-
"Trump amewasaliti Wamarekani kwa kutafuta vita na Iran, Korea Kaskazini"
Aug 03, 2017 07:43Mbunge wa zamani wa Kongresi ya Marekani amesema Rais Donald Trump wa nchi hiyo amekiuka ahadi aliyotoa wakati wa kampeni za urais kwamba akiingia madarakani hataitumbukzia tena nchi hiyo katika vita.
-
Korea Kaskazini yaionya Marekani isitumie njia ya kijeshi na vikwazo dhidi yake
Jul 31, 2017 07:33Serikali ya Korea Kaskazini imeionya Marekani isitumie njia za vikwazo zaidi wala za kijeshi dhidi ya Pyongyang.
-
Korea Kaskazini yaionya Marekani, yasema itaishambulia kwa nyuklia
Jul 27, 2017 04:43Korea Kaskazini imetangaza kuwa, ikiwa Marekani itafanya kosa kuishambulia kwa nyuklia, basi itapata jibu kama hilo.
-
Korea Kaskazini: Kutokuwa na umuhimu Marekani kuwapiga marufuku raia wake kuja kwetu
Jul 26, 2017 03:36Shirika la ustawi wa kieneo la Wonsan Zone Development Corporation la Korea Kaskazini limetangaza kuwa, marufuku iliyotangazwa na Marekani ya kuwazuia raia wake kufanya safari nchini humo, haitakuwa na taathira yoyote kwenye sekta ya utalii.
-
Korea Kaskazini: Wabunge wa Korea Kusini waliotunyooshea kidole, watajuta
Jul 23, 2017 02:49Serikali ya Korea Kaskazini imewatahadharisha wabunge wa Korea Kusini kutokana na hatua yao ya kutoa taarifa ya kulaani majaribio ya hivi karibuni ya kombora yaliyofanywa na Pyongyang, na kusema kuwa, wabunge hao watajutia hatua hiyo.
-
Korea Kaskazini: Matumaini ya Korea Kusini ya kuboreka mahusiano yetu kwa mashinikizo ni upuuzi
Jul 21, 2017 03:38Siku moja baada ya Korea Kusini kutoa pendekezo kwa ajili ya kufikiwa makubaliano na Korea Kaskazini, serikali ya Pyongyang imesema kuwa, matumaini ya Seoul juu ya kuboreka mahusiano ya pande mbili kupitia mashinikizo ni suala la 'kipuuzi.'
-
Japan: Suala la kuzunguza na Korea Kaskazini limepitwa na wakati
Jul 19, 2017 02:27Msemaji wa serikali ya Japan, Norio Maruyama ametaka kuzidishwa mashinikizo dhidi ya Korea Kaskazini akisema kuwa muda wa kufanya mazungumzo na nchi hiyo umepita.
-
Kim Jong-un: Marekani bado haijafahamu vilivyo uwezo wa Korea Kaskazini
Jul 18, 2017 17:35Kiongozi wa Korea Kaskazini, Kim Jong-un amesema kuwa, vitisho vya hivi karibuni vya Rais Donald Trump wa Marekani dhidi ya nchi yake, ni vya kijinga.
-
Korea Kusini yaipa Pyongyang pendekezo la kufanya mazungumzo mwezi huu ili kupunguza mzozo
Jul 17, 2017 17:06Serikali ya Korea Kusini imetoa pendekezo la kufanya mazungumzo na Pyongyang kwa ajili ya kumaliza mzozo wa kimipaka ndani ya mwezi huu.
-
Korea Kaskazini: Tutatoa jibu kali ikiwa Baraza la Usalama la UN litapitisha vikwazo vipya dhidi yetu
Jul 15, 2017 07:05Serikali ya Korea Kaskazini imetangaza kuwa, ikiwa Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa litapitisha vikwazo vipya dhidi yake, basi itachukua hatua za lazima kukabiliana na hali hiyo.