-
Spika wa Bunge la Kuwait ataka kupigwa marufuku kuanzishwa uhusiano wa kawaida na Israel
Mar 04, 2019 04:37Spika wa Bunge la Kuwait ametoa wito wa kupigwa marufuku suala la kuanzishwa uhusiano wa kawaida na Israel na kuzuiwa kuweko uhusiano wa kisiasa na utawala huo ghasibu unaotenda jinai kila leo dhidi ya Wapalestina.
-
Spika wa Bunge Kuwait alaani ushiriki wa nchi yake katika mkutano wa Warsaw, Poland
Feb 19, 2019 00:25Spika wa Bunge la Kuwait amekosoa vikali ushiriki wa Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Nchi hiyo katika mkutano wa Warsaw, Poland ambao ulihudhuriwa pia na Benjamin Netanyahu, Waziri Mkuu wa Utawala Haramu wa Israel.
-
Nchi za Kiarabu zaendelea kuipigia magoti Syria, Kuwait pia kurejesha ubalozi Damascus
Dec 29, 2018 04:38Serikali ya Kuwait imefuata nyayo za Umoja wa Falme za Kiarabu na Bahrain na kufungua tena ubalozi wake katika mji mkuu wa Syria, Damascus, baada ya kupita zaidi ya miaka saba tangu ulipoanza mgogoro wa ndani katika nchi hiyo ya Kiarabu.
-
Malengo ya safari ya kwanza nje ya nchi ya Rais wa Iraq huko Kuwait
Nov 12, 2018 09:09Barham Salih, Rais mpya wa Iraq jana Jumapili aliwasili nchini Kuwait ikiwa ni kituo chake cha kwanza katika safari yake ya kieneo ya kuzitembelea nchi kadhaa za Ghuba ya Uajemi.
-
Mgogoro wa mafuta kati ya Saudia na Kuwait waongezeka
Nov 07, 2018 03:44Mkuu wa Shirika la Mafuta la Kuwait, Nizar Mohammed Al-Adsani ameelezea habari ya kuendelea mogoro kati ya nchi hiyo na Saudi Arabia kuhusiana na maeneo yenye utajiri wa mafuta ya Wafra na Al-Khafji.
-
Wabunge wa Kuwait wapinga nchi yao kuwa na uhusiano na utawala haramu wa Israel
Oct 29, 2018 01:06Wawakilishi wa Bunge la Kuwait wamepinga vikali hatua yoyote ya nchi yao ya kutaka kuwa na uhusiano na utawala haramu wa Israel.
-
Wakuwait wakasirishwa na vitisho vya mwanamfalme wa Saudia dhidi ya nchi yao
Oct 15, 2018 01:22Vitisho vya mwanamfalme mmoja wa Saudia juu ya uwezekano wa kutekelezwa operesheni aliyoiita kwa jina la 'Dhoruba ya Maamuzi' nchini Kuwait, vimeibua hasira ya Wakuwait.
-
Jumanne, Juni 19, 2018
Jun 18, 2018 21:50Leo ni Jumanne tarehe 5 Mfunguo Mosi Shawwal 1439 Hijria sawa na 19 Juni, 2018 Milaadia.
-
US yatumia veto kupinga azimio la kutaka kulindwa Wapalestina
Jun 02, 2018 03:18Marekani imetumia kura yake ya turufu kupinga rasimu ya azimio iliyowasilishwa na Kuwait katika Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa, ikitaka kulindwa Wapalestina katika Ukanda wa Ghaza na Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan unaokaliwa kwa mabavu.
-
Rais wa zamani wa Komoro ashikiliwa kifungo cha nyumbani kufuatia kashfa ya pasipoti
May 20, 2018 10:19Rais wa zamani wa Komoro Ahmed Abdallah Mohammad Sambi anashikiliwa katika kifungo cha nyumbani nchini humo baada ya serikali kudai kuwa alihusika katika kashfa ya ufisadi ya kuwauzia wageni uraia.