-
Korea Kaskazini yajiwekea rekodi ya kufyatua makombora ya balestiki mara tatu ndani ya wiki moja
Sep 30, 2022 07:22Korea Kaskazini imefyatua kombora la balestiki kwa mara ya tatu ndani ya wiki moja mara baada ya kumalizika ziara ya makamu wa rais wa Marekani Kamala Harris nchini Korea Kusini.
-
Kombora jipya la Korea Kaskazini na kiwingu kizito cha vita Kusini Mashariki mwa Asia
Sep 26, 2022 08:20Hatua ya Korea Kaskazini ya kufanyia majaribio kombora lake jipya kuelekea upande wa Bahari ya Japan imepokewa kwa hisia kali na nchi mbili za Japan na Korea Kusini.
-
Korea Kaskazini, dola lenye nguvu za nyuklia
Sep 12, 2022 02:17Kiongozi wa Korea Kaskazini, Kim Jong-un ametia saini sheria ambayo kwa mujibu wake nchi hiyo sasa inatambuliwa rasmi kuwa ni dola lenye nguvu za kijeshi za nyuklia.
-
Korea Kaskazini: Hatutasalimisha silaha zetu za nyuklia
Sep 10, 2022 02:20Kiongozi wa Korea Kaskazini amesema kamwe Pyongyang haitasalimisha silaha zake za nyuklia au kutumia suala la kuharibu silaha hizo za maangamizi kujadiliana na Marekani.
-
Korea Kusini ina hofu juu ya jaribio la 7 la nyukia linalokaribia kufanywa na Korea Kaskazini
Jul 26, 2022 11:19Korea Kusini imesema, si baidi kwa Korea Kaskazini kufanya jaribio la saba la nyuklia hapo kesho.
-
Ukraine yavunja uhusiano na Korea Kaskazini kwa kuyatambua maeneo yaliyojitenga na nchi hiyo
Jul 14, 2022 07:26Ukraine imevunja uhusiano wake wa kidiplomasia na Korea Kaskazini baada ya Pyongyang kuyatambua maeneo mawili ya mashariki ya Ukraine ya Donetsk na Luhansk yaliyojitenga na Kyiv na kujitangaza Jamhuri huru zinazojitawala.
-
Korea Kaskazini yafyatua makombora 8 sambamba na kumalizika mazoezi ya kijeshi ya US na Korea Kusini
Jun 05, 2022 08:05Korea Kaskazini imeyafanyia majaribio makombora manane ya balestiki ya masafa mafupi kuelekea baharini katika upande wa pwani yake ya mashariki, siku moja tu baada ya jirani yake Korea Kusini na Marekani kukamilisha mazoezi yao ya pamoja ya kijeshi katika Bahari ya Ufilipino.
-
Marekani: Kiongozi wa Korea Kaskazini hana hamu yoyote ya kukutana na Biden
May 20, 2022 07:35Jake Sullivan, mshauri wa usalama wa taifa wa serikali ya Marekani amesema, Kiongozi wa Korea Kaskazini Kim Jong Un ambaye hapo kabla aliwahi kukutana na kufanya mazungumzo na aliyekuwa rais wa Marekani Donald Trump, hajaonyesha hamu yoyote ya kukutana na rais wa sasa wa nchi hiyo Joe Biden.
-
Korea Kaskazini yafanyia jaribio kombora kabla ya Biden kuwasili Seoul
May 08, 2022 04:27Korea Kaskazini imefanya jaribio la kombora la pili la balistiki siku chache tu kabla ya Rais Joe Biden wa Marekani kutembelea nchi jirani ya Korea Kusini.
-
Korea Kaskazini yafanyia majaribio kombora lake kubwa kabisa la balestiki linalovuka mabara
Mar 24, 2022 13:19Korea Kusini na Japan zimesema, Korea Kaskazini imefanyia majaribio kile kinachoshukiwa kuwa ni kombora lake kubwa kabisa la balestiki linalovuka mabara.