-
SADC yaafiki mpango wa kutuma wanajeshi nchini Msumbiji
Jun 24, 2021 07:24Nchi wanachama wa Jumuiya ya Maendeleo ya Kusini mwa Afrika SADC zimeafikiana juu ya mpango wa kutuma wanajeshi nchini Msumbiji kuisaidia Maputo kupambana na magenge ya magaidi na waasi huko kaskazini mwa nchi hiyo.
-
Kushadidi harakati za ugaidi eneo la Afrika Magharibi
Jun 08, 2021 15:53Katika wiki za hivi karibuni kumeshuhudiwa kushadidi Harakati za makundi ya kigaidi katika eneo la Afrika Magharibi hasa Nigeria na nchi jirani. Katika hatua ya hivi kairbuni kabisa magaidi walishambulia kijiji kaskazini mwa Burkina Faso na kuua raia zaidi ya 160 huku wakitetekteza nyumba na masoko. Umoja wa Mataifa umetoa taarifa na kulaani hujuma hiyo ambayo imepelekea idadi kubwa ya raia kuuawa kwa umati.
-
Kuanza kikao cha kundi la nchi 5 za Sahel Afrika huko Chad
Feb 17, 2021 02:24Kikao cha kundi la nchi 5 za Sahel Afrika kimeanza katika mji mkuu wa Chad N’Djamena kwa kuhudhuriwa na viongozi wa Ufaransa na wa mataifa ya magharibi wa Afrika.
-
Kadhaa wauawa katika makabiliano baina ya Jeshi la Algeria na genge la kigaidi
Jan 04, 2021 15:39Wanamgambo wawili na mwanajeshi mmoja wameuawa katika makabiliano baina ya maafisa usalama na genge moja la kigaidi huko kaskazini magharibi mwa Algeria.
-
Kamanda Soleimani, shujaa wa dunia katika vita dhidi ya ugaidi
Jan 02, 2021 07:26Leo Jumamosi, tarehe pili Januari 2021 inayosadifiana na tarehe 13 Dei 1399 mwaka wa Kiirani wa Hijria Shamsia, inasadifiana na mwaka mmoja tangu alipouawa shahidi na kidhulma, Luteni Jenerali Qassem Soleimani, Kamanda wa Kikosi cha Quds cha Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu SEPAH.
-
UN: Magaidi na wenye chuki wanatumia janga la corona kuendeleza ajenda zao
Jul 07, 2020 07:23Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa amesema magenge ya kigaidi na makundi ya kibaguzi na yenye misimamo mikali yanatumia janga la kimataifa la corona kuendeleza ajenda zao hususan kupanda mbegu za chuki na uhasama katika jamii.
-
Magaidi 21 waliopanga kuvuruga sherehe za Iddi wauawa Sinai, Misri
May 24, 2020 09:45Wizara ya Mambo ya Ndani ya Misri imetangaza habari ya kuuawa wanachama 21 wa genge moja la kigaidi katika operesheni mbili tofauti zilizofanyika katika Peninsula ya Sinai.
-
Washukiwa 44 wa Boko Haram wapatikana wameaga dunia gerezani Chad
Apr 19, 2020 03:39Makumi ya washukiwa wa kundi la kigaidi na kitakfiri la Boko Haram wameaga dunia katika mazingira ya kutatanisha gerezani nchini Chad.
-
Askari polisi na magaidi 7 wauawa kwenye makabiliano Misri
Apr 15, 2020 08:06Afisa wa polisi wa Misri na washukiwa saba wa genge la kigaidi wameuawa katika makabiliano ya risasi baina ya pande mbili hizo jijini Cairo.
-
Magaidi 17 waangamizwa katika mkoa wa Sinai, Misri
Feb 12, 2020 07:32Wizara ya Mambo ya Ndani ya Misri imetangaza habari ya kuuawa wanachama 17 wa genge moja la kigaidi katika mji wa al-Arish, katika mkoa wa Sinai Kaskazini.