Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Kombe la Dunia Qatar 2022

  • Wazayuni: Katika Kombe la Dunia la Qatar, tumejua ni kiasi gani tunachukiza

    Wazayuni: Katika Kombe la Dunia la Qatar, tumejua ni kiasi gani tunachukiza

    Nov 27, 2022 23:02

    Gazeti la Kizayuni la Yedioth Ahronoth limeashiria matatizo makubwa yanayowakumba waandishi wa habari wa utawala wa Kizayuni katika mashindano ya Kombe la Dunia 2022 yanayoendelea hivi sasa nchini Qatar na kuandika, katika mashindano haya tumeelewa ni kiasi gani hatupendwi na tunachukiza vibaya katika ulimwengu wa Kiarabu.

  • Kombe la Dunia Qatar, fursa kwa watu wa mataifa ya Kiarabu kuonyesha wanavyouchukia utawala wa Kizayuni wa Israel

    Kombe la Dunia Qatar, fursa kwa watu wa mataifa ya Kiarabu kuonyesha wanavyouchukia utawala wa Kizayuni wa Israel

    Nov 27, 2022 22:59

    Moja ya matukio ya kuvutia katika michuano ya Kombe la Dunia nchini Qatar ni kukataa wananchi wa mataifa mbalimbali ya Kiarabu kuhojiwa na vyombo vya habari vya Israel na vilevile kuiunga mkono Palestina dhidi ya utawala huo wa Kizayuni.

  • Takriban watu 900 walisilimu pambizoni mwa Kombe la Dunia, Qatar

    Takriban watu 900 walisilimu pambizoni mwa Kombe la Dunia, Qatar

    Nov 27, 2022 04:21

    Hadi sasa watu 887 kutoka nchi tofauti wamesilimu kando ya Kombe la Dunia la mwaka huu wa 2022.

  • Kombe la Dunia: Iran yaichapa Wales 2-0 na kuhuisha matumaini ya kusonga mbele

    Kombe la Dunia: Iran yaichapa Wales 2-0 na kuhuisha matumaini ya kusonga mbele

    Nov 25, 2022 09:28

    Timu ya taifa ya soka ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran iimeichapa Wales mabao 2 kwa 0 katika fainali za mashindano ya soka ya Kombe la Dunia yanayoendelea nchini Qatar.

  • Mzayuni: Tusijidanganye, Waarabu hawaupendi utawala wa Kizayuni

    Mzayuni: Tusijidanganye, Waarabu hawaupendi utawala wa Kizayuni

    Nov 25, 2022 03:54

    Vyombo vya habari vya Kizayuni vimetuma timu kadhaa za waandishi na wataalamu wa vyombo vya habari kwenye Kombe la Dunia nchini Qatar; Miongoni mwa waandishi hao ni "Ohad Ben Hamo," mwandishi wa habari wa Israel ambaye anajulikana kuwa ni mtaalamu wa masuala ya Waarabu na Wapalestina.

  • Mashabiki wa soka waendelea kuiunga mkono Palestina katika Kombe la Dunia

    Mashabiki wa soka waendelea kuiunga mkono Palestina katika Kombe la Dunia

    Nov 24, 2022 04:02

    Mashabiki wa soka wanaoshuhudia fainalii za mashindano ya kandanda ya Kombe la Dunia nchini Qatar wameendelea kuonyesha himaya na uungaji mkono wao kwa taifa la Palestina.

  • Kombe la Dunia; Vijana wa Kiarabu wakataa kuzungumza na wanahabari wa Israel

    Kombe la Dunia; Vijana wa Kiarabu wakataa kuzungumza na wanahabari wa Israel

    Nov 21, 2022 07:55

    Mashabiki wa soka wa nchi za Kiarabu wamekataa kuzungumza na waandishi wa habari wa mashirika ya utawala haramu wa Israel nchini Qatar, kunakofanyika fainali za Kombe la Dunia za mwaka huu 2022; kuonyesha upinzani wao wa kuanzishwa uhusiano wa kawaida na utawala huo bandia unaokalia kwa mabavu ardhi za Palestina.

  • Rais wa FIFA: Hakuna pombe viwanjani wakati wa Kombe la Dunia

    Rais wa FIFA: Hakuna pombe viwanjani wakati wa Kombe la Dunia

    Nov 19, 2022 23:14

    Rais wa Shirikisho la Soka Duniani (FIFA) amepuulizia mbali mashinikizo ya kutaka kuruhusiwa pombe viwanjani wakati wa fainali za Kombe la Dunia zinazoanza leo nchini Qatar.

  • Timu ya kandanda ya Iran yawasili Qatar kushiriki Kombe la Dunia

    Timu ya kandanda ya Iran yawasili Qatar kushiriki Kombe la Dunia

    Nov 15, 2022 00:19

    Timu ya taifa ya soka ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imewasili Doha, mji mkuu wa Qatar kwenda kuweka kambi ya kujianjdaa kwa fainali za Kombe la Dunia zitakazoanza kutifua mavumbi wiki ijayo.

  • Clopp: Acheni kuingiza siasa katika mashindano ya Kombe la Dunia Qatar 2022

    Clopp: Acheni kuingiza siasa katika mashindano ya Kombe la Dunia Qatar 2022

    Nov 07, 2022 03:36

    Kocha mkuu wa timu ya soka ya Liverpool nchini Uingereza, Jurgen Klopp, amewakemea wale wanaowataka wachezaji wa kambumbu kwenye Kombe la Dunia nchini Qatar kuchukua msimamo na kupinga masuala ya haki za binadamu na kutoa madai dhidi ya Qatar, akisema matakwa hayo yanapaswa kusitishwa.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS