Jan 02, 2020 09:56
Kiongozi wa Korea Kaskazini ameionya Marekani kuhusu sera inazofuata dhidi ya nchi yake. Kim Jong Un ametoa onyo hilo katika ujumbe wake wa mwaka mpya wa 2020 na kutangaza kuwa: "Iwapo Marekani itaendeleza siasa zake dhidi ya Korea Kaskazini, basi silaha za nyuklia kamwe hazitoangamizwa katika Rasi ya Korea."