-
Wanafunzi 14 wafariki dunia katika msongamano uliotokea kwenye shule ya msingi nchini Kenya
Feb 04, 2020 04:10Wanafunzi 14 wamefariki dunia na wengine wasiopungua 39 wamejeruhiwa vibaya katika msongamano na mkanyagano uliotokea kwenye shule ya msingi ya mji wa Kakamega ulioko magharibi mwa Kenya.
-
Rais wa zamani wa Kenya, Arap Moi ameaga dunia
Feb 04, 2020 01:19Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya ametangaza mapema leo Jumanne kwamba, RAIS Mstaafu wa nchi hiyo, Daniel Toroitich Arap Moi, 1924 – 2020, amefariki dunia.
-
Waislamu Kenya waadhimisha Siku ya Vazi la Hijab Duniani + Sauti
Feb 01, 2020 12:17Vyama vya Kiislamu nchini Kenya vimehimizwa kushadidisha hamasa juu ya vazi la hijab miongoni mwa Waislamu kama njia pekee ya kukinusuru kizazi cha Kiislamu dhidi ya sheria dhalimu zinazomkandamiza binti wa Kiislamu. Mwito huo umetolewa sanjari na maadhimisho ya Siku ya Vazi la Hijab Duniani ambayo huadhimishwa Februari Mosi kila mwaka. Seifullah Muurtadha na maelezo zaidi kutoka Mombasa, Kenya.
-
Kenya yatakiwa itangeze uvamizi wa nzige wa jangwani kuwa maafa ya kitaifa
Jan 17, 2020 08:50Serikali ya Kenya imetakiwa kutangaza uvamizi mkubwa wa nzige wa jangwnai nchini humo kuwa ni maafa ya kitaifa kutokana na uharibifu mkubwa unaosababishwa na wadudu hao.
-
Kambi ya jeshi la Kenya ambayo wamo askari wa Marekani yashambuliwa
Jan 05, 2020 11:59Maafisa usalama nchini Kenya wametangaza kujiri shambulizi dhidi ya kambi ya jeshi la nchi hiyo ambayo wapo askari wa Marekani ndani yake.
-
Jeshi la Kenya lazima shambulizi la al-Shabaab Lamu, magaidi 4 wauawa
Jan 05, 2020 04:30Jeshi la Ulinzi la Kenya (KDF) limetangaza habari ya kuangamiza wanachama wanne wa kundi la kigaidi na kitakfiri la al-Shabaab katika kaunti ya Lamu, kusini mashariki mwa Kenya, mpakani na Somalia.
-
'Al-Shabaab' yateka basi na kuua abiria kaunti ya Lamu, Kenya
Jan 02, 2020 10:02Kwa akali watu watatu wameuawa huku wengine kadhaa wakijeruhiwa baada ya watu wenye silaha wanaoshukiwa kuwa wapiganaji wa kundi la kigaidi la al-Shabaab kuteka nyara basi la abiria katika kaunti ya Lamu, pwani ya Kenya.
-
Familia zaidi ya 6000 zaathiriwa na mafuriko magharibi mwa Kenya
Dec 29, 2019 04:25Afisa wa serikali ya Kenya jana alisema kuwa familia zaidi ya 6000 katika mji wa Kisumu magharibi mwa nchi hiyo zimeathiriwa na mafuriko yaliyosababishwa na mvua kubwa iliyoanza mapema wiki jana katika mkesha wa Krismasi.
-
Wakenya wanaoishi nje ya nchi watuma nyumbani dola bilioni 2.546
Dec 21, 2019 21:45Raia wa Kenya wanaoishi na kufanya kazi nje ya nchi hiyo wametuma nyumbani dola bilioni 2.546 za Kimarekani sawa na Ksh. bilioni 256.4 katika kipindi cha miezi 11 ya mwaka 2019 ikiwa ni ongezeko la asilimia 3.8 ikilinganishwa na kipindi sawa na hicho mwaka jana.
-
Alkhamisi tarehe 12 Disemba 2019
Dec 12, 2019 04:37Leo ni Alkhamisi tarehe 15 Rabiuthani 1441 Hijria wasa na Disemba 12 2019.