Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

kandanda

  • Gazeti la Uhispania: Mechi ya Iran na Marekani ni mpambano mkubwa wa kisiasa

    Gazeti la Uhispania: Mechi ya Iran na Marekani ni mpambano mkubwa wa kisiasa

    Nov 28, 2022 11:33

    Gazeti la Marca la Uhispania limeitaja mechi ya soka ya michuano ya Kombe la Dunia kati ya timu ya taifa ya kandanda ya Iran na Marekani kuwa ni mpambano mkubwa wa kisiasa.

  • Uchoraji tattoo wapigwa marufuku kwa wachezaji wa soka nchini China

    Uchoraji tattoo wapigwa marufuku kwa wachezaji wa soka nchini China

    Dec 30, 2021 11:39

    Viongozi wa michezo nchini China wamesema, kutokana nyota wa mchezo wa soka kuwa ni kigezo na mfano wa kuigwa kwa vizazi mbalimbali, ni marufuku kwa wachezaji hao kujichora tattoo.

  • Hamas yamkosoa rais wa FIFA kwa kuunga mkono utawala wa Israel

    Hamas yamkosoa rais wa FIFA kwa kuunga mkono utawala wa Israel

    Oct 15, 2021 14:10

    Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestiina (Hamas) imesema hatua ya rais wa Shirikisho la Soka Duniani (FIFA) ya kushiriki katika ufunguzi wa jengo moja la makumbusho mjini Jerusalem (Quds) ambalo liko katika makaburi ya Wapalestina ni sawa na kuunga mkono uhasama wa utawala wa Kizayuni wa Israel.

  • Wanasoka weusi wa timu ya taifa ya Uingereza waandamwa na hujuma za ubaguzi wa rangi

    Wanasoka weusi wa timu ya taifa ya Uingereza waandamwa na hujuma za ubaguzi wa rangi

    Jul 12, 2021 08:15

    Shirikisho la Soka la Uingereza limetoa taarifa likieleza kuchukizwa na kauli za matusi ya kibaguzi dhidi ya wachezaji weusi wa timu ya taifa ya soka ya nchi hiyo na kutangaza uungaji mkono wake kwa wachezaji hao.

  • Timu za Iran zajitoa kwenye mashindano ya soka ya mabingwa wa Asia kulalamikia uamuzi wa kisiasa wa AFC

    Timu za Iran zajitoa kwenye mashindano ya soka ya mabingwa wa Asia kulalamikia uamuzi wa kisiasa wa AFC

    Jan 18, 2020 13:59

    Timu za Esteqhlal, Perspolis, Sepahan na Shahre-Khodroo zinazoiwakilisha Iran katika mashindano ya mabingwa wa soka wa Asia katika mwaka huu wa 2020 zimeamua kujitoa kwenye mashindano hayo kulalamikia uamuzi wa kisiasa uliochukuliwa na Shirikisho la Soka la Asia (AFC) wa kuzitaka timu hizo zicheze michezo yao yote katika nchi ngeni ya tatu.

  • Russia yaigaragaza Saudia katika ufunguzi wa michuano ya Kombe la Dunia

    Russia yaigaragaza Saudia katika ufunguzi wa michuano ya Kombe la Dunia

    Jun 15, 2018 04:44

    Timu ya taifa ya soka ya Russia imeanza mashindano ya soka ya Kombe la Dunia kwa kishindo baada ya kuigaragaza Saudi Arabia mabao matano kwa nunge katika ufunguzi wa duru ya 21 ya michuano ya Kombe la Dunia mwaka huu.

  • Gallup: Wamarekani weusi zaidi 220 wameuawa na polisi ya nchi hiyo mwaka uliopita

    Gallup: Wamarekani weusi zaidi 220 wameuawa na polisi ya nchi hiyo mwaka uliopita

    Aug 27, 2017 02:39

    Zaidi ya Wamarekani 220 wenye asili ya Afrika wameuawa kwa kupigwa risasi na polisi ya nchi hiyo katika kipindi cha mwaka mmoja uliopita.

  • Iran yafuzu fainali kucheza Kombe la Dunia 2018 Russia

    Iran yafuzu fainali kucheza Kombe la Dunia 2018 Russia

    Jun 14, 2017 04:36

    Timu ya soka ya taifa ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imekuwa timu ya pili kujikatia tiketi ya michuano ya kombe la dunia hapo mwakani huko nchini Russia baada ya kuigaragaza timu ya Uzbekstan mbao 2 kwa nunge.

  • Watu 17 wafariki dunia katika msongamano kwenye uwanja wa mpira nchini Angola

    Watu 17 wafariki dunia katika msongamano kwenye uwanja wa mpira nchini Angola

    Feb 11, 2017 07:23

    Watu 17 wamefariki dunia na makumi ya wengine kujeruhiwa nchini Angola baada ya kutokea msongamano mkubwa katika uwanja mmoja wa mpira kaskazini mwa nchi hiyo.

  • Cameroon Bingwa wa Kombe la Mataifa ya Afrika (Afcon) 2017

    Cameroon Bingwa wa Kombe la Mataifa ya Afrika (Afcon) 2017

    Feb 06, 2017 03:47

    Timu ya Taifa ya Soka ya Cameroon imetawazwa kuwa mabingwa wa Kombe la Mataifa ya Afrika (Afcon) mwaka 2017 baada ya kuilaza timu ya Taifa ya Misri kwa mabao 2-1.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS