Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Kenya

  • Wanafunzi 14 wafariki dunia katika msongamano uliotokea kwenye shule ya msingi nchini Kenya

    Wanafunzi 14 wafariki dunia katika msongamano uliotokea kwenye shule ya msingi nchini Kenya

    Feb 04, 2020 04:10

    Wanafunzi 14 wamefariki dunia na wengine wasiopungua 39 wamejeruhiwa vibaya katika msongamano na mkanyagano uliotokea kwenye shule ya msingi ya mji wa Kakamega ulioko magharibi mwa Kenya.

  • Rais wa zamani wa Kenya, Arap Moi ameaga dunia

    Rais wa zamani wa Kenya, Arap Moi ameaga dunia

    Feb 04, 2020 01:19

    Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya ametangaza mapema leo Jumanne kwamba, RAIS Mstaafu wa nchi hiyo, Daniel Toroitich Arap Moi, 1924 – 2020, amefariki dunia.

  • Waislamu Kenya waadhimisha Siku ya Vazi la Hijab Duniani + Sauti

    Waislamu Kenya waadhimisha Siku ya Vazi la Hijab Duniani + Sauti

    Feb 01, 2020 12:17

    Vyama vya Kiislamu nchini Kenya vimehimizwa kushadidisha hamasa juu ya vazi la hijab miongoni mwa Waislamu kama njia pekee ya kukinusuru kizazi cha Kiislamu dhidi ya sheria dhalimu zinazomkandamiza binti wa Kiislamu. Mwito huo umetolewa sanjari na maadhimisho ya Siku ya Vazi la Hijab Duniani ambayo huadhimishwa Februari Mosi kila mwaka. Seifullah Muurtadha na maelezo zaidi kutoka Mombasa, Kenya.

  • Kenya yatakiwa itangeze uvamizi wa nzige wa jangwani kuwa maafa ya kitaifa

    Kenya yatakiwa itangeze uvamizi wa nzige wa jangwani kuwa maafa ya kitaifa

    Jan 17, 2020 08:50

    Serikali ya Kenya imetakiwa kutangaza uvamizi mkubwa wa nzige wa jangwnai nchini humo kuwa ni maafa ya kitaifa kutokana na uharibifu mkubwa unaosababishwa na wadudu hao.

  • Kambi ya jeshi la Kenya ambayo wamo askari wa Marekani yashambuliwa

    Kambi ya jeshi la Kenya ambayo wamo askari wa Marekani yashambuliwa

    Jan 05, 2020 11:59

    Maafisa usalama nchini Kenya wametangaza kujiri shambulizi dhidi ya kambi ya jeshi la nchi hiyo ambayo wapo askari wa Marekani ndani yake.

  • Jeshi la Kenya lazima shambulizi la al-Shabaab Lamu, magaidi 4 wauawa

    Jeshi la Kenya lazima shambulizi la al-Shabaab Lamu, magaidi 4 wauawa

    Jan 05, 2020 04:30

    Jeshi la Ulinzi la Kenya (KDF) limetangaza habari ya kuangamiza wanachama wanne wa kundi la kigaidi na kitakfiri la al-Shabaab katika kaunti ya Lamu, kusini mashariki mwa Kenya, mpakani na Somalia.

  • 'Al-Shabaab' yateka basi na kuua abiria kaunti ya Lamu, Kenya

    'Al-Shabaab' yateka basi na kuua abiria kaunti ya Lamu, Kenya

    Jan 02, 2020 10:02

    Kwa akali watu watatu wameuawa huku wengine kadhaa wakijeruhiwa baada ya watu wenye silaha wanaoshukiwa kuwa wapiganaji wa kundi la kigaidi la al-Shabaab kuteka nyara basi la abiria katika kaunti ya Lamu, pwani ya Kenya.

  • Familia zaidi ya 6000 zaathiriwa na mafuriko magharibi mwa Kenya

    Familia zaidi ya 6000 zaathiriwa na mafuriko magharibi mwa Kenya

    Dec 29, 2019 04:25

    Afisa wa serikali ya Kenya jana alisema kuwa familia zaidi ya 6000 katika mji wa Kisumu magharibi mwa nchi hiyo zimeathiriwa na mafuriko yaliyosababishwa na mvua kubwa iliyoanza mapema wiki jana katika mkesha wa Krismasi.

  • Wakenya wanaoishi nje ya nchi watuma nyumbani dola bilioni 2.546

    Wakenya wanaoishi nje ya nchi watuma nyumbani dola bilioni 2.546

    Dec 21, 2019 21:45

    Raia wa Kenya wanaoishi na kufanya kazi nje ya nchi hiyo wametuma nyumbani dola bilioni 2.546 za Kimarekani sawa na Ksh. bilioni 256.4 katika kipindi cha miezi 11 ya mwaka 2019 ikiwa ni ongezeko la asilimia 3.8 ikilinganishwa na kipindi sawa na hicho mwaka jana.

  • Alkhamisi tarehe 12 Disemba 2019

    Alkhamisi tarehe 12 Disemba 2019

    Dec 12, 2019 04:37

    Leo ni Alkhamisi tarehe 15 Rabiuthani 1441 Hijria wasa na Disemba 12 2019.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS