Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Korea Kaskazini

  • Wakorea Kusini: Tutaendeleza maandamano hadi US iondoe ngao yake nchini kwetu

    Wakorea Kusini: Tutaendeleza maandamano hadi US iondoe ngao yake nchini kwetu

    Jul 14, 2017 14:26

    Sambamba na kumbukumbu ya mwaka wa kwanza wa makubaliano kati ya Korea Kusini na Marekani kwa ajili ya kuwekwa ngao ya makombora ya Marekani aina ya THAAD nchini humo, raia wa Korea Kusini wamefanya maandamano makubwa katika miji mbalimbali wakipinga mpango huo.

  • Japan: Tutaishawishi Russia isaidie katika kutatua mgogoro wa eneo la Korea

    Japan: Tutaishawishi Russia isaidie katika kutatua mgogoro wa eneo la Korea

    Jul 11, 2017 08:02

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje wa Japan, Norio Maruyama amesema kuwa, Tokyo na washirika wake wataishawishi Russia ili iweze kushiriki katika kutatuliwa mgogoro wa eneo la Korea.

  • Korea Kusini sasa yaomba mazungumzo na Korea Kaskazini

    Korea Kusini sasa yaomba mazungumzo na Korea Kaskazini

    Jul 08, 2017 07:25

    Huku mgogoro wa Peninsula ya Korea ukiendelea kutokota kufuatia vitisho vya Rais Donald Trump wa Marekani kwamba atatumia nguvu za kijeshi dhidi ya Korea Kaskazini, Korea Kusini sasa imetaka mazungumzo yafanyike kutatua mgogoro uliopo.

  • China na Russia zapinga utumiwaji njia za kijeshi dhidi ya Korea Kaskazini

    China na Russia zapinga utumiwaji njia za kijeshi dhidi ya Korea Kaskazini

    Jul 06, 2017 04:22

    China na Russia zimetangaza kupinga utumiaji njia za kijeshi dhidi ya Korea Kaskazini

  • Trump: Ni lazima China ichukue hatua kali dhidi ya Korea Kaskazini

    Trump: Ni lazima China ichukue hatua kali dhidi ya Korea Kaskazini

    Jul 04, 2017 08:15

    Rais Donald Trump wa Marekani ameitaka Uchina kuchukua uamuzi mgumu kuhusiana na hatua ya Pyongyang ya kuvurumisha kombora jipya la balestiki mapema leo.

  • Pyongyang: Komandi ya kijeshi ya askari wa kimataifa mjini Seoul, ivunjwe

    Pyongyang: Komandi ya kijeshi ya askari wa kimataifa mjini Seoul, ivunjwe

    Jul 03, 2017 04:22

    Serikali ya Korea Kasakazini imetoa pendekezo la kuvunjwa kituo kikuu cha kijeshi kwa ajili ya askari wa mataifa tofauti iliyo chini ya Umoja wa Mataifa huko Seoul, mji mkuu wa Korea Kusini ivunjwe.

  • Pyongyang: Vitisho vya Marekani haviwezi kutuzuia kujiimarisha kwa nyuklia

    Pyongyang: Vitisho vya Marekani haviwezi kutuzuia kujiimarisha kwa nyuklia

    Jun 29, 2017 14:19

    Balozi wa Korea Kaskazini katika Umoja wa Mataifa ameiambia Marekani na washirika wake kwamba, Pyongyang itaendelea kujiimarisha kwa silaha za nyuklia na haitojali vikwazo, mashinikizo na vitisho vya Washington na washirika wake vya kuishambulia kijeshi nchi hiyo.

  • Pyongyang: Trump anatekeleza siasa zile zile za Adolf Hitler wa Ujerumani

    Pyongyang: Trump anatekeleza siasa zile zile za Adolf Hitler wa Ujerumani

    Jun 27, 2017 15:08

    Serikali ya Korea Kaskazini imesema kuwa, Rais Donald Trump wa Marekani anatekeleza siasa zile zile za Adolf Hitler, kiongozi wa zamani wa Kinazi nchini Ujerumani.

  • Korea Kusini: Pyongyang iwaachilie huru watu wetu na Wamarekani inaowashikilia

    Korea Kusini: Pyongyang iwaachilie huru watu wetu na Wamarekani inaowashikilia

    Jun 26, 2017 08:00

    Waziri Mkuu wa Korea Kusini ameitaka serikali ya Korea Kaskazini kuwaalichilia huru raia wa nchi hiyo na wale wa Marekani ambao wanashikiliwa na serikali ya Pyongyang.

  • Pyongyang: Maafisa Usalama wa Marekani wamewadhalilisha wanadiplomasia wetu

    Pyongyang: Maafisa Usalama wa Marekani wamewadhalilisha wanadiplomasia wetu

    Jun 20, 2017 02:32

    Serikali ya Korea Kaskazini imetangaza kuwa, maafisa usalama wa Marekani wamewavunjia heshima wanadiplomasia wa nchi hiyo kwa kuwasimamisha na kupekua mabegi yao kwa nguvu katika uwanja wa ndege wa John F. Kennedy nchini Marekani.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS