Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Korea Kaskazini

  • Korea Kaskazini: Japan inajitafutia matatizo kwa kushirikiana na Marekani

    Korea Kaskazini: Japan inajitafutia matatizo kwa kushirikiana na Marekani

    Aug 31, 2017 03:30

    Serikali ya Pyongyang imetoa tahadhari kwa Japan kwamba, nchi hiyo inajitafutia matatizo kutokana na hatua yake ya kushirikiana na Marekani na lengo lake la kutaka kusimika ngao ya makombora ya AEGIS nchini humo.

  • Korea Kasazini yarusha kombora kuelekea Japan, UNSC kuitisha kikao cha dharura

    Korea Kasazini yarusha kombora kuelekea Japan, UNSC kuitisha kikao cha dharura

    Aug 29, 2017 03:08

    Waziri Mkuu wa Japan, Shinzo Abe amelitaka Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa UNSC kuitisha mkutano wa dharura baada ya Korea Kaskazini kuvurumisha kombora lililoruka katika anga yake na kudondoka katika pwani ya kisiwa cha Hokkaido, mashariki mwa Japan.

  • Wakaazi wa kisiwa cha Guam: Tishio halisi kwetu sisi ni Marekani, si Korea Kaskazini

    Wakaazi wa kisiwa cha Guam: Tishio halisi kwetu sisi ni Marekani, si Korea Kaskazini

    Aug 27, 2017 23:28

    Maisha ya wakaazi wa kisiwa cha Guam na usalama wa mazingira ya kisiwa hicho vinakabiliwa na tishio kutokana na kupanuliwa vituo vya kijeshi vya Marekiani kufuatia kushadidi mivutano kati ya nchi hiyo na Korea Kaskazini.

  • Korea Kaskazini yavurumisha makombora ya balistiki

    Korea Kaskazini yavurumisha makombora ya balistiki

    Aug 26, 2017 02:31

    Korea Kaskazini imevurumisha makombora matatu ya masafa mafupi ya balistiki kuelekea pwani yake ya kaskazini.

  • Korea Kaskazini: Chokochoko za Marekani zikiongezeka, tutaishambulia bila huruma

    Korea Kaskazini: Chokochoko za Marekani zikiongezeka, tutaishambulia bila huruma

    Aug 20, 2017 12:00

    Kwa mara nyingine serikali ya Korea Kaskazini imetoa onyo kali kwa Marekani kwa kusema kuwa, ikiwa siasa za uhasama na kupenda kujitanua dhidi ya Pyongyang zitaendelea na hatimaye kuisukuma nchi hiyo kuingia katika vita vya nyuklia, basi Washington itakabiliwa na mashambulizi makali.

  • Mwanastratijia wa Trump: Mgogoro wa Korea Kaskazini hauna njia ya utatuzi wa kijeshi

    Mwanastratijia wa Trump: Mgogoro wa Korea Kaskazini hauna njia ya utatuzi wa kijeshi

    Aug 17, 2017 23:36

    Mwanastratijia wa ngazi ya juu wa ikulu ya Marekani (White House) ametoa matamshi yanayopingana na vitisho vya Rais Donald Trump wa nchi hiyo dhidi ya Pyongyang na kusema kuwa, suala la Korea Kaskazini halina njia ya utatuzi wa kijeshi.

  • Katibu Mkuu wa UN akerwa na vita vya maneno kati ya US na Korea Kaskazini

    Katibu Mkuu wa UN akerwa na vita vya maneno kati ya US na Korea Kaskazini

    Aug 17, 2017 03:12

    Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa ameeleza wasiwasi wake kuhusu kushtadi vita vya maneno kati ya Marekani na Korea Kaskazini na kusema kuwa, kuna haja ya pande mbili hizo kukumbatia diplomasia.

  • Korea Kaskazini: Sharti la kutoshambuliwa kisiwa cha Guam ni Marekani kusitisha chokochoko zake Korea

    Korea Kaskazini: Sharti la kutoshambuliwa kisiwa cha Guam ni Marekani kusitisha chokochoko zake Korea

    Aug 16, 2017 09:42

    Kim Jong-un, Kiongozi wa Korea Kaskazini amesema kuwa, sharti la kusitishwa mashambulizi ya makombora dhidi ya kisiwa cha Guam cha Marekani ni Washington kuhitimisha mivutano katika Peninsula ya Korea.

  • Kim Jong-un alitaka jeshi la Korea Kaskazini kujiweka tayari kwa ajili ya kukishambulia kisiwa cha Guam

    Kim Jong-un alitaka jeshi la Korea Kaskazini kujiweka tayari kwa ajili ya kukishambulia kisiwa cha Guam

    Aug 15, 2017 03:40

    Kim Jong-un, Kiongozi wa Korea Kaskazini amelitaka jeshi la nchi hiyo kujiweka tayari kwa ajili ya kufanya mashambulizi ya makombora dhidi ya kisiwa cha Guam kinachodhibitiwa na Marekani.

  • Korea Kaskazini: Njia pekee ya kuzuia vita katika eneo ni Seoul kuzuia chokochoko za Marekani

    Korea Kaskazini: Njia pekee ya kuzuia vita katika eneo ni Seoul kuzuia chokochoko za Marekani

    Aug 13, 2017 23:11

    Serikali ya Korea Kaskazini imekosoa mazungumzo ya simu ya Rais Moon Jae-in wa Korea Kusini na Rais Donald Trump wa Marekani yaliyofanyika hivi karibuni na kusema kuwa mazungumzo hayo hayawezi kusaidia kumaliza mgogoro uliopo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS