Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Kenya

  • Rais wa Kenya ataka uchaguzi ufanyike kwa amani kesho, kiongozi wa upinzani Raila Odinga aususia rasmi

    Rais wa Kenya ataka uchaguzi ufanyike kwa amani kesho, kiongozi wa upinzani Raila Odinga aususia rasmi

    Oct 25, 2017 13:07

    Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya amelihutubia taifa jioni hii na kutoa mwito kwa Wakenya kujitokeza kwa wingi katika uchaguzi wa marudio wa Rais na kuhakikisha usalama na amani inadumishwa nchini humo.

  • Mahakama ya Juu Kenya yaakhirisha kesi ya uchaguzi wa marudio kwa ukosefu wa akidi

    Mahakama ya Juu Kenya yaakhirisha kesi ya uchaguzi wa marudio kwa ukosefu wa akidi

    Oct 25, 2017 04:45

    Kesi iliyowasilishwa katika Mahakama ya Juu na watetezi na wanaharakati wa haki za binadamu ya kutaka kuakhirishwa uchaguzi wa rais wa marudio nchini Kenya imekosa kufanyika kutokana na ukosefu wa akidi.

  • Odinga: Wafuasi wetu wasiandamane siku ya uchaguzi wa marudio

    Odinga: Wafuasi wetu wasiandamane siku ya uchaguzi wa marudio

    Oct 24, 2017 11:35

    Kinara wa muungano wa upinzani NASA nchini Kenya amewataka wafuasi wa mrengo huo kutofanya maandamano wakati wa uchaguzi wa marudio wa urais unaotazamiwa kufanyika Alkhamisi wiki hii.

  • SAUTI: Baraza Kuu la Waislamu nchini Kenya lawachagua viongozi wapya, watakiwa kutatua matatizo ya Waislamu

    SAUTI: Baraza Kuu la Waislamu nchini Kenya lawachagua viongozi wapya, watakiwa kutatua matatizo ya Waislamu

    Oct 23, 2017 13:20

    Hatimaye Baraza Kuu la Waislamu nchini Kenya limefanya uchaguzi wa ndani ikiwa ni baada ya kupita zaidi ya miaka 10.

  • UN na AU zatoa wito wa amani kabla ya uchaguzi wa marudio Kenya

    UN na AU zatoa wito wa amani kabla ya uchaguzi wa marudio Kenya

    Oct 23, 2017 10:24

    Umoja wa Afrika na Umoja wa Mataifa zimetoa taarifa ya pamoja zikitoa wito kwa wanasiasa na polisi nchini Kenya kuzingatia sheria katika kutatua mgogoro uliopo nchini humo.

  • Helikopta yaanguka Kenya, wanachama wa Jubilee wanaaminika kuaga dunia

    Helikopta yaanguka Kenya, wanachama wa Jubilee wanaaminika kuaga dunia

    Oct 21, 2017 13:31

    Ndege moja aina ya helikopta imeanguka katika ziwa Nakuru nchini Kenya muda mfupi baada ya kuondoka katika hoteli moja mjini humo.

  • Polisi Kenya: Watu 4 wameuawa katika maandamano ya upinzani

    Polisi Kenya: Watu 4 wameuawa katika maandamano ya upinzani

    Oct 20, 2017 13:43

    Polisi ya kenya imesema kuwa watu wanne wameuawa katika maandamano ya upinzani nchini humo katika kipindi cha wiki mbili zilizopita huku uchaguzi wa rais wa marudio ukikaribia kufanyika wiki ijayo. Polisi ya Kenya imesema kuwa watu hao waliuawa katika mapigano yaliyotokea kati ya maafisa polisi na waandamanaji.

  • Chama cha Jubilee chawashitaki viongozi wa NASA kwa kuwashawishi Wakenya kususia uchaguzi

    Chama cha Jubilee chawashitaki viongozi wa NASA kwa kuwashawishi Wakenya kususia uchaguzi

    Oct 20, 2017 01:13

    Katibu Mkuu wa Chama cha Jubelee nchini Kenya, Raphael Tuju amesema kuwa uongozi wa chama hicho umewasilisha kesi katika Mahakama ya Juu ambayo iliagiza uchaguzi wa urais urudiwe.

  • Mmoja wa viongozi wa Tume ya Uchaguzi ya IEBC nchini Kenya ajiuzulu

    Mmoja wa viongozi wa Tume ya Uchaguzi ya IEBC nchini Kenya ajiuzulu

    Oct 18, 2017 11:48

    Mmoja kati ya viongozi wanane wa Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka ya Kenya (IEBC) nchini Kenya ametangaza kujiuzulu wadhifa wake huo mapema leo Jumatano.

  • Upinzani Kenya wasimamisha maandamano, Ruto amtaka Odinga ashiriki uchaguzi

    Upinzani Kenya wasimamisha maandamano, Ruto amtaka Odinga ashiriki uchaguzi

    Oct 17, 2017 11:57

    Muungano wa upinzani nchini Kenya NASA umetangaza kusimamisha maandamano ya kushinikiza marekebisho kwenye Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka (IEBC) kuelekea uchaguzi wa marudio wa Oktoba 26.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS