-
Larijani: Kushiriki kwa wingi wananchi katika uchaguzi ni ngao ya ulinzi kwa Iran
May 14, 2017 16:26Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu (Bunge la Iran) amesema kuwa, kujitokeza kwa wingi wananchi katika uchaguzi wa Ijumaa ijayo ya tarehe 19 Mei 2017 kutaipa kinga madhubuti Iran mbele ya vitisho vya maadui.
-
Larijani: Kushiriki kwa wingi wananchi katika uchaguzi ni ngao ya ulinzi kwa Iran
May 14, 2017 12:51Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu (Bunge la Iran) amesema kuwa, kujitokeza kwa wingi wananchi katika uchaguzi wa Ijumaa ijayo ya tarehe 19 Mei 2017 kutaipa kinga madhubuti Iran mbele ya vitisho vya maadui.
-
Larijani: Inafedhehesha nchi za Kiislamu kuafikiana na utawala wa Kizayuni na Marekani kuwaua Waislamu
Apr 20, 2017 07:07Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu (Bunge) ya Iran amesema ni jambo la kufedhehesha kwa baadhi ya nchi za Kiislamu kuafikiana na utawala wa Kizayuni wa Israel na Marekani juu ya kuwavurumizia mabomu ya vishada Waislamu.
-
Larijani: Lengo la makundi ya kigaidi ni kuzusha udini duniani
Apr 11, 2017 15:22Spika wa Majilisi ya Ushauri ya Kiislamu (Bunge la Iran) amelaani vikali mashambulizi ya kigaidi dhidi ya makanisa mawili nchini Misri siku ya Jumapili iliyopita ambapo makumi ya watu waliuawa na wengine wengi kujeruhiwa huku akisisitiza kuwa, lengo la magaidi ni kuzusha mifarakano ya kidini duniani.
-
Larijani: Litaundwa kundi la kuchunguza shambulio la kemikali huko Syria
Apr 09, 2017 07:03Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu ya Iran yaani Bunge amelaani mashambulizi ya makombora ya Marekani huko Syria kwa kisingizio cha kutekelezwa shambulio la kemikali nchini humo na kutaka kuundwa kundi la kuchunguza suala hilo.
-
Larijani: Pentagon, CIA ni wahusika wakuu wa harakati za kigaidi
Apr 02, 2017 03:46Spika wa Bunge la Iran Ali Larijani amelaani uharibifu wa wazi unaofanywa na Marekani Mashariki ya Kati na kusema Washington inahusika na harakati zote za kigaidi.
-
Larijani: Umoja wa kitaifa, suluhu ya migogoro ya Syria, Yemen
Feb 12, 2017 05:04Spika wa Majilisi ya Ushauri ya Kiislamu (Bunge la Iran) amesema njia pekee ya kuipatia ufumbuzi migogoro inayoendelea kushuhudiwa katika nchi za Syria na Yemen ni mshikamano na umoja wa kitaifa.
-
Larijani: Waungaji mkono wa ugaidi hawamo kwenye orodha ya Trump ya marufuku ya viza
Feb 02, 2017 02:52Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu ya Iran amesema nchi zinazounga mkono ugaidi hazimo kwenye orodha ya marufuku ya viza iliyotolewa na Rais wa Marekani.
-
Spika Larijani: Marekani imesibiwa na hali ya kujihofu yenyewe
Jan 29, 2017 07:58Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu ya Iran amesema hatua ya karibuni ya serikali mpya ya Marekani ya kufuta utoaji viza kwa raia wa Iran inadhihirisha udhaifu na uduni wa mitazamo na mwenendo wa viongozi wa serikali hiyo.
-
Larijani: Wafuasi wa dini zote wanatendewa haki nchini Iran
Jan 04, 2017 16:23Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu (Bunge la Iran) amesema kuwa, Katiba ya Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran imefanya uadilifu kwa kuwatendea haki wafuasi wa dini mbalimbali humu nchini.