-
Kukutana kiongozi wa Korea Kaskazini na Rais Xi Jinping wa China
Mar 29, 2018 09:33Kwa mara ya kwanza tangu ingie madarakani Kim Jong-un, Kiongozi wa Korea Kaskazini amekutana na Rais Xi Jinping wa China mjini Beijing ambapo pande mbili zimezungumzia masuala ya uhusiano wa nchi mbili na kadhalika mabadiliko ya eneo la Korea.
-
Kukutana kiongozi wa Korea Kaskazini na Rais Xi Jinping wa China
Mar 29, 2018 07:02Kwa mara ya kwanza tangu ingie madarakani Kim Jong-un, Kiongozi wa Korea Kaskazini amekutana na Rais Xi Jinping wa China mjini Beijing ambapo pande mbili zimezungumzia masuala ya uhusiano wa nchi mbili na kadhalika mabadiliko ya eneo la Korea.
-
Kiongozi wa Korea Kaskazini afanya safari ya kinyemela China?
Mar 27, 2018 07:29Duru za habari zimefichua kuwa, yumkini kiongozi wa Korea Kaskazini amefanya safari ya kificho nchini China.
-
Korea Kaskazini yaafiki kufanyika mazungumzo ya ngazi ya juu na Korea Kusini
Mar 24, 2018 14:35Wizara ya Umoja ya Korea Kusini, imetangaza kuwa serikali ya Korea Kaskazini imekubali kufanyika mazungumzo ya ngazi ya juu kati ya nchi mbili siku chache zijazo.
-
Pande tatu za Marekani, Japan na K/Kusini zafanya mazungumzo kuhusu K/Kaskazini
Mar 20, 2018 04:19Washauri wa ngazi ya juu wa kiusalama wa nchi tatu za Marekani, Korea Kusini na Japan, wameanza kikao cha siku mbili ambacho kitajikita katika kuchunguza namna ya kuliepusha eneo la Korea na silaha za nyuklia.
-
Korea Kusini: Kim Jong-Un anahitaji muda zaidi kukubali mwaliko wa kukutana na Trump
Mar 19, 2018 07:19Waziri wa Mambo ya Nje wa Korea Kusini amesema kuwa, Kim Jong-un Kiongozi wa Korea Kaskazini anahitaji muda zaidi ili kukubali mwaliko wa kukutana na Rais Donald Trump wa Marekani.
-
Mbunge wa UK: EU imefanya duru 14 za mazungumzo ya siri na Korea Kaskazini
Mar 15, 2018 06:46Mbunge wa chama cha Wahafidhina cha Uingereza katika bunge la Umoja wa Ulaya amesema mazungumzo ya siri yaliyofanywa katika kipindi cha miaka mitatu iliyopita na ujumbe wa wabunge wa bunge la EU na maafisa wa Korea Kaskazini ndiyo yaliyoifanya nchi hiyo ishawishike kuachana na shughuli zake za nyuklia.
-
New York Times yakosoa siasa za Trump dhidi ya makubaliano ya JCPOA
Mar 13, 2018 02:43Gazeti la New York Times linalochapishwa nchini Marekani limezitaja siasa zinazotekelezwa na Rais wa nchi hiyo dhidi ya makubaliano ya nyuklia ya JCPOA kuwa zimepelekea kushindwa kufikiwa makubaliano kati ya Marekani na Korea ya Kaskazini.
-
Trump alegeza msimamo na kukubali kukutana na kiongozi wa Korea Kaskazini
Mar 09, 2018 06:36Rais Donald Trump wa Marekani amelegeza msimamo na kukubali kukutana na Kiongozi wa Korea Kaskazini Kim Jon-un mwezi Mei mwaka huu.
-
Misimamo ya kupingana ya viongozi wa Marekani kuhusu pendekezo la kufanya mazungumzo na Korea Kaskazini
Mar 08, 2018 11:46Baada ya Korea Kaskazini kusema kuwa, kuna uwezekano wa kuondolewa silaha za nyuklia eneo la Korea na kurejeshwa uhusiano wa kawaida na Marekani iwapo itadhaminiwa usalama wake, Dan Coats, Mkuu wa Idara ya Intelejensia ya Marekani amesema ana shaka kuhusiana na mambo hayo yote.