Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Kenya

  • WFP kupunguza chakula wanachopata wakimbizi nchini Kenya

    WFP kupunguza chakula wanachopata wakimbizi nchini Kenya

    Oct 03, 2017 00:32

    Shirika la Umoja wa Mataifa la Mpango wa Chakula la Umoja wa Mataifa WPF, litapunguza kwa asilimia 30 mgao wa chakula kwa wakimbizi 420,000 walio kwenye kambi za Daadab na Kakuma nchini Kenya.

  • Kenya kukabiliana na maandamano ya wapinzani

    Kenya kukabiliana na maandamano ya wapinzani

    Sep 29, 2017 11:08

    Serikali ya Kenya imesema maandamano ya muungano wa upinzani Nasa ambayo yamepangwa kuanza Jumatatu yatadhibitiwa na vitengo vya kuimarisha usalama vya nchi hiyo.

  • Polisi Kenya watawanya wapinzani wanaotaka mabadiliko tume ya uchaguzi

    Polisi Kenya watawanya wapinzani wanaotaka mabadiliko tume ya uchaguzi

    Sep 26, 2017 12:36

    Polisi wa kuzima ghasia nchini Kenya wametumia gesi ya kutoa machozi kuwatawanya waandamanaji waliokuwa wakitaka baadhi ya maafisa wa Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka IEBC wafutwe kazi kabla ya uchaguzi wa rais wa marudio wa Oktoba 26.

  • UN yajitosa katika uchaguzi wa marudio Kenya, wapinzani kuandamana dhidi ya IEBC

    UN yajitosa katika uchaguzi wa marudio Kenya, wapinzani kuandamana dhidi ya IEBC

    Sep 26, 2017 04:20

    Shirika la Mpango wa Maendeleo la Umoja wa Mataifa (UNDP) limesaini mkataba na Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka ya Kenya (IEBC) kuhusu zabuni ya karatasi za kupigia kura kwa ajili ya uchaguzi wa marudio wa Oktoba 26.

  • DPP wa Kenya aagiza uchunguzi dhidi ya maafisa wa ngazi za juu wa IEBC

    DPP wa Kenya aagiza uchunguzi dhidi ya maafisa wa ngazi za juu wa IEBC

    Sep 24, 2017 11:03

    Mkurugenzi Mkuu wa Mashtaka ya Umma nchini Kenya (DPP), Keriako Tobiko ameagiza polisi na Kamisheni ya Maadili ya Kupambana na Ufisadi EACC kuanzisha uchunguzi dhidi ya maafisa wa ngazi za juu wa Tume ya Uchaguzi nchini humo, kutokana na kasoro zilizojitokeza katika uchaguzi wa mwezi uliopita.

  • Kenya yataka dunia isaidie kikosi cha AMISOM kulinda amani Somalia

    Kenya yataka dunia isaidie kikosi cha AMISOM kulinda amani Somalia

    Sep 23, 2017 04:43

    Kenya imeitaka jamii ya kimataifa iongeze zaidi usaidizi wake kwa Kikosi cha Umoja wa Afrika cha Kulinda amani Somalia, AMISOM ili kiweze kushughulikia kwa kina vitisho vya usalama kabla ya kuanza kutekelezwa mpango wa kupunguza idadi ya askari wake.

  • Mwanasheria Mkuu: Kenya haiko kwenye hatari ya mgogoro wa kikatiba

    Mwanasheria Mkuu: Kenya haiko kwenye hatari ya mgogoro wa kikatiba

    Sep 22, 2017 13:08

    Mwanasheria Mkuu wa Kenya amesema kuwa nchi hiyo haitakabiliwa na mgogoro wa kikatiba au wa kisiasa hata kama uchaguzi rais wa marudio uliopangwa kufanyika Oktoba 26, umesogezwa tarehe hadi baada ya mwishoni mwa Oktoba.

  • Kenya yachelewesha kuanza vikao vya EALA tangu Juni 2017

    Kenya yachelewesha kuanza vikao vya EALA tangu Juni 2017

    Sep 22, 2017 04:34

    Hatua ya Kenya kutoteua wabunge wake wa Bunge la Afrika Mashariki EALA hadi sasa imechelewesha kuanza vikao vya chombo hicho cha kieneo.

  • Tarehe ya uchaguzi wa marudio Kenya yasogezwa mbele

    Tarehe ya uchaguzi wa marudio Kenya yasogezwa mbele

    Sep 22, 2017 04:22

    Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka ya Kenya (IEBC) imebadilisha tarehe ya kufanyika uchaguzi wa marudio wa urais hadi Oktoba 26 mwaka huu na wala sio Oktoba 17 kama ilivyotangaza hapo awali.

  • Rais wa Kenya: Hukumu ya Mahakama ya Juu ilikuwa ni

    Rais wa Kenya: Hukumu ya Mahakama ya Juu ilikuwa ni "mapinduzi"

    Sep 21, 2017 11:15

    Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya amesema Mahakama ya Juu ya nchi hiyo ilifanya "mapinduzi" dhidi ya matakwa ya wananchi ilipobatilisha matokeo ya uchaguzi wa rais uliofanyika mwezi uliopita ambao yeye alishinda.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS