Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Kenya

  • HRW, AI: Polisi ya Kenya imeua watu zaidi ya 67 katika maandamano

    HRW, AI: Polisi ya Kenya imeua watu zaidi ya 67 katika maandamano

    Oct 16, 2017 04:47

    Mashirika ya kutetea haki za binadamu ya Human Rights Watch na Amnesty International yamesema polisi ya Kenya imeua watu wasiopungua 50 katika maandamano ya upinzani ya kushinikiza mabadiliko kwenye Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka IEBC, kuelekea uchaguzi wa marudio wa Oktoba 26.

  • Ulimwengu wa Michezo

    Ulimwengu wa Michezo

    Oct 16, 2017 04:38

    Hujambo mpenzi mwanaspoti na karibu katika dakika hizi chache za kukupasha matukio mawili matatu yaliyotikisa uga wa michezo duniani, ndani ya siku saba zilizopita. Usibanduke kando ya radio yako hadi tamati ya kipindi, karibu……...

  • Askofu asilimu Kenya na wafuasi wake, ageuza kanisa lake kuwa msikiti

    Askofu asilimu Kenya na wafuasi wake, ageuza kanisa lake kuwa msikiti

    Oct 15, 2017 23:03

    Askofu mmoja nchini Kenya amesilimu akiwa na wafuasi wake na kulibadilisha kanisa lake kuwa msikiti.

  • Wapinzani Kenya waendeleza maandamano ya kutaka mabadiliko katika tume ya uchaguzi

    Wapinzani Kenya waendeleza maandamano ya kutaka mabadiliko katika tume ya uchaguzi

    Oct 15, 2017 11:32

    Muungano mkuu wa upinzani Kenya, NASA, leo umeendeleza maandamano ya kutaka mabadiliko katika Tume Huru ya Uchaguzi IEBC.

  • Wanafunzi 6 na mlinzi wauawa baada ya shule kuvamiwa na maharamia Kenya

    Wanafunzi 6 na mlinzi wauawa baada ya shule kuvamiwa na maharamia Kenya

    Oct 14, 2017 06:06

    Kwa akali wanafunzi sita na bawabu wa shule moja katika mji wa Lokichogio, kaskazini mwa Kenya wameuawa baada ya shule yao kuvamiwa na maharamia wanaoaminika kutoka Sudan Kusini, usiku wa kuamkia leo.

  • Watu 3 wauawa katika maandamano ya wapinzani nchini Kenya

    Watu 3 wauawa katika maandamano ya wapinzani nchini Kenya

    Oct 13, 2017 11:29

    Watu watatu wameripotiwa kuuawa katika maandamano ya wapinzani nchini Kenya ambao wanataka mabadiliko katika Tume Huru ya Uchaguzi IEBC.

  • Mwangwi wa hatua ya kinara wa chama kikuu cha upinzani Kenya kujiondoa katika uchaguzi wa Rais

    Mwangwi wa hatua ya kinara wa chama kikuu cha upinzani Kenya kujiondoa katika uchaguzi wa Rais

    Oct 11, 2017 07:24

    Kiongozi wa muungano wa upinzani wa National Super Alliance (NASA) nchini Kenya ametangaza kuwa, hatagombea katika uchaguzi wa marudio wa rais ambao umepangwa kufanyika tarehe 26 Oktoba akisema kwamba uchaguzi huo hautakuwa huru na wa haki.

  • Odinga ajitoa kwenye kinyang'anyiro cha uchaguzi wa marudio wa rais wa Kenya

    Odinga ajitoa kwenye kinyang'anyiro cha uchaguzi wa marudio wa rais wa Kenya

    Oct 10, 2017 13:21

    Kiongozi wa upinzani nchini Kenya Raila Odinga ametangaza leo kuwa hatogombea katika uchaguzi wa marudio wa rais ulioamriwa kuitishwa tena na Mahakama ya Juu ya nchi hiyo ambao umepangwa kufanyika tarehe 26 Oktoba akisema kwamba uchaguzi huo hautokuwa huru na wa haki.

  • Watu wenye silaha wawafyatulia risasi waandamanaji jijini Nairobi, Kenya

    Watu wenye silaha wawafyatulia risasi waandamanaji jijini Nairobi, Kenya

    Oct 09, 2017 11:25

    Habari kutoka Kenya zinaarifu kwamba watu wenye silaha wamefyatua risasi dhidi ya mamia ya waandamanaji wa upinzani waliokuwa wanaelekea zilipo ofisi za Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka ya Kenya (IEBC) jijini Nairobi, mji mkuu wa Kenya.

  • Polisi ya Kenya yatumia gesi ya kutoa machozi kuwatawanya wafuasi wa NASA

    Polisi ya Kenya yatumia gesi ya kutoa machozi kuwatawanya wafuasi wa NASA

    Oct 06, 2017 11:39

    Polisi nchini Kenya wamelazimika kutumia mabomu ya gesi ya kutoa machozi kuwatawanya wafuasi wa muungano wa upinzani NASA walioandamana katika miji ya Nairobi na Kisumu kushinikiza mabadiliko katika Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka IEBC.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS