Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

kunyongwa - kifo

  • UN yaipongeza Kenya kwa kubadili adhabu ya kifo kuwa kifungo cha maisha jela

    UN yaipongeza Kenya kwa kubadili adhabu ya kifo kuwa kifungo cha maisha jela

    Oct 30, 2016 07:19

    Umoja wa Mataifa umepongeza hatua ya Kenya ya kubadilisha adhabu ya kifo kuwa kifungo cha maisha jela kwa maelfu ya watu waliokuwa wakisubiri kutekelezwa hukumu hiyo dhidi yao.

  • Afisa wa zamani wa polisi CAR atuhumiwa kunyonga raia

    Afisa wa zamani wa polisi CAR atuhumiwa kunyonga raia

    Jun 28, 2016 04:02

    Shirika la kutetea haki za binadamu la Human Rights Watch (HRW) limemtuhumu afisa wa zamani wa polisi ya Jamhuri ya Afrika ya Kati (CAR) kuwa amewanyonga raia kinyume cha sheria.

  • Nchi kadhaa za Ulaya zapinga vitendo vya kunyongwa wapinzani Saudia

    Nchi kadhaa za Ulaya zapinga vitendo vya kunyongwa wapinzani Saudia

    Jun 27, 2016 04:30

    Wawakilishi wa nchi za Ufaransa na Ireland katika Baraza la Haki za Binadamu la Umoja wa Mataifa wamesema kuwa idadi ya watu walionyongwa nchini Saudi Arabia katika mwaka uliopita wa 2015 ni maafa makubwa.

  • Bahrain yasisitiza kuwanyonga wanaharakati 3 wa Kishia

    Bahrain yasisitiza kuwanyonga wanaharakati 3 wa Kishia

    Jun 01, 2016 07:02

    Mahakama ya Rufaa ya Bahrain imekataa kutengua hukumu ya kunyongwa wanaharakati watatu wa Kiislamu wa madhehebu ya Shia.

  • Amnesty: Huenda Saudia ikamnyonga mpwa wa Sheikh Nimr kesho!

    Amnesty: Huenda Saudia ikamnyonga mpwa wa Sheikh Nimr kesho!

    Mar 12, 2016 15:25

    Shirika la kimataifa la kutetea haki za binadamu la Amnesty International limeelezea hofu yake kuwa yumkini utawala wa Saudi Arabia hapo kesho ukamnyonga Ali Nimr, mpwa wa Shahidi Sheikh Nimr Baqir al-Nimr, mwanachuoni mkuu na maarufu wa Kiislamu aliyenyongwa na watawala wa Aal-Saud mapema mwaka huu.

Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS