Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Korea Kaskazini

  • Kukutana kiongozi wa Korea Kaskazini na Rais Xi Jinping wa China

    Kukutana kiongozi wa Korea Kaskazini na Rais Xi Jinping wa China

    Mar 29, 2018 09:33

    Kwa mara ya kwanza tangu ingie madarakani Kim Jong-un, Kiongozi wa Korea Kaskazini amekutana na Rais Xi Jinping wa China mjini Beijing ambapo pande mbili zimezungumzia masuala ya uhusiano wa nchi mbili na kadhalika mabadiliko ya eneo la Korea.

  • Kukutana kiongozi wa Korea Kaskazini na Rais Xi Jinping wa China

    Kukutana kiongozi wa Korea Kaskazini na Rais Xi Jinping wa China

    Mar 29, 2018 07:02

    Kwa mara ya kwanza tangu ingie madarakani Kim Jong-un, Kiongozi wa Korea Kaskazini amekutana na Rais Xi Jinping wa China mjini Beijing ambapo pande mbili zimezungumzia masuala ya uhusiano wa nchi mbili na kadhalika mabadiliko ya eneo la Korea.

  • Kiongozi wa Korea Kaskazini afanya safari ya kinyemela China?

    Kiongozi wa Korea Kaskazini afanya safari ya kinyemela China?

    Mar 27, 2018 07:29

    Duru za habari zimefichua kuwa, yumkini kiongozi wa Korea Kaskazini amefanya safari ya kificho nchini China.

  • Korea Kaskazini yaafiki kufanyika mazungumzo ya ngazi ya juu na Korea Kusini

    Korea Kaskazini yaafiki kufanyika mazungumzo ya ngazi ya juu na Korea Kusini

    Mar 24, 2018 14:35

    Wizara ya Umoja ya Korea Kusini, imetangaza kuwa serikali ya Korea Kaskazini imekubali kufanyika mazungumzo ya ngazi ya juu kati ya nchi mbili siku chache zijazo.

  • Pande tatu za Marekani, Japan na K/Kusini zafanya mazungumzo kuhusu K/Kaskazini

    Pande tatu za Marekani, Japan na K/Kusini zafanya mazungumzo kuhusu K/Kaskazini

    Mar 20, 2018 04:19

    Washauri wa ngazi ya juu wa kiusalama wa nchi tatu za Marekani, Korea Kusini na Japan, wameanza kikao cha siku mbili ambacho kitajikita katika kuchunguza namna ya kuliepusha eneo la Korea na silaha za nyuklia.

  • Korea Kusini: Kim Jong-Un anahitaji muda zaidi kukubali mwaliko wa kukutana na Trump

    Korea Kusini: Kim Jong-Un anahitaji muda zaidi kukubali mwaliko wa kukutana na Trump

    Mar 19, 2018 07:19

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Korea Kusini amesema kuwa, Kim Jong-un Kiongozi wa Korea Kaskazini anahitaji muda zaidi ili kukubali mwaliko wa kukutana na Rais Donald Trump wa Marekani.

  • Mbunge wa UK: EU imefanya duru 14 za mazungumzo ya siri na Korea Kaskazini

    Mbunge wa UK: EU imefanya duru 14 za mazungumzo ya siri na Korea Kaskazini

    Mar 15, 2018 06:46

    Mbunge wa chama cha Wahafidhina cha Uingereza katika bunge la Umoja wa Ulaya amesema mazungumzo ya siri yaliyofanywa katika kipindi cha miaka mitatu iliyopita na ujumbe wa wabunge wa bunge la EU na maafisa wa Korea Kaskazini ndiyo yaliyoifanya nchi hiyo ishawishike kuachana na shughuli zake za nyuklia.

  • New York Times yakosoa siasa za Trump dhidi ya makubaliano ya JCPOA

    New York Times yakosoa siasa za Trump dhidi ya makubaliano ya JCPOA

    Mar 13, 2018 02:43

    Gazeti la New York Times linalochapishwa nchini Marekani limezitaja siasa zinazotekelezwa na Rais wa nchi hiyo dhidi ya makubaliano ya nyuklia ya JCPOA kuwa zimepelekea kushindwa kufikiwa makubaliano kati ya Marekani na Korea ya Kaskazini.

  • Trump alegeza msimamo na kukubali kukutana na kiongozi wa Korea Kaskazini

    Trump alegeza msimamo na kukubali kukutana na kiongozi wa Korea Kaskazini

    Mar 09, 2018 06:36

    Rais Donald Trump wa Marekani amelegeza msimamo na kukubali kukutana na Kiongozi wa Korea Kaskazini Kim Jon-un mwezi Mei mwaka huu.

  • Misimamo ya kupingana ya viongozi wa Marekani kuhusu pendekezo la kufanya mazungumzo na Korea Kaskazini

    Misimamo ya kupingana ya viongozi wa Marekani kuhusu pendekezo la kufanya mazungumzo na Korea Kaskazini

    Mar 08, 2018 11:46

    Baada ya Korea Kaskazini kusema kuwa, kuna uwezekano wa kuondolewa silaha za nyuklia eneo la Korea na kurejeshwa uhusiano wa kawaida na Marekani iwapo itadhaminiwa usalama wake, Dan Coats, Mkuu wa Idara ya Intelejensia ya Marekani amesema ana shaka kuhusiana na mambo hayo yote.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS