wa Israel katika bara la Afrika.
-
Balozi wa Misri katika Arab League atangaza mshikamano na Wapalestina wanaosusia kula katika jela za Israel
May 05, 2017 02:45Balozi wa Misri katika Jumuiya ya Nchi za Kiarabu Arab League, ametangaza mshikamano na wafungwa wa Kipalestina waliogoma kula katika jela za utawala katili wa Kizayuni wa Israel.
-
Arab League yaitaka UN kufanya uchunguzi juu ya ukatili wanaofanyiwa wafungwa wa Kipalestina katika jela za Israel
May 04, 2017 23:31Jumuiya ya Nchi za Kiarabu imeutaka Umoja wa Mataifa kufanya uchunguzi wa kina kuhusiana na ukandamizaji wanaofanyiwa wafungwa wa Kipalestina wanaoshikiliwa katika korokoro za utawala haramu wa Kizayuni wa Israel.