-
Kenya na Somalia zaingia katika mgogoro mkubwa wa kidiplomasia + Sauti
Feb 17, 2019 04:44Kenya imemfukuza balozi wa Somalia mjini Nairobi huku ikimuita balozi wake wa Mogadishu nyumbani, ikiituhumu nchi hiyo ya Pembe ya Afrika kuwa imepiga mnada maeneo yake yenye gesi na mafuta katika mipaka yao ya pamoja ya baharini.
-
SAUTI, Matukio ya Kiislamu, Waislamu Tanzania waendelea kulaani kubomolewa msikiti UDOM na Waislamu Kenya wasisitizia mirathi ya kidini
Feb 15, 2019 13:07Ni matukio ya Kiislamu kuanzia kadhia ya Waislamu watakaoenda kuhiji mwaka huu wa 1440 Hijiria waanza kupewa semina.
-
SAUTI, Fagio la chuma la kudhibiti ufisadi la Rais Uhuru Kenyatta lampitia Waziri Najib Balala
Feb 15, 2019 13:07Tume ya kukabiliana na ufisadi nchini Kenya EACC imemuandikia rasmi barua ya ombi la kutaka kufika mbele yake, Waziri wa Utalii Najib Balala ili kujieleza juu ya sakata ya ubadhirifu wa fedha za umma.
-
SAUTI, Jeshi la polisi nchini Kenya lapata pigo baada ya makamanda wake watano kukutwa na hatia ya kuua
Feb 14, 2019 12:31Jeshi la polisi nchini Kenya limepata pigo baada ya mahakama moja ya mjini Kisumu, magharibi mwa taifa hilo, kusema inao ushahidi wa kutosha wa kuwashtaki makamanda watono jeshi hilo kwa kesi ya mauwaji.
-
Mgomo wa madaktari Kenya waingia wiki yake ya pili + Sauti
Feb 11, 2019 13:50Mgomo wa madaktari na wauguzi nchini Kenya umeingia juma la pili hivi leo (siku ya Jumatatu), huku maelfu ya wagonjwa wanao tafuta huduma katika hospitali za umma wakikosa kupata matibabu.
-
Kenya kumsaidia Rais Felix Tshisekedi kurejesha utulivu DRC
Feb 07, 2019 11:14Katika hatua inayoonesha ni ya kuzidi kuunga mkono juhudi za kuleta amani Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya amesema kuwa Nairobi iko tayari kutoa mafunzo kwa wafanyakazi wa sekta ya umma wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo kama sehemu ya kuisaidia nchi hiyo kuwa na utulivu wa kudumu na watu wake kuishi kwa usalama na amani.
-
Waislamu Kenya walalamikia marufuku ya Hijabu mashuleni + Sauti
Jan 24, 2019 13:16Waislamu nchini Kenya wamelalamikia uamuzi wa Mahakama ya Kilele ya nchi hiyo wa kubatilisha ruhusa ya wanafunzi wa kike kuvaa vazi la staha la Hijabu katika shule zote za nchi hiyo. Seifullah Murtadha na maelezo zaidi...
-
Washukiwa wanne wa ugaidi wajisalimisha nchini Kenya + Sauti
Jan 21, 2019 14:46Washukiwa wanne kati ya wanane waliokuwa wakisakwa na mamlaka za usalama nchini Kenya wamejisalimisha huku polisi wakizidisha msako kote nchini humo.
-
Polisi Kenya yazima shambulio jingine la al Shabaab
Jan 21, 2019 13:04Polisi ya Kenya imezima shambulio la wanamgambo wanaoshukiwa kuwa ni wa kundi la kigaidi la al Shabaab katika kampuni moja ya ujenzi inayomilikiwa na Wachina magharibi mwa nchi hiyo. Hayo yamesemwa leo na afisa mmoja wa Kenya siku chache baada ya kundi hilo la kigaidi kuuwa watu 21 jijini Nairobi.
-
Viongozi wa Kiislamu Kenya: Ugaidi hauna dini wala kabila
Jan 16, 2019 23:47Viongozi wa Waislamu nchini Kenya wamelaani shambulizi la kigaidi la hivi karibuni katika mji mkuu Nairobi, lililopelekea kuuawa makumi ya watu, huku wakisisitiza kuwa ugaidi hauna dini wala kabila.