-
Harakati ya PFLP yataka kutimuliwa Imarati katika Jumuiya ya Nchi za Kiarabu
Sep 06, 2020 02:26Naibu Katibu Mkuu wa Harakati ya Wananchi kwa ajili ya Ukombozi wa Palestina (PFLP) amesema kuwa, hatua ya Imarati ya kuanzisha uhusiano na utawala haramu wa Israel inakinzana na uamuzi wa Jumuiya ya Nchi za Kiarabu hivyo ametoa wito wa kutimuliwa nchi hiyo sambamba na kurejeshwa Syria katika jumuiya hiyo.
-
Arab League yawaacha mkono Wapalestina na kuunga mkono mapatano ya UAE na Wazayuni
Sep 03, 2020 08:08Katika hatua inayoonyesha kuipiga vita na kuiacha mkono Palestina na badala yake kuunga mkono hatua ya Umoja wa Falme za Kiarabu ya kufanya mapatano na utawala haramu wa Kizayuni wa Israel, Jumuiya ya Nchi za Kiarabu imelikataa ombi la Palestina la kuitishwa kikao cha dharura cha jumuiya hiyo.
-
Waziri wa Mambo ya Nje wa Yemen: Arab League imepoteza mwelekeo
Aug 26, 2020 08:14Waziri wa Mambo ya Nje wa Serikali ya Uokovu wa Kitaifa ya Yemen amesema kuwa Jumuiya ya Nchi za Kiarabu (Arab League) haina uwezo wa kulinda maslahi ya nchi za Kiarabu mbele ya njama mbalimbali zinaofanywa na utawala haramu wa Israel na washirika wake.
-
Algeria yakosoa misimamo ya Jumuiya ya Nchi za Kiarabu kuhusiana na Libya na Syria
Jul 13, 2020 04:08Waziri wa Mambo ya Nje wa Algeria amekosoa misimamo ya Jumuiya ya Nchi za Kiarabu kuhusiana na Libya na Syria.
-
Tamim: Wakati umefika wa kuweka wazi uhusiano wa Israel na Waarabu
Jun 08, 2020 02:35Mkuu wa zamani wa Jeshi la Polisi la Dubai katika Umoja wa Falme za Kiarabu ameibua mijadala na wimbi la malalamiko baada ya kutoa mwito kwa nchi za Kiarabu kuufanya wa kawaida uhusiano wao na utawala haramu wa Israel.
-
Arab League yatahadharisha kuhusu hatua ya Israel ya kulitumia vibaya janga la Corona
Apr 08, 2020 08:03Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Nchi za Kiarabu (Arab League) amezungumza kwa simu na Katibu wa Kamati ya Utendaji ya Harakati ya Ukombozi wa Palestina (PLO) na kutahadharisha kuhusu hatua ya Israel ya kutumia vibaya janga la virusi vya corona.
-
Arab League yatahadharisha kuhusu hatari ya corona kwa wafungwa wa Kipalestina huko Israel
Apr 07, 2020 02:50Jumuiya ya Nchi za Kiarabu imetahadharisha kuhusu hatari kubwa inayotishia uhai wa wafungwa karibu elfu tano wa Kipalestina wanaoshikiliwa katika korokoro za utawala haramu wa Israel kutokana na maambukizi ya virusi vya corona.
-
Baada ya kushindwa kutatua mgogoro wa Libya, Arab League yasema inasikitishwa na mapigano wakati huu wa kushughulikia corona
Apr 05, 2020 02:52Baada ya Jumuiya ya Nchi za Kiarabu (Arab League) kushindwa kutatua mgogoro wa Libya na kukomesha mapigano katika nchi hiyo ya Kiarabu ya kaskazini mwa Afrika, Katibu Mkuu wa jumuiya hiyo ameishia kusema anasikitishwa na vita vinavyoendelea huko Libya badala ya kuelekezwa nguvu katika kupambana na ugonjwa wa COVID-19.
-
Jumapili, Machi 22, 2020
Mar 22, 2020 02:32Leo ni Jumapili tarehe 27 Rajab mwaka 1441 Hijria, sawa na tarehe 22 Machi 2020 Miladia
-
Algeria yataka Syria irejeshwe katika Jumuiya ya Nchi za Kiarabu
Feb 23, 2020 01:16Rais wa Algeria ametoa wito wa kurejeshwa Syria katika Jumuiya ya Nchi za Kiarabu.