Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

kupambana na ugaidi

  • Rais wa Syria akosoa undumakuwili wa Wamagharibi katika vita dhidi ya ugaidi

    Rais wa Syria akosoa undumakuwili wa Wamagharibi katika vita dhidi ya ugaidi

    Mar 20, 2019 07:43

    Rais wa Syria Bashar al-Assad amekosoa vikali sera ya undumakuwili ya baadhi ya nchi katika vita dhidi ya ugaidi.

  • Magaidi 16 wauawa Sinai Kaskazini nchini Misri

    Magaidi 16 wauawa Sinai Kaskazini nchini Misri

    Feb 19, 2019 15:42

    Jeshi la Misri limewauwa magaidi 16 katika oparesheni ya ulipizaji kisasi iliyoifanya katika mji wa Arisha katika eneo la Sinai Kaskazini.

  • Viongozi wa Kiislamu nchini Mali wamtaka Waziri Mkuu ajiuzulu

    Viongozi wa Kiislamu nchini Mali wamtaka Waziri Mkuu ajiuzulu

    Feb 11, 2019 08:00

    Viongozi na shakhsia wa Kiislamu nchini Mali wamemtaka Waziri Mkuu wa nchi hiyo, Soumeylou Boubeye Maiga ajiuzulu wadhifa wake, wakisisitiza kuwa serikali yake imeshindwa kukabiliana na jinamizi la ugaidi, Uwahhabi na misimamo ya kufurutu ada.

  • Magaidi sita waangamizwa na maafisa usalama kusini mwa Misri

    Magaidi sita waangamizwa na maafisa usalama kusini mwa Misri

    Jan 13, 2019 07:50

    Wanachama sita wa genge moja la kigaidi wameuawa katika operesheni ya maafisa usalama huko kusini mwa Misri.

  • Iran: Nchi za Ulaya si wakweli katika suala la kupambana na ugaidi

    Iran: Nchi za Ulaya si wakweli katika suala la kupambana na ugaidi

    Jan 09, 2019 17:00

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amelaani uamuzi usio na mantiki na wa kushangaza uliochukuliwa na Umoja wa Ulaya wa kuwawekea vikwazo raia kadhaa wa Iran kwa kutegemea tuhuma zisizo na msingi wowote.

  • Juhudi za kupambana na ugaidi barani Afrika

    Juhudi za kupambana na ugaidi barani Afrika

    Nov 29, 2018 11:21

    Kufuatia kushamiri na kuenea harakati za makundi ya kigaidi katika maeneo mbalimbali duniani hasa Afrika, nchi washiriki wa mkutano wa pili wa kimataifa wa kupambana na ugaidi uliofanyika katika mji mkuu wa Algeria, Algiers zimesisitizia ulazima wa nchi za magharibi mwa Afrika kushirikiana pamoja katika kupambana na janga hilo.

  • Rais Rouhani: Iran ndiye mpinzani mkuu wa silaha za mauaji ya umati na ugaidi + Video

    Rais Rouhani: Iran ndiye mpinzani mkuu wa silaha za mauaji ya umati na ugaidi + Video

    Nov 21, 2018 16:07

    Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, Tehran ndiyo inayoweza kudai kuwa ni mpinzani mkuu wa ugaidi na silaha za kemikali hasa kutokana na kwamba, taifa la Iran ndiye muhanga mkuu zaidi wa ugaidi na mashambulizi ya silaha hizo hatari.

  • Kuangamizwa ugaidi ndicho kipaumbele kikuu cha serikali mpya ya Iraq

    Kuangamizwa ugaidi ndicho kipaumbele kikuu cha serikali mpya ya Iraq

    Oct 29, 2018 04:36

    Jumamosi iliyopita Waziri Mkuu mpya wa Iraq, Adil Abdul-Mahdi alikutana na viongozi kadhaa wa ngazi za juu wa kijeshi na kiusalama nchini humo ambapo alisisitizia ulazima wa kuendelezwa mapambano dhidi ya makundi ya kigaidi hadi kukatwa kibisa mizizi yake.

  • Mchango muhimu wa Hizbullah katika ushindi wa Lebanon dhidi ya ugaidi

    Mchango muhimu wa Hizbullah katika ushindi wa Lebanon dhidi ya ugaidi

    Sep 25, 2018 13:58

    Rais Michel Aoun wa Lebanon ametetea uwepo wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Hizbullah ya Lebanon huko nchini Syria na kusema kuwa, uwepo huo ni kwa ajili ya kuihami nchi yake na hujuma za magaidi.

  • Baraza la Usalama laitaka jamii ya kimataifa ishirikiane na Iran kupambana na ugaidi

    Baraza la Usalama laitaka jamii ya kimataifa ishirikiane na Iran kupambana na ugaidi

    Sep 25, 2018 08:01

    Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa limetoa mwito kwa jamii ya kimataifa kushirikiana na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika vita dhidi ya ugaidi, sambamba na kuhakikisha kuwa serikali ya Tehran inawakamata na kuwafikisha mbele ya sheria wahusika wa shambulizi la kikatili la Ahvaz.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS