-
London: Kuna washukiwa wa ugaidi 3000 nchini Uingereza
Feb 07, 2020 01:09Mkuu wa Jeshi la Polisi la Kupambana na Ugaidi nchini Uingereza amesema kuwa uwepo wa washukiwa 3000 wa hujuma za kigaidi nchini humo, unatia wasi wasi mkubwa.
-
Kuongezeka harakati za makundi ya kigaidi magharibi mwa Afrika
Dec 29, 2019 02:52Makundi ya kigaidi ya Boko Haramu na Daesh yamezidisha harakati zao katika eneo la magharibi mwa Afrika.
-
Al Muallem na Pedersen wasisitiza kupiga hatua mazungumzo ya kamati ya katiba ya Syria
Sep 24, 2019 02:53Waziri wa Mambo ya Nje wa Syria na Mjumbe Maalumu wa Umoja wa Mataifa kuhusu Syria wamechukunguza masuala yaliyosalia kuhusu uundaji wa kamati ya katiba, utaratibu na hatua zinazopaswa kuchukuliwa katika uwanja huo.
-
Juhudi za Afrika kwa ajili ya kupambana na ugaidi
Sep 16, 2019 02:35Kufuatia kuongezeka mashambulizi ya ugaidi katika nchi za Kiafrika, hususan eneo la Sahel, viongozi wa eneo la magharibi mwa bara hilo, wametenga kiasi cha Dola bilioni moja kwa ajili ya kukabiliana na tishio linaloongezeka la harakati za makundi yenye kufurutu ada katika eneo.
-
Nchi za magharibi mwa Afrika kuchangishana fedha za kupambana na ugaidi
Sep 15, 2019 12:17Nchi za Magharibi mwa Afrika zimefikia uamuzi wa kuchingashana fedha na kuwa na mfuko maalumu wenye akiba ya dola bilioni moja kwa ajili ya kuendesha mapambano dhidi ya ugaidi.
-
Kadhaa wauawa katika makabaliano baina ya askari wa Misri na magaidi, Sinai
Sep 15, 2019 07:16Vyombo vya usalama vya Misri vimetangaza habari ya kuuawa watu kadhaa katika makabiliano baina ya wanajeshi wa serikali ya nchi hiyo na wanamgambo huko kaskazini mwa mkoa wa Sinai.
-
Hatibu wa Swala ya Ijumaa Tehran: Marekani ni kinara wa tawala za kigaidi duniani
Aug 30, 2019 11:59Hatibu wa Swala ya Ijumaa ya leo mjini Tehran amesema kuwa, Marekani ni kinara wa tawala za kigaidi kote duniani na kwamba, baada ya maafisa wa serikali ya Washington kukiri kwamba nchi hiyo ndiyo iliyoanzisha makundi ya kigaidi katika eneo la Mashariki ya Kati, ni aibu kubwa kwa Marekani kudai kuwa inapambana na ugaidi.
-
AU: Vijana wahusishwe ipasavyo katika vita dhidi ya ugaidi
Jul 12, 2019 02:27Mjumbe wa Umoja wa Afrika ametoa mwito wa kushirikishwa vijana barabara katika mapambano dhidi ya ugaidi.
-
Makumi ya magaidi wauawa na jeshi la Misri Peninsula ya Sinai
May 17, 2019 02:32Jeshi la Misri limeangamiza magaidi 47 wenye mfungamano na kundi la kigaidi la Daesh katika operesheni ya vikosi vya usalama vya nchi hiyo katika mkoa wa Sinai Kaskazini.
-
Sayyid Hassan Nasrullah: Daesh (ISIS) ni zao la Saudia na fikra ya Uwahabi
Apr 22, 2019 17:25Katibu Mkuu wa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon Sayyid Hassan Nasrullah amesema kuwa, kundi la kigaidi na ukufurishaji la Daesh (ISIS) ni zao la Saudi Arabia na fikra za Uwahabi na amesisitiza kwamba makundi mengi ya kigaidi yanapata mikopo ya fedha kutoka taasisi mbalimbali za kidini nchini Saudia na kutumia fikra hizo hizo za Uwahabi kufanya mauaji na jinai dhidi ya mataifa ya Waislamu.