-
Kiongozi Muadhamu ataka Afghanistan iwaadhibu waliouhusika na shambulio dhidi ya msikiti
Oct 09, 2021 23:22Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran ametoa mwito kwa mamlaka za Kabul kuwaadhibu waliohusika na shambulizi la bomu lililoua makumi ya watu msikitini katika mji wa Kunduz nchini Afghanistan juzi Ijumaa.
-
Kiongozi Muadhamu: Majeshi ya Iran ni ukuta madhubuti dhidi ya vitisho vya maadui
Oct 03, 2021 11:26Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema majeshi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ni sawa na ukuta madhubuti na ngao imara ya kuzima vitisho vya maadui wa ndani na nje ya taifa hili.
-
Kiongozi Muadhamu: Wamagharibi hawana muamana, miradi ya Iran isifungamanishwe nao
Jul 28, 2021 06:51Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema mipango na miradi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran haipaswi kufungamanishwa na ushirikiano na nchi za Magharibi, kwani imedhihirika wazi wakati wa kipindi cha serikali inayomaliza muda wake hapa nchini kwamba, kuwategemea Wamagharibi hakuna faida yoyote.
-
Kiongozi Muadhamu amteua Mohseni-Ejei kuwa Mkuu mpya wa Vyombo vya Mahakama Iran
Jul 01, 2021 03:30Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amemteua Gholamhossein Mohseni-Ejei kuwa Mkuu mpya wa Vyombo vya Mahakama vya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.
-
Rais Rouhani: Kiongozi Muadhamu amewapa motisha wanasayansi kwa kupigwa chanjo ya Iran
Jun 26, 2021 08:18Rais Hassan Rouhani wa Iran amesema hatua ya Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ya kupigwa chanjo ya Corona ya COVIran Barekat imewapa motisha na kuwashajiisha wanasayansi wa Jamhuri ya Kiislamu walioizalisha chanjo yenyewe.
-
Kiongozi Muadhamu: Taifa la Iran ndiye mshindi mkuu wa uchaguzi, mliochaguliwa chapeni kazi
Jun 19, 2021 09:46Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amepongeza hatua ya kujitokeza kwa wingi wananchi wa Iran katika uchaguzi mkuu wa jana Ijumaa na kusisitiza kuwa, 'washindi wakuu wa uchaguzi ni wananchi wenyewe, ambao azma yao thabiti haikuvunjwa moyo na ama janga (la Corona) au njama za kuwakatisha tamaa.
-
Kiongozi Muadhamu asikitishwa na kifo cha Shahidi Jenerali Hijazi
Apr 19, 2021 03:20Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ametoa mkono wa pole na kueleza juu ya kusikitishwa kwake na kifo cha Brigedia Jenerali Mohammad Hosseinzadeh Hijazi, Naibu Kamanda wa Kikosi cha Quds cha Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran ambaye ameaga dunia usiku wa kuamkia leo akiwa na umri wa miaka 65, kutokana na mshtuko wa moyo.
-
Mtazamo wa Kiongozi Muadhamu kuhusu mazungumzo ya nyuklia; sharti la Iran, msingi wa kuhuishwa JCPOA
Apr 15, 2021 23:05Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema kuwa, siasa za Iran kuhusiana na makubaliano ya nyuklia ya JCPOA ziko wazi, na maafisa wanaoshiriki kwenye mazungumzo ya kuhuishwa makubaliano hayo wanapaswa kuwa macho ili yasirefushwe kupita kiasi, suala ambalo lina madhara kwa taifa.
-
Mtazamo wa Kiongozi Muadhamu kuhusu JCPOA; Iran haina haraka
Mar 23, 2021 05:15Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesisitiza kuwa, Marekani inapaswa kufuta vikwazo vyote, kisha Iran ichunguze na kutathmini ukweli wa hatua hiyo, na endapo itathibiti kweli kwamba, vikwazo hivyo vimeondolewa, basi taifa hili litarejea bila tatizo lolote katika utekelezaji wa ahadi zake kwa mujibu wa makubaliano hayo.
-
Kiongozi Muadhamu asifu nafasi ya vijana katika masuala muhimu ya nchi
Feb 20, 2021 10:09Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amepongeza nafasi ya kipekee ya tabaka la vijana katika masuala muhimu nchi na kueleza kuwa, uwepo wa kizazi hicho katika masuala hasasi ya nchi ni katika mafanikio na fakhari ya Mapinduzi ya Kiislamu.