Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Kenya

  • Wandani wa Naibu Rais wa Kenya wakasirishwa na kuzuiwa kwake kutoka nje ya nchi, wasema amedhalilishwa

    Wandani wa Naibu Rais wa Kenya wakasirishwa na kuzuiwa kwake kutoka nje ya nchi, wasema amedhalilishwa

    Aug 03, 2021 12:14

    Kuzuiliwa kwa Naibu Rais wa Kenya, William Ruto Uwanja wa Ndege wa Jomo Kenyatta (JKIA) jijini Nairobi kusafiri kwenda Uganda kumewakera wandani wake.

  • Balozi Barmaki: Iran na Kenya ziko katika mkondo wa kustawisha uhusiano wa kiuchumi

    Balozi Barmaki: Iran na Kenya ziko katika mkondo wa kustawisha uhusiano wa kiuchumi

    Jul 31, 2021 09:12

    Balozi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran mjini Nairobi Kenya amesema kuwa, Kenya ni nchi muhimu sana kwa Iran na kusisitiza kwamba, siku zote kumekuwa kukifanyika juhudi za kuhakikisha uhusiano wa pande mbili unakua na kuchukua wigo mpana zaidi.

  • Uchunguzi: Wanasiasa waliojitokeza kuwania kiti cha rais 2022 hawana jipya kwa Wakenya

    Uchunguzi: Wanasiasa waliojitokeza kuwania kiti cha rais 2022 hawana jipya kwa Wakenya

    Jul 29, 2021 05:58

    Tathmini ya rekodi za kisiasa iliyofanyika huko Kenya inaonyesha kuwa wanasiasa wakuu wanne waliotangaza nia ya kuwania urais mwaka ujao hawana kipya cha kuwafaa Wakenya.

  • Marais wa Tanzania na Kenya wamtumia salamu za pongezi Rais mteule wa Iran

    Marais wa Tanzania na Kenya wamtumia salamu za pongezi Rais mteule wa Iran

    Jul 24, 2021 03:38

    Marais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Kenya wamemtumia ujumbe Ayatullah Ibrahim Raesi wakimpongeza kwa kuibuka na ushindi katika uchaguzi wa mwezi uliopita wa Rais hapa nchini.

  • 13 wapoteza maisha Kenya baada la lori la petroli kulipuka

    13 wapoteza maisha Kenya baada la lori la petroli kulipuka

    Jul 18, 2021 09:47

    Watu 13 wamepoteza maisha na wengine kadhaa wamejeruhiwa wakati lori la mafuta lilipoanguka na kuripuka, magharibi mwa Kenya.

  • Kenya yatuma wanajeshi wake DRC kujiunga na MONUSCO

    Kenya yatuma wanajeshi wake DRC kujiunga na MONUSCO

    Jun 16, 2021 07:54

    Jeshi la Ulinzi la Kenya (KDF) limetuma askari wake wa Kikosi cha Radiamali ya Haraka huko Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, kwenda kusaidia jitihada za kupambana na magenge ya kigaidi na makundi yanayobeba silaha.

  • Baada ya US kuondoa askari wake Somalia, sasa yawatuma Kenya

    Baada ya US kuondoa askari wake Somalia, sasa yawatuma Kenya

    Jun 13, 2021 22:02

    Rais wa Marekani, Joe Biden ametangaza kuwa serikali yake itatuma vikosi maalumu vya wanajeshi nchini Kenya, eti kwenda kusaidia juhudi za kupambana na magaidi wa kundi la ukufurishaji la al-Shabaab.

  • Balozi: Kenya na Iran kuimarisha uhusiano wao katika uga wa TEHAMA

    Balozi: Kenya na Iran kuimarisha uhusiano wao katika uga wa TEHAMA

    Jun 13, 2021 21:55

    Balozi wa Iran nchini Kenya amesema Jamhuri ya Kiislamu iko tayari kuzipa uzoefu wake kampuni za kitaalamu za Kenya, na kuunda jukwaa la kubadilishana mawazo juu ya masuala ya teknolojia.

  • Kenya yairuhusu tena Somalia itumie anga yake

    Kenya yairuhusu tena Somalia itumie anga yake

    Jun 11, 2021 08:09

    Kenya imetoa idhini tena anga yake itumike kwa aili ya safari za ndege kwenda na kutoka Somalia huku kukiwa na matumaini kwamba, uhusiano wa nchi hizo mbili utarejea katika hali ya kawaida.

  • Amisom kuchunguza kikamilifu madai kwamba KDF inaua raia wa Somalia

    Amisom kuchunguza kikamilifu madai kwamba KDF inaua raia wa Somalia

    Jun 06, 2021 03:25

    Ujumbe wa Umoja wa Afrika nchini Somalia (AMISOM) umeahidi kuchunguza madai yanayosema kwamba, Jeshi la Ulinzi la Kenya (KDF) limewaua raia katika eneo la Gedo nchini Somalia katika shambulizi la anga dhidi ya wanamgambo wa Al-Shabaab.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS