Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Korea Kaskazini

  • "Trump amewasaliti Wamarekani kwa kutafuta vita na Iran, Korea Kaskazini"

    Aug 03, 2017 07:43

    Mbunge wa zamani wa Kongresi ya Marekani amesema Rais Donald Trump wa nchi hiyo amekiuka ahadi aliyotoa wakati wa kampeni za urais kwamba akiingia madarakani hataitumbukzia tena nchi hiyo katika vita.

  • Korea Kaskazini yaionya Marekani isitumie njia ya kijeshi na vikwazo dhidi yake

    Korea Kaskazini yaionya Marekani isitumie njia ya kijeshi na vikwazo dhidi yake

    Jul 31, 2017 07:33

    Serikali ya Korea Kaskazini imeionya Marekani isitumie njia za vikwazo zaidi wala za kijeshi dhidi ya Pyongyang.

  • Korea Kaskazini yaionya Marekani, yasema itaishambulia kwa nyuklia

    Korea Kaskazini yaionya Marekani, yasema itaishambulia kwa nyuklia

    Jul 27, 2017 04:43

    Korea Kaskazini imetangaza kuwa, ikiwa Marekani itafanya kosa kuishambulia kwa nyuklia, basi itapata jibu kama hilo.

  • Korea Kaskazini: Kutokuwa na umuhimu Marekani kuwapiga marufuku raia wake kuja kwetu

    Korea Kaskazini: Kutokuwa na umuhimu Marekani kuwapiga marufuku raia wake kuja kwetu

    Jul 26, 2017 03:36

    Shirika la ustawi wa kieneo la Wonsan Zone Development Corporation la Korea Kaskazini limetangaza kuwa, marufuku iliyotangazwa na Marekani ya kuwazuia raia wake kufanya safari nchini humo, haitakuwa na taathira yoyote kwenye sekta ya utalii.

  • Korea Kaskazini: Wabunge wa Korea Kusini waliotunyooshea kidole, watajuta

    Korea Kaskazini: Wabunge wa Korea Kusini waliotunyooshea kidole, watajuta

    Jul 23, 2017 02:49

    Serikali ya Korea Kaskazini imewatahadharisha wabunge wa Korea Kusini kutokana na hatua yao ya kutoa taarifa ya kulaani majaribio ya hivi karibuni ya kombora yaliyofanywa na Pyongyang, na kusema kuwa, wabunge hao watajutia hatua hiyo.

  • Korea Kaskazini: Matumaini ya Korea Kusini ya kuboreka mahusiano yetu kwa mashinikizo ni upuuzi

    Korea Kaskazini: Matumaini ya Korea Kusini ya kuboreka mahusiano yetu kwa mashinikizo ni upuuzi

    Jul 21, 2017 03:38

    Siku moja baada ya Korea Kusini kutoa pendekezo kwa ajili ya kufikiwa makubaliano na Korea Kaskazini, serikali ya Pyongyang imesema kuwa, matumaini ya Seoul juu ya kuboreka mahusiano ya pande mbili kupitia mashinikizo ni suala la 'kipuuzi.'

  • Japan: Suala la kuzunguza na Korea Kaskazini limepitwa na wakati

    Japan: Suala la kuzunguza na Korea Kaskazini limepitwa na wakati

    Jul 19, 2017 02:27

    Msemaji wa serikali ya Japan, Norio Maruyama ametaka kuzidishwa mashinikizo dhidi ya Korea Kaskazini akisema kuwa muda wa kufanya mazungumzo na nchi hiyo umepita.

  • Kim Jong-un: Marekani bado haijafahamu vilivyo uwezo wa Korea Kaskazini

    Kim Jong-un: Marekani bado haijafahamu vilivyo uwezo wa Korea Kaskazini

    Jul 18, 2017 17:35

    Kiongozi wa Korea Kaskazini, Kim Jong-un amesema kuwa, vitisho vya hivi karibuni vya Rais Donald Trump wa Marekani dhidi ya nchi yake, ni vya kijinga.

  • Korea Kusini yaipa Pyongyang pendekezo la kufanya mazungumzo mwezi huu ili kupunguza mzozo

    Korea Kusini yaipa Pyongyang pendekezo la kufanya mazungumzo mwezi huu ili kupunguza mzozo

    Jul 17, 2017 17:06

    Serikali ya Korea Kusini imetoa pendekezo la kufanya mazungumzo na Pyongyang kwa ajili ya kumaliza mzozo wa kimipaka ndani ya mwezi huu.

  • Korea Kaskazini: Tutatoa jibu kali ikiwa Baraza la Usalama la UN litapitisha vikwazo vipya dhidi yetu

    Korea Kaskazini: Tutatoa jibu kali ikiwa Baraza la Usalama la UN litapitisha vikwazo vipya dhidi yetu

    Jul 15, 2017 07:05

    Serikali ya Korea Kaskazini imetangaza kuwa, ikiwa Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa litapitisha vikwazo vipya dhidi yake, basi itachukua hatua za lazima kukabiliana na hali hiyo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS