-
Somalia yadai jeshi la Kenya linaua raia katika hujuma zake za anga
Jun 05, 2021 21:57Serikali ya Somalia kwa mara nyingine tena imekosoa vikali kile ilichodai kuwa ni tabia ya Jeshi la Ulinzi la Kenya (KDF) kuua raia wa Kisomali katika mashambulizi yake ya anga katika eneo la Gedo, jimbo la Jubaland kusini mwa Somalia.
-
Kenya na Burundi zakubaliana kuimarisha uhusiano wa pande mbili
Jun 01, 2021 03:48Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya na mwenzake wa Burundi, Evariste Ndayishimiye wamesaini mapatano ya kuimarisha uhusiano na ushirikiano wa Nairobi na Bujumbura katika nyuga mbalimbali.
-
Safaricom ya Kenya yapata leseni ya kuendesha shughuli nchini Ethiopia
May 22, 2021 12:22Halmashauri ya Mawasiliano ya Ethiopia imelipatia shirika la Safaricom la Kenya leseni ya kutoa huduma za simu za mkononi nchini humo, hii ikiwa ni mara ya kwanza shirika lisilo la kiserikali kupewa leseni kama hiyo nchini Ethiopia.
-
Mahakama Kuu ya Kenya yapinga mpango wa BBI wa kubadili katiba
May 14, 2021 07:16Mahakama ya Juu nchini Kenya imeamua kwamba, mageuzi ya kikatiba yanayopigiwa debe na Rais Uhuru Kenyatta na kiongozi mkuu wa upinzani, Raila Odinga ni kinyume na sheria.
-
Tanzania yaonya kuhusu Corona ya India, spishi hiyo yaripotiwa Kenya na Uganda
May 07, 2021 03:29Chama cha Madaktari Tanzania (MAT) kimetadharisha juu ya kuibuka na kuenea kwa spishi mpya ya ugonjwa wa Covid-19 ya India katika nchi hiyo ya Afrika Mashariki.
-
Somalia yahuisha uhusiano wake na Kenya baada ya kupita karibu nusu mwaka
May 07, 2021 03:15Somalia imetangaza habari ya kurejesha uhusiano wake na Kenya baada ya kuukata karibu miezi sita iliyopita, ikiituhumu serikali ya Nairobi kuwa inaingilia masuala ya ndani ya nchi hiyo ya Pembe ya Afrika.
-
Tanzania, Kenya zaafikiana kuhusu ujenzi wa bomba la gesi
May 04, 2021 10:30Kenya na Tanzania zimefikiana kuhusu ujenzi wa bomba la gesi aina ya LPG kutoka Dar es Salaam kwenda Mombasa.
-
Mei Mosi: Janga la Corona limeathiri sekta ya ajira Afrika Mashariki
May 01, 2021 08:55Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amesema licha ya matamanio yake ya kuongeza mishahara, Serikali haiwezi kufanya hivyo kwa sasa kutokana na changamoto kadhaa ikiwemo mlipuko wa ugonjwa wa Covid-19 unaosababishwa na virusi vya corona.
-
Kamati za Bunge la Kenya zatuhumiwa kula rushwa na kufanya ufisadi
Apr 13, 2021 09:12Kamati za Bunge la Kenya zimetuhumiwa kuwa zinakula rushwa na kuhusika na ufisadi kutokana na wabunge wanaosimamia kamati hizo kufumbia macho uhalifu na mashtaka yanayowasishwa mkabala wa kula rushwa na kupokea hongo.
-
UN yaingilia kati mpango wa Kenya wa kufunga kambi kuu za wakimbizi
Apr 10, 2021 03:42Shirika la Kuhudumua Wambizi la Umoja wa Mataifa UNCHR kupitia taarifa iliyotolewa jana mjini Geneva Uswisi, limetangaza kushirikiana na Kenya na kuweka mapendekezo ya hatua za kuchukua ili kupata suluhisho kwa mgogoro wa wakimbizi wanaoishi katika kambi za Dadaab na Kakuma za nchi hiyo ya Afrika Mashariki.