Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Kenya

  • Jumamosi, Disemba 12, 2020

    Jumamosi, Disemba 12, 2020

    Dec 11, 2020 23:24

    Leo ni Jumamosi tarehe 26 Mfunguo Saba Rabiuthani 1442 Hijria mwafaka na tarehe 12 Desemba 2020 Miladia.

  • Waziri Mkuu wa Ethiopia atembelea Kenya

    Waziri Mkuu wa Ethiopia atembelea Kenya

    Dec 09, 2020 08:42

    Waziri Mkuu wa Ethiopia Abiy Ahmed leo ametembelea Kenya na kujiunga na Rais Uhuru Kenyatta wa nchi hiyo katika ufunguzi wa kituo kipya cha mpakani cha Moyale katika Kaunti ya Marsabit.

  • Somalia yamtimua balozi wa Kenya na kumwita nyumbani balozi wake aliyeko Nairobi

    Somalia yamtimua balozi wa Kenya na kumwita nyumbani balozi wake aliyeko Nairobi

    Nov 30, 2020 08:06

    Somalia imemwita nyumbani balozi wake aliyeko Nairobi sambamba na kumpa masaa 24 balozi wa Kenya mjini Mogadishu awe ameondoka katika ardhi ya Somalia.

  • Rais Uhuru ahutubia taifa huku akiahidi mustakbali mwema wa nchi

    Rais Uhuru ahutubia taifa huku akiahidi mustakbali mwema wa nchi

    Nov 12, 2020 10:57

    Rais Uhuru Kenya wa Kenya leo Alhamisi amehutubia taifa kwa mara ya saba bungeni jijini Nairobi akiwaambia Wakenya kwamba taifa hilo lingali lina nguvu, jasiri na lenye matarajio ya mustakbali mwema.

  • Walioathiriwa kiuchumi na corona Mombasa, Kenya kupata msaada wa kifedha

    Walioathiriwa kiuchumi na corona Mombasa, Kenya kupata msaada wa kifedha

    Oct 31, 2020 23:28

    Shirika la Umoja wa Mataifa la Mpango wa Chakula Duniani WFP kwa kushirikiana na serikali ya Kenya limezindua mpango wa ugawaji fedha taslimu kwa familia 24,000 mjini Mombasa, Kenya katika makazi yasiyo rasmi ambao maisha yao yamesambaratika kiuchumi kutokana na janga la COVID-19 au corona.

  • Magoha: Kesi mpya za Covid-19 hazitapelekea kufungwa shule Kenya

    Magoha: Kesi mpya za Covid-19 hazitapelekea kufungwa shule Kenya

    Oct 23, 2020 12:07

    Waziri wa Elimu wa Kenya George Magoha amekataa suala la kufungwa shule kwa sababu ya kesi mpya za Covid-19 zilizoripotiwa kati ya wanafunzi na walimu baada ya wanafunzi wa darasa la 4, darasa la 8 na Kidato cha Nne kurejea mashuleni.

  • Waziri wa Afya Kenya aonya kuhusu hatari ya kuongezeka maambukizi ya COVID-19

    Waziri wa Afya Kenya aonya kuhusu hatari ya kuongezeka maambukizi ya COVID-19

    Oct 18, 2020 23:35

    Waziri wa Afya nchini Kenya Mutahi Kagwe ameonya kuwa kuna uwezekano nchi hiyo ikakumbwa na maafa kutokana na wananchi, hasa vijana, kupuuza kanuni za kiafya za kuzuia maambukizi ya corona au COVID-19.

  • Somalia, Cuba zakanusha madai ya kuachiwa huru madaktari waliotekwa na al-Shabaab

    Somalia, Cuba zakanusha madai ya kuachiwa huru madaktari waliotekwa na al-Shabaab

    Oct 08, 2020 23:07

    Serikali za Somalia na Cuba zimekanusha madai ya kuachiwa huru madaktari wawili wa Cuba waliotekwa nyara na kundi la kigaidi la al-Shabaab mwaka jana nchini Kenya.

  • Wanajeshi wa Kenya na Somalia washambuliana kwa risasi mpakani

    Wanajeshi wa Kenya na Somalia washambuliana kwa risasi mpakani

    Sep 27, 2020 04:32

    Wanajeshi wa Kenya na Somalia wamekabiliana kwa risasi katika mpaka wa pamoja wa nchi mbili hizo jirani za Afrika Mashariki.

  • Jaji Mkuu wa Kenya amtaka Rais Uhuru Kenyatta kulivunja Bunge

    Jaji Mkuu wa Kenya amtaka Rais Uhuru Kenyatta kulivunja Bunge

    Sep 21, 2020 11:07

    Jaji Mkuu wa Kenya David Maraga Jumatatu ya leo amemshauri Rais Uhuru Kenyatta kulivunja Bunge kwa sababu ya kushindwa kutunga sheria kuhusu usawa wa kijinsia.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS