Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Kuwait

  • Amiri wa Kuwait afariki akiwa na miaka 86; kakake wa kambo amrithi

    Amiri wa Kuwait afariki akiwa na miaka 86; kakake wa kambo amrithi

    Dec 16, 2023 13:26

    Amiri wa Kuwait Sheikh Nawaf al-Ahmad al-Jaber al-Sabah amefariki dunia leo akiwa na umri wa miaka 86.

  • Kuwait yaungana na mataifa mengine kulaani kuvunjiwa heshima Qur'ani huko Sweden

    Kuwait yaungana na mataifa mengine kulaani kuvunjiwa heshima Qur'ani huko Sweden

    Oct 02, 2023 07:12

    Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Kuwait imelaani vikali kuvunjiwa heshima tena kitabu kitakatifu cha Qur'ani huko nchini Sweden.

  • Waziri Mkuu wa Kuwait asisitiza umuhimu wa kadhia ya Palestina

    Waziri Mkuu wa Kuwait asisitiza umuhimu wa kadhia ya Palestina

    Sep 22, 2023 11:33

    Waziri Mkuu wa Kuwait Ahmad Nawaf Al-Ahmad Al-Sabah amesisitiza kuwa Palestina ni moja ya masuala muhimu katika ulimwengu wa Kiislamu na ulimwengu wa Kiarabu.

  • Kuwait yakaribisha hatua ya Denmark dhidi ya wanayoivunjia heshima Qur'ani

    Kuwait yakaribisha hatua ya Denmark dhidi ya wanayoivunjia heshima Qur'ani

    Aug 27, 2023 02:50

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Kuwait amekaribisha uamuzi uliochukuliwa na Denmark kuhusu vitendo vya kuivunjia heshima Qur'ani tukufu.

  • Iran iimethibitisha kivitendo mapenzi yake ya kidugu kwa majirani na Waislamu wenzake

    Iran iimethibitisha kivitendo mapenzi yake ya kidugu kwa majirani na Waislamu wenzake

    Aug 12, 2023 12:55

    Balozi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema katika kikao cha Jumuiya ya Urafiki baina ya Iran na Kuwait kwamba, Tehran imethibitisha kivitendo mapenzi yake ya kidugu kwa majirani na Waislamu wenzake kwenye migogoro na hali ngumu zinazotokea.

  • Leo katika Historia, Jumatano 19 Julai

    Leo katika Historia, Jumatano 19 Julai

    Jul 19, 2023 02:38

    Jumatano tarehe Mosi Muharram 1445 Hijria inayosadifiana na tarehe 19 Julai mwaka 2023.

  • Abdollahian: Kuimarisha uhusiano na majirani, kipaumbele cha Iran

    Abdollahian: Kuimarisha uhusiano na majirani, kipaumbele cha Iran

    Jun 22, 2023 07:28

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesema Jamhuri ya Kiislamu inalipa uzito suala la kuimarisha uhusiano na ushirikiano na mataifa jirani katika eneo la Asia Magharibi.

  • Jumatatu, tarehe 19 Juni, 2023

    Jumatatu, tarehe 19 Juni, 2023

    Jun 19, 2023 09:24

    Leo ni Jumatatu tarehe 30 Dhulqaada 1444 Hijria sawa na tarehe 19 Juni 2023.

  • Iran yazitaka nchi za Kiislamu kuchukua hatua za pamoja kuulinda msikiti wa al-Aqswa

    Iran yazitaka nchi za Kiislamu kuchukua hatua za pamoja kuulinda msikiti wa al-Aqswa

    Jan 06, 2023 07:46

    Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ametoa mwito wa kuweko uratibu na kuchukuliwa hatua za pamoja na mataifa ya Kiislamu kwa ajili ya kuilinda hali ya kihistoria na kisheria ya msikiti mtakatifu wa al-Aqswa.

  • Kuwait kujinaisha kuanzishwa uhusiano wa kawaida na Israel

    Kuwait kujinaisha kuanzishwa uhusiano wa kawaida na Israel

    Dec 04, 2022 07:52

    Bunge la Kuwait kwa mara nyingine limechukua hatua inayoashiria msimamo usiotetereka wa nchi hiyo kuhusiana na Palestina, na sasa linaandaa mpango wa kisheria wa kufanya kuwa jinai mpango wowote wa kuanzisha uhusiano wa kawaida na utawala haramu wa Israel.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS