Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Korea Kaskazini

  • Pyongyang: Trump anatekeleza siasa zile zile za Adolf Hitler wa Ujerumani

    Pyongyang: Trump anatekeleza siasa zile zile za Adolf Hitler wa Ujerumani

    Jun 27, 2017 10:38

    Serikali ya Korea Kaskazini imesema kuwa, Rais Donald Trump wa Marekani anatekeleza siasa zile zile za Adolf Hitler, kiongozi wa zamani wa Kinazi nchini Ujerumani.

  • Korea Kusini: Pyongyang iwaachilie huru watu wetu na Wamarekani inaowashikilia

    Korea Kusini: Pyongyang iwaachilie huru watu wetu na Wamarekani inaowashikilia

    Jun 26, 2017 03:30

    Waziri Mkuu wa Korea Kusini ameitaka serikali ya Korea Kaskazini kuwaalichilia huru raia wa nchi hiyo na wale wa Marekani ambao wanashikiliwa na serikali ya Pyongyang.

  • Pyongyang: Maafisa Usalama wa Marekani wamewadhalilisha wanadiplomasia wetu

    Pyongyang: Maafisa Usalama wa Marekani wamewadhalilisha wanadiplomasia wetu

    Jun 19, 2017 22:02

    Serikali ya Korea Kaskazini imetangaza kuwa, maafisa usalama wa Marekani wamewavunjia heshima wanadiplomasia wa nchi hiyo kwa kuwasimamisha na kupekua mabegi yao kwa nguvu katika uwanja wa ndege wa John F. Kennedy nchini Marekani.

  • Marekani: Tunaweza kushinda vita na Pyongyang, lakini vitakuwa msiba mkubwa

    Marekani: Tunaweza kushinda vita na Pyongyang, lakini vitakuwa msiba mkubwa

    Jun 16, 2017 23:54

    Waziri wa Ulinzi wa Marekani James Mattis amesema kuwa, Washington na washirika wake wanaweza kushinda vita dhidi ya Korea Kaskazini, lakini vita hivyo vitasababisha msiba mkubwa kwa raia wa eneo zima la Korea.

  • Korea Kaskazini inaandaa silaha ya kuifuta kabisa Marekani kwenye uso wa dunia

    Korea Kaskazini inaandaa silaha ya kuifuta kabisa Marekani kwenye uso wa dunia

    Jun 06, 2017 09:49

    Gazeti rasmi la Korea Kaskazini la Minchu Chosun limeandika kuwa, hivi sasa Pyongyang inaendelea na maandalizi ya kuunda silaha yenye uwezo wa kuifuta kabisa Marekani kwenye uso wa dunia kutokana na Washington kuendelea kujizatiti katika eneo la Peninsula ya Korea.

  • Korea Kaskazini: Marekani ndiyo iliyounda makundi ya kigaidi Mashariki ya Kati

    Korea Kaskazini: Marekani ndiyo iliyounda makundi ya kigaidi Mashariki ya Kati

    Jun 05, 2017 22:47

    Balozi wa Korea Kaskazini anayehusika na masuala ya nchi za Kiarabu za eneo la Ghuba ya Uajemi amekosoa vikali siasa za uhasama za serikali ya Marekani katika eneo la Mashariki ya Kati na kubainisha kuwa, Washington ndiyo inayohusika na uundwaji wa makundi yote ya kigaidi katika eneo.

  • Korea Kusini: Urushaji makombora wa Korea Kaskazini unatuweka katika mashinikizo

    Korea Kusini: Urushaji makombora wa Korea Kaskazini unatuweka katika mashinikizo

    May 30, 2017 00:00

    Jeshi la Korea Kusini limesema kuwa, urushaji makombora unaofanywa na Korea Kaskazini unaiweka Seoul katika mashinikizo kwa ajili ya kubadili siasa za nchi hiyo.

  • Kuendelea siasa za kupenda vita za Marekani katika Peninsula ya Korea

    Kuendelea siasa za kupenda vita za Marekani katika Peninsula ya Korea

    May 21, 2017 22:07

    Katika hali ambayo baadhi ya duru za habari zimearifu kupungua misimamo ya pande mbili kuhusiana na mgogoro wa Peninsula ya Korea, yaani Marekani na Korea Kaskazini, Washington imetuma meli yake ya kivita aina ya USS Ronald Reagan katika maji ya karibu na Korea Kaskazini.

  • Korea Kaskazini: Marekani haina budi isipokuwa iachane na siasa za uhasama dhidi yetu

    Korea Kaskazini: Marekani haina budi isipokuwa iachane na siasa za uhasama dhidi yetu

    May 20, 2017 03:19

    Naibu balozi wa Korea Kaskazini katika Umoja wa Mataifa amesema kuwa, sasa umefika wakati Marekani kuchanea na siasa zake za uhasama dhidi ya Pyongyang.

  • Jumamosi, Mei 20, 2017

    Jumamosi, Mei 20, 2017

    May 20, 2017 01:42

    Leo ni Jumamosi tarehe 23 Shaaban 1438 Hijria sawa na tarehe 20 Mei mwaka 2017 Miladia.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS