Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Jumuiya ya Nchi za Kiarabu

  • Algeria yataka Syria irejeshwe kwenye Jumuiya ya Nchi za Kiarabu

    Algeria yataka Syria irejeshwe kwenye Jumuiya ya Nchi za Kiarabu

    Feb 14, 2020 07:34

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Algeria ameziasa nchi za Kiarabu ziharakishe mchakato wa kuirejesha Syria katika Jumuiya ya Nchi za Kiarabu (Arab League).

  • Jumuiya ya Nchi za Kiarabu yasema haitaacha kuwaunga mkono Wapalestina

    Jumuiya ya Nchi za Kiarabu yasema haitaacha kuwaunga mkono Wapalestina

    Feb 01, 2020 13:10

    Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Nchi za Kiarabu amekosoa tangaza la mpango wa Marekani na Israel ambao ni maarufu kama 'muamala wa karne' kwa ajili ya kutatua kadhia ya Palestina na kusema nchi za Kiarabu katu hazitaliacha taifa la Palestina peke yake.

  • Palestina yaomba kikao cha dharura cha Jumuiya ya Nchi za Kiarabu

    Palestina yaomba kikao cha dharura cha Jumuiya ya Nchi za Kiarabu

    Jan 29, 2020 01:28

    Mamlaka ya Ndani ya Palestina (PA) imeomba kikao cha dharura cha Jumuiya ya Nchi za Kiarabu baada ya kuzinduliwa kile ambacho Marekani imekitaja kuwa 'Muamala wa Karne' kuhusu kadhia ya Palestina.

  • Arab League yaonya juu ya kutumwa majeshi ajinabi Libya

    Arab League yaonya juu ya kutumwa majeshi ajinabi Libya

    Jan 01, 2020 08:00

    Jumuiya ya Nchi za Kiarabu imeziasa pande hasimu za kisiasa nchini Libya kujiepusha na hatua yoyote ambayo itachochea kutumwa vikosi vya nchi za kigeni katika nchi hiyo ya kaskazini mwa Afrika.

  • Netanyahu: Israel kusaini 'makubaliano ya amani' na nchi za Kiarabu

    Netanyahu: Israel kusaini 'makubaliano ya amani' na nchi za Kiarabu

    Dec 30, 2019 07:31

    Waziri Mkuu wa utawala wa Kizayuni wa Israel amesema Tel Aviv karibuni hivi itasaini makubaliano ya amani na kuufanya wa kawaida uhusiano wake na nchi kadhaa za Kiarabu.

  • Arab League yapinga rasmi msimamo wa Marekani dhidi ya Palestina kuhusu ujenzi wa vitongoji

    Arab League yapinga rasmi msimamo wa Marekani dhidi ya Palestina kuhusu ujenzi wa vitongoji

    Nov 26, 2019 08:05

    Mawaziri wa mambo ya nje wa nchi wanachama wa Jumuiya ya Nchi za Kiarabu wametoa taarifa maalumu ya kuwaunga mkono wananchi wa Palestina dhidi ya uungaji mkono wa Marekani kwa utawala haramu wa Kizayuni wa Israel.

  • Mgombea urais Algeria: Syria inabidi irejee Arab League

    Mgombea urais Algeria: Syria inabidi irejee Arab League

    Nov 12, 2019 02:58

    Abdel Qadir bin Qrina, mgombea urais katika uchaguzi ujao wa Algeria amesema kuwa iwapo atashinda uchaguzi huo, basi atafanya juhudi kuhakikisha Syria inarudi kwenye Jumuiya ya Nchi za Kiarabu (Arab League).

  • Qatar: Diplomasia itumike kupunguza taharuki kati ya Iran na Waarabu

    Qatar: Diplomasia itumike kupunguza taharuki kati ya Iran na Waarabu

    Oct 20, 2019 07:37

    Msemaji wa Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Qatar amesema Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na baadhi ya nchi za Kiarabu katika eneo zinaweza kupunguza taharuki miongoni mwao kwa njia ya mazungumzo na diplomasia.

  • Arab League: Operesheni ya Uturuki nchini Syria ni uvamizi wa kijeshi

    Arab League: Operesheni ya Uturuki nchini Syria ni uvamizi wa kijeshi

    Oct 13, 2019 07:55

    Jumuiya ya Nchi za Kiarabu imesema operesheni inayofanywa na vikosi vya jeshi la Uturuki huko kaskazini mwa Syria ni uvamizi wa wazi wa kijeshi.

  • Arab League yaonyesha msimamo legevu kuhusiana na jinai ya Wazayuni ya kuuvamia msikiti wa Al Aqsa

    Arab League yaonyesha msimamo legevu kuhusiana na jinai ya Wazayuni ya kuuvamia msikiti wa Al Aqsa

    Aug 12, 2019 14:53

    Jumuiya ya Nchi za Kiarabu imeonyesha msimamo legevu na dhaifu kwa uvamizi uliofanywa na askari wa utawala wa Kizayuni dhidi ya msikiti mtukufu wa Al Aqsa wakati wa Sala ya Idul-Adh'ha.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS