Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Larijani

  • Iran na China, washirika wa kistratijia barani Asia

    Iran na China, washirika wa kistratijia barani Asia

    Feb 21, 2019 07:01

    Spika wa Majlisi ya Ushauri wa Kiislamu ya Iran (Bunge) na Rais wa China wamesisitiza udharura wa kupanuliwa zaidi ushirikiano wa kistratijia wa nchi hizo mbili.

  • Larijani: Uchaguzi Iran ni hazina muhimu ya demokrasia ya kidini

    Larijani: Uchaguzi Iran ni hazina muhimu ya demokrasia ya kidini

    Feb 06, 2019 02:43

    Spika wa Majilisi ya Ushauri ya Kiislamu (Bunge la Iran) ameutaja uchaguzi hapa nchini kama hazina muhimu ya demokrasia ya kidini.

  • Kiongozi Muadhamu amteua Ayatullah Amoli Larijani kuwa Mkuu wa Halmashauri ya Kuainisha Maslahi ya Mfumo wa Iran

    Kiongozi Muadhamu amteua Ayatullah Amoli Larijani kuwa Mkuu wa Halmashauri ya Kuainisha Maslahi ya Mfumo wa Iran

    Dec 31, 2018 07:05

    Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Sayyed Ali Khamenei amemteua Ayatullah Amoli Larijani kuwa Mkuu mpya wa Halmashauri ya Kuainisha Maslahi ya Mfumo na mjumbe wa jopo la mafakihi katika Baraza la Kulinda Katiba.

  • Larijani: Faili la Syria ni mfano mzuri kwa ajili ya kuyapatia ufumbuzi masuala ya Asia

    Larijani: Faili la Syria ni mfano mzuri kwa ajili ya kuyapatia ufumbuzi masuala ya Asia

    Nov 29, 2018 14:06

    Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu ya Iran (Bunge) amesema kuwa ushirikiano wa Iran, Syria, Russia na Uturuki katika kutatua matatizo mbalimbali ya kieneo ni mfano mzuri kwa ajili ya kuzipatia ufumbuzi kadhia na matatizo mbalimbali ya kiuchumi na kisiasa ya bara la Asia.

  • Larijani: Trump ni mdogo sana, hawezi kuipigisha magoti Iran

    Larijani: Trump ni mdogo sana, hawezi kuipigisha magoti Iran

    Nov 04, 2018 08:10

    Spika wa Majilisi ya Ushauri ya Kiislamu (Bunge la Iran) amesema Rais Donald Trump wa Marekani ni 'mdogo sana' kuweza kufanikiwa kulipigisha magoti taifa la Iran.

  • Larijani: Matatizo ya dunia ni matokeo ya hatua za upande mmoja za Marekani

    Larijani: Matatizo ya dunia ni matokeo ya hatua za upande mmoja za Marekani

    Oct 09, 2018 16:32

    Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu ya Iran amesema matatizo ya dunia ni matokeo ya hatua za upande mmoja za Marekani na amezitaka nchi zote ziungane kukabiliana na hatua za aina hiyo za uvukaji mipaka ya sheria na uchukuaji maamuzi ya upande mmoja.

  • Iran yaitaka jamii ya kimataifa ishirikiane kupambana na sera za kibeberu za US

    Iran yaitaka jamii ya kimataifa ishirikiane kupambana na sera za kibeberu za US

    Oct 09, 2018 07:57

    Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu ya Iran (Bunge) amezitaka nchi za dunia kuimarisha ushirikiano wao ili zifanikiwe kuzikabili sera za kibeberu na za kibabe za Marekani.

  • Dakta Larijani: Iran na Russia zina nafasi kubwa katika vita dhidi ya ugaidi Mashariki ya Kati

    Dakta Larijani: Iran na Russia zina nafasi kubwa katika vita dhidi ya ugaidi Mashariki ya Kati

    Sep 06, 2018 14:28

    Spika wa Bunge la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, Iran na Russia zimekuwa na nafasi muhimu mno katika uga wa kupambana na ugaidi katika eneo la Mashariki ya Kati.

  • Larijani: Matamshi ya Waziri wa Mambo ya Nje wa US yanaonesha hana ukomavu wa kisiasa

    Larijani: Matamshi ya Waziri wa Mambo ya Nje wa US yanaonesha hana ukomavu wa kisiasa

    May 25, 2018 07:04

    Spika wa Majilisi ya Ushauri wa Kiislamu (Bunge la Iran) amesema matamshi yaliyotolewa hivi karibuni na Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu hayana mantiki na yanaonesha kuwa waziri huyo hana ukomavu wa kisiasa.

  • Spika Larijani ataka kuimarishwa uhusiano wa kibiashara wa Iran na Vietnam

    Spika Larijani ataka kuimarishwa uhusiano wa kibiashara wa Iran na Vietnam

    Apr 17, 2018 08:01

    Spika wa Bunge la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, uhusiano wa kibiashara wa Iran na Vietnam unapaswa kustawishwa kama ulivyo uhusiano wa kisiasa kati ya nchi mbili hizo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS