-
Pyongyang: Trump anatekeleza siasa zile zile za Adolf Hitler wa Ujerumani
Jun 27, 2017 10:38Serikali ya Korea Kaskazini imesema kuwa, Rais Donald Trump wa Marekani anatekeleza siasa zile zile za Adolf Hitler, kiongozi wa zamani wa Kinazi nchini Ujerumani.
-
Korea Kusini: Pyongyang iwaachilie huru watu wetu na Wamarekani inaowashikilia
Jun 26, 2017 03:30Waziri Mkuu wa Korea Kusini ameitaka serikali ya Korea Kaskazini kuwaalichilia huru raia wa nchi hiyo na wale wa Marekani ambao wanashikiliwa na serikali ya Pyongyang.
-
Pyongyang: Maafisa Usalama wa Marekani wamewadhalilisha wanadiplomasia wetu
Jun 19, 2017 22:02Serikali ya Korea Kaskazini imetangaza kuwa, maafisa usalama wa Marekani wamewavunjia heshima wanadiplomasia wa nchi hiyo kwa kuwasimamisha na kupekua mabegi yao kwa nguvu katika uwanja wa ndege wa John F. Kennedy nchini Marekani.
-
Marekani: Tunaweza kushinda vita na Pyongyang, lakini vitakuwa msiba mkubwa
Jun 16, 2017 23:54Waziri wa Ulinzi wa Marekani James Mattis amesema kuwa, Washington na washirika wake wanaweza kushinda vita dhidi ya Korea Kaskazini, lakini vita hivyo vitasababisha msiba mkubwa kwa raia wa eneo zima la Korea.
-
Korea Kaskazini inaandaa silaha ya kuifuta kabisa Marekani kwenye uso wa dunia
Jun 06, 2017 09:49Gazeti rasmi la Korea Kaskazini la Minchu Chosun limeandika kuwa, hivi sasa Pyongyang inaendelea na maandalizi ya kuunda silaha yenye uwezo wa kuifuta kabisa Marekani kwenye uso wa dunia kutokana na Washington kuendelea kujizatiti katika eneo la Peninsula ya Korea.
-
Korea Kaskazini: Marekani ndiyo iliyounda makundi ya kigaidi Mashariki ya Kati
Jun 05, 2017 22:47Balozi wa Korea Kaskazini anayehusika na masuala ya nchi za Kiarabu za eneo la Ghuba ya Uajemi amekosoa vikali siasa za uhasama za serikali ya Marekani katika eneo la Mashariki ya Kati na kubainisha kuwa, Washington ndiyo inayohusika na uundwaji wa makundi yote ya kigaidi katika eneo.
-
Korea Kusini: Urushaji makombora wa Korea Kaskazini unatuweka katika mashinikizo
May 30, 2017 00:00Jeshi la Korea Kusini limesema kuwa, urushaji makombora unaofanywa na Korea Kaskazini unaiweka Seoul katika mashinikizo kwa ajili ya kubadili siasa za nchi hiyo.
-
Kuendelea siasa za kupenda vita za Marekani katika Peninsula ya Korea
May 21, 2017 22:07Katika hali ambayo baadhi ya duru za habari zimearifu kupungua misimamo ya pande mbili kuhusiana na mgogoro wa Peninsula ya Korea, yaani Marekani na Korea Kaskazini, Washington imetuma meli yake ya kivita aina ya USS Ronald Reagan katika maji ya karibu na Korea Kaskazini.
-
Korea Kaskazini: Marekani haina budi isipokuwa iachane na siasa za uhasama dhidi yetu
May 20, 2017 03:19Naibu balozi wa Korea Kaskazini katika Umoja wa Mataifa amesema kuwa, sasa umefika wakati Marekani kuchanea na siasa zake za uhasama dhidi ya Pyongyang.
-
Jumamosi, Mei 20, 2017
May 20, 2017 01:42Leo ni Jumamosi tarehe 23 Shaaban 1438 Hijria sawa na tarehe 20 Mei mwaka 2017 Miladia.