Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Kenya

  • Somalia yadai jeshi la Kenya linaua raia katika hujuma zake za anga

    Somalia yadai jeshi la Kenya linaua raia katika hujuma zake za anga

    Jun 05, 2021 21:57

    Serikali ya Somalia kwa mara nyingine tena imekosoa vikali kile ilichodai kuwa ni tabia ya Jeshi la Ulinzi la Kenya (KDF) kuua raia wa Kisomali katika mashambulizi yake ya anga katika eneo la Gedo, jimbo la Jubaland kusini mwa Somalia.

  • Kenya na Burundi zakubaliana kuimarisha uhusiano wa pande mbili

    Kenya na Burundi zakubaliana kuimarisha uhusiano wa pande mbili

    Jun 01, 2021 03:48

    Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya na mwenzake wa Burundi, Evariste Ndayishimiye wamesaini mapatano ya kuimarisha uhusiano na ushirikiano wa Nairobi na Bujumbura katika nyuga mbalimbali.

  • Safaricom ya Kenya yapata leseni ya kuendesha shughuli nchini Ethiopia

    Safaricom ya Kenya yapata leseni ya kuendesha shughuli nchini Ethiopia

    May 22, 2021 12:22

    Halmashauri ya Mawasiliano ya Ethiopia imelipatia shirika la Safaricom la Kenya leseni ya kutoa huduma za simu za mkononi nchini humo, hii ikiwa ni mara ya kwanza shirika lisilo la kiserikali kupewa leseni kama hiyo nchini Ethiopia.

  • Mahakama Kuu ya Kenya yapinga mpango wa BBI wa kubadili katiba

    Mahakama Kuu ya Kenya yapinga mpango wa BBI wa kubadili katiba

    May 14, 2021 07:16

    Mahakama ya Juu nchini Kenya imeamua kwamba, mageuzi ya kikatiba yanayopigiwa debe na Rais Uhuru Kenyatta na kiongozi mkuu wa upinzani, Raila Odinga ni kinyume na sheria.

  • Tanzania yaonya kuhusu Corona ya India, spishi hiyo yaripotiwa Kenya na Uganda

    Tanzania yaonya kuhusu Corona ya India, spishi hiyo yaripotiwa Kenya na Uganda

    May 07, 2021 03:29

    Chama cha Madaktari Tanzania (MAT) kimetadharisha juu ya kuibuka na kuenea kwa spishi mpya ya ugonjwa wa Covid-19 ya India katika nchi hiyo ya Afrika Mashariki.

  • Somalia yahuisha uhusiano wake na Kenya baada ya kupita karibu nusu mwaka

    Somalia yahuisha uhusiano wake na Kenya baada ya kupita karibu nusu mwaka

    May 07, 2021 03:15

    Somalia imetangaza habari ya kurejesha uhusiano wake na Kenya baada ya kuukata karibu miezi sita iliyopita, ikiituhumu serikali ya Nairobi kuwa inaingilia masuala ya ndani ya nchi hiyo ya Pembe ya Afrika.

  • Tanzania, Kenya zaafikiana kuhusu ujenzi wa bomba la gesi

    Tanzania, Kenya zaafikiana kuhusu ujenzi wa bomba la gesi

    May 04, 2021 10:30

    Kenya na Tanzania zimefikiana kuhusu ujenzi wa bomba la gesi aina ya LPG kutoka Dar es Salaam kwenda Mombasa.

  • Mei Mosi: Janga la Corona limeathiri sekta ya ajira Afrika Mashariki

    Mei Mosi: Janga la Corona limeathiri sekta ya ajira Afrika Mashariki

    May 01, 2021 08:55

    Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amesema licha ya matamanio yake ya kuongeza mishahara, Serikali haiwezi kufanya hivyo kwa sasa kutokana na changamoto kadhaa ikiwemo mlipuko wa ugonjwa wa Covid-19 unaosababishwa na virusi vya corona.

  • Kamati za Bunge la Kenya zatuhumiwa kula rushwa na kufanya ufisadi

    Kamati za Bunge la Kenya zatuhumiwa kula rushwa na kufanya ufisadi

    Apr 13, 2021 09:12

    Kamati za Bunge la Kenya zimetuhumiwa kuwa zinakula rushwa na kuhusika na ufisadi kutokana na wabunge wanaosimamia kamati hizo kufumbia macho uhalifu na mashtaka yanayowasishwa mkabala wa kula rushwa na kupokea hongo.

  • UN yaingilia kati mpango wa Kenya wa kufunga kambi kuu za wakimbizi

    UN yaingilia kati mpango wa Kenya wa kufunga kambi kuu za wakimbizi

    Apr 10, 2021 03:42

    Shirika la Kuhudumua Wambizi la Umoja wa Mataifa UNCHR kupitia taarifa iliyotolewa jana mjini Geneva Uswisi, limetangaza kushirikiana na Kenya na kuweka mapendekezo ya hatua za kuchukua ili kupata suluhisho kwa mgogoro wa wakimbizi wanaoishi katika kambi za Dadaab na Kakuma za nchi hiyo ya Afrika Mashariki.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS