-
Kim Jong-un, Kiongozi wa Korea Kaskazini aonekana hadharani
May 02, 2020 11:12Shirika la Serikali ya Korea Kaskazini limeripoti habari ya kuonekana hadharani kiongozi wa nchi hiyo.
-
Korea Kusini yasema habari za ugonjwa wa Kim Jong-un ni za kubuni tu
Apr 30, 2020 02:37Wizara ya Umoja ya Korea Kusini ambayo ina jjukumu la kuratibu uhusiano wa Korea mbili, imesema kuwa habari zinazohusu ugonjwa wa Kim Jong-un, Kiongozi wa Korea Kaskazini ni za kubuni tu na zisizo na msingi.
-
Huku kukiwa na tetesi za kifo chake, kiongozi wa Korea Kaskazini amtumia barua rais wa Afrika Kusini
Apr 28, 2020 10:44Vyombo vya habari vya Korea Kaskazini vimechapisha barua ya kiongozi wa nchi hiyo Kim Jong Un ambayo iliandikwa na kutiwa saini na kiongozi huyo Jumatatu.
-
Korea Kaskazini yakosoa hatua za uhasama za Marekani dhidi ya Pyongyang
Mar 31, 2020 06:01Serikali ya Korea Kaskazini imekosoa kitendo cha kuendelea hatua za uhasama za Marekani dhidi yake.
-
Korea Kaskazini yavurumisha tena makombora ya balestiki ya masafa mafupi
Mar 29, 2020 08:03Kwa mara nyingine tena, Korea Kaskazini mapema leo Jumapili imevurumisha makombora mawili ya balestiki ya masafa mafupi kuelekea baharini, huko pwani ya mashariki ya nchi hiyo.
-
Jeshi la Korea Kaskazini laanzisha tena shughuli zake baada ya kuzisimamisha kwa mwezi mmoja
Mar 18, 2020 03:08Kwa mara nyingine tena jeshi la Korea Kaskazini limeanzisha shughuli zake baada ya kuzisimamisha kwa siku 30 kufuatia maambukizi ya virusi vya Corona.
-
Baadhi ya mabalozi na wanadiplomasia wahamishwa kutoka Korea Kaskazini
Mar 10, 2020 02:37Sambamba na kushadidi hatua za serikali ya Korea Kaskazini za kukabiliana na virusi vya Corona, ndege maalumu ya nchi hiyo imewaondoa makumi ya wanadiplomasia na raia wa kigeni kutoka nchi hiyo na kuwapeleka katika uwanja wa ndege wa mashariki mwa Russia.
-
Korea Kaskazini yafanya jaribio jengine la makombora
Mar 02, 2020 07:32Wizara ya Ulinzi ya Korea Kusini imetangaza kuwa Korea Kaskazini imefanya jairbio jengine la makombora.
-
Korea Kaskazini yatoa radiamali yake kufuatia kuuawa kigaidi na Marekani Jenerali Soleimani
Jan 06, 2020 13:15Vyombo vya habari nchini Korea Kaskazini vimetoa radiamali kufuatia kuuawa shahidi na askari magaidi wa Marekani Luteni Jenerali Qassem Soleimani na kuitaja Washington kuwa muhusika mkuu wa ongezeko la mizozo katika eneo la Asia Magharibi.
-
Sisitizo la Russia la kupata funzo Korea Kaskazini kupitia ukiukaji ahadi wa Marekani katika makubaliano ya JCPOA
Jan 03, 2020 06:03Katika kipindi cha utawala wa Rais Donald Trump, Marekani imetanguliza mbele siasa za vitisho sambamba na mazungumzo mkabala na Korea Kaskazini.