Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Jumuiya ya Nchi za Kiarabu

  • Harakati ya PFLP yataka kutimuliwa Imarati katika Jumuiya ya Nchi za Kiarabu

    Harakati ya PFLP yataka kutimuliwa Imarati katika Jumuiya ya Nchi za Kiarabu

    Sep 06, 2020 02:26

    Naibu Katibu Mkuu wa Harakati ya Wananchi kwa ajili ya Ukombozi wa Palestina (PFLP) amesema kuwa, hatua ya Imarati ya kuanzisha uhusiano na utawala haramu wa Israel inakinzana na uamuzi wa Jumuiya ya Nchi za Kiarabu hivyo ametoa wito wa kutimuliwa nchi hiyo sambamba na kurejeshwa Syria katika jumuiya hiyo.

  • Arab League yawaacha mkono Wapalestina na kuunga mkono mapatano ya UAE na Wazayuni

    Arab League yawaacha mkono Wapalestina na kuunga mkono mapatano ya UAE na Wazayuni

    Sep 03, 2020 08:08

    Katika hatua inayoonyesha kuipiga vita na kuiacha mkono Palestina na badala yake kuunga mkono hatua ya Umoja wa Falme za Kiarabu ya kufanya mapatano na utawala haramu wa Kizayuni wa Israel, Jumuiya ya Nchi za Kiarabu imelikataa ombi la Palestina la kuitishwa kikao cha dharura cha jumuiya hiyo.

  • Waziri wa Mambo ya Nje wa Yemen: Arab League imepoteza mwelekeo

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Yemen: Arab League imepoteza mwelekeo

    Aug 26, 2020 08:14

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Serikali ya Uokovu wa Kitaifa ya Yemen amesema kuwa Jumuiya ya Nchi za Kiarabu (Arab League) haina uwezo wa kulinda maslahi ya nchi za Kiarabu mbele ya njama mbalimbali zinaofanywa na utawala haramu wa Israel na washirika wake.

  • Algeria yakosoa misimamo ya Jumuiya ya Nchi za Kiarabu kuhusiana na Libya na Syria

    Algeria yakosoa misimamo ya Jumuiya ya Nchi za Kiarabu kuhusiana na Libya na Syria

    Jul 13, 2020 04:08

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Algeria amekosoa misimamo ya Jumuiya ya Nchi za Kiarabu kuhusiana na Libya na Syria.

  • Tamim: Wakati umefika wa kuweka wazi uhusiano wa Israel na Waarabu

    Tamim: Wakati umefika wa kuweka wazi uhusiano wa Israel na Waarabu

    Jun 08, 2020 02:35

    Mkuu wa zamani wa Jeshi la Polisi la Dubai katika Umoja wa Falme za Kiarabu ameibua mijadala na wimbi la malalamiko baada ya kutoa mwito kwa nchi za Kiarabu kuufanya wa kawaida uhusiano wao na utawala haramu wa Israel.

  • Arab League yatahadharisha kuhusu hatua ya Israel ya kulitumia vibaya janga la Corona

    Arab League yatahadharisha kuhusu hatua ya Israel ya kulitumia vibaya janga la Corona

    Apr 08, 2020 08:03

    Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Nchi za Kiarabu (Arab League) amezungumza kwa simu na Katibu wa Kamati ya Utendaji ya Harakati ya Ukombozi wa Palestina (PLO) na kutahadharisha kuhusu hatua ya Israel ya kutumia vibaya janga la virusi vya corona.

  • Arab League yatahadharisha kuhusu hatari ya corona kwa wafungwa wa Kipalestina huko Israel

    Arab League yatahadharisha kuhusu hatari ya corona kwa wafungwa wa Kipalestina huko Israel

    Apr 07, 2020 02:50

    Jumuiya ya Nchi za Kiarabu imetahadharisha kuhusu hatari kubwa inayotishia uhai wa wafungwa karibu elfu tano wa Kipalestina wanaoshikiliwa katika korokoro za utawala haramu wa Israel kutokana na maambukizi ya virusi vya corona.

  • Baada ya kushindwa kutatua mgogoro wa Libya, Arab League yasema inasikitishwa na mapigano wakati huu wa kushughulikia corona

    Baada ya kushindwa kutatua mgogoro wa Libya, Arab League yasema inasikitishwa na mapigano wakati huu wa kushughulikia corona

    Apr 05, 2020 02:52

    Baada ya Jumuiya ya Nchi za Kiarabu (Arab League) kushindwa kutatua mgogoro wa Libya na kukomesha mapigano katika nchi hiyo ya Kiarabu ya kaskazini mwa Afrika, Katibu Mkuu wa jumuiya hiyo ameishia kusema anasikitishwa na vita vinavyoendelea huko Libya badala ya kuelekezwa nguvu katika kupambana na ugonjwa wa COVID-19.

  • Jumapili, Machi 22, 2020

    Jumapili, Machi 22, 2020

    Mar 22, 2020 02:32

    Leo ni Jumapili tarehe 27 Rajab mwaka 1441 Hijria, sawa na tarehe 22 Machi 2020 Miladia

  • Algeria yataka Syria irejeshwe katika Jumuiya ya Nchi za Kiarabu

    Algeria yataka Syria irejeshwe katika Jumuiya ya Nchi za Kiarabu

    Feb 23, 2020 01:16

    Rais wa Algeria ametoa wito wa kurejeshwa Syria katika Jumuiya ya Nchi za Kiarabu.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS