Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Kenya

  • Iran yazindua 'Jumba la Ubunifu na Teknolojia' Nairobi, Kenya

    Iran yazindua 'Jumba la Ubunifu na Teknolojia' Nairobi, Kenya

    Jan 28, 2021 00:50

    Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imesema kuzinduliwa Kituo cha Ubunifu na Teknolojia cha Iran (IHIT) katika mji mkuu wa Kenya, Nairobi kumefungua ukurasa mpya wa ushirikiano wa kiuchumi baina ya Iran na Kenya na hata nchi nyingine za kanda ya Afrika Mashariki.

  • 9 wauawa katika mpaka wa Kenya na Somalia, AU yatoa kauli

    9 wauawa katika mpaka wa Kenya na Somalia, AU yatoa kauli

    Jan 26, 2021 07:28

    Mwenyekiti wa Kamisheni ya Umoja wa Afrika amesema amani katika mpaka wa Kenya na Somalia ni jambo muhimu kwa ajili ya uthabiti wa eneo zima la Afrika Mashariki na Pembe ya Afrika.

  • Iran kuanzisha kituo kikubwa zaidi cha Teknolojia nchini Kenya

    Iran kuanzisha kituo kikubwa zaidi cha Teknolojia nchini Kenya

    Jan 23, 2021 01:36

    Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imetangaza kuanzisha kituo kikubwa cha ubunifu na teknolojia katika mji mkuu wa Kenya, Nairobi ikiwa ni katika mkakati wa kuimarisha uhusiano wa nchi hizi mbili rafiki.

  • Jeshi la Kenya lashambulia maficho ya al-Shabaab na kuua kadhaa

    Jeshi la Kenya lashambulia maficho ya al-Shabaab na kuua kadhaa

    Dec 27, 2020 20:51

    Kikosi Maalumu cha Jeshi la Ulinzi la Kenya (KDF) jana Jumapili kilishambulia maficho ya kundi la kigaidi na kitakfiri la al-Shabaab katika Msitu wa Boni kaunti ya Lamu, pwani ya Kenya na kuangamiza wanachama kadhaa wa genge hilo.

  • Al-Shabaab yakiri kumuua chifu wa Wajir Kenya kwa kumkata kichwa

    Al-Shabaab yakiri kumuua chifu wa Wajir Kenya kwa kumkata kichwa

    Dec 23, 2020 08:53

    Kundi la kigaidi la al-Shabaab lenye makao yake nchini Somalia limekiri kuwa ndilo lililomteka nyara na kumuua kwa kumkata kichwa chifu mmoja wa kaunti ya Wajir, huko kaskazini mashariki mwa Kenya.

  • Somalia yaafiki kurejesha uhusiano na Kenya baada ya mashinikizo ya IGAD

    Somalia yaafiki kurejesha uhusiano na Kenya baada ya mashinikizo ya IGAD

    Dec 22, 2020 21:24

    Somalia imeafiki kurejesha uhusiano wake na Kenya kufuatia mashinikizo ya Jumuiya ya Ushirikiano ya Nchi za Mashariki mwa Afrika na pembe ya Afrika IGAD.

  • AU yataka Kenya na Somalia zitumie mazungumzo kusuluhisha mzozo baina yao

    AU yataka Kenya na Somalia zitumie mazungumzo kusuluhisha mzozo baina yao

    Dec 21, 2020 04:53

    Mwenyekiti wa Kamisheni ya Umoja wa Afrika ametoa mwito kwa Kenya na Somalia kufuata njia ya mazungumzo kuutafutia ufumbuzi mgogoro uliopo baina ya pande mbili.

  • Viongozi wa EU wajitenga baada ya kutagusana na Macron mwenye Covid-19

    Viongozi wa EU wajitenga baada ya kutagusana na Macron mwenye Covid-19

    Dec 18, 2020 04:18

    Idadi kubwa ya viongozi wa Umoja wa Ulaya wamejiweka karantini baada ya kutangamana na Rais wa Ufaransa, Emmanuel Macron ambaye pia amejitenga kwa muda wa siku saba baada ya kukutwa na virusi vya corona.

  • Hofu yatanda baada ya Somalia kutuma wanajeshi katika mpaka na Kenya

    Hofu yatanda baada ya Somalia kutuma wanajeshi katika mpaka na Kenya

    Dec 15, 2020 09:54

    Masaa machache baada ya Somalia kutangaza kukata uhusiano wa kidiplomasia na Kenya, Jeshi la Kitaifa la Somalia (SNA) limetuma idadi kubwa ya askari katika eneo moja la mpaka wa pamoja wa nchi hizo mbili.

  • Somalia yawafukuza wanadiplomasia wote wa Kenya, yawataka wake warudi nyumbani

    Somalia yawafukuza wanadiplomasia wote wa Kenya, yawataka wake warudi nyumbani

    Dec 15, 2020 04:38

    Serikali ya Somalia imetangaza kusitisha uhusiano wake na Kenya ikidai kwamba Serikali ya Kenya inaingilia masuala yake ya ndani.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS