Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Lebanon

  • Alkhamisi, Aprili 10, 2025

    Alkhamisi, Aprili 10, 2025

    Apr 10, 2025 02:47

    Leo ni Alkhamisi tarehe 11 Mfunguo Mosi Shawwal 1446 Hijria inayosadifiana na tarehe 10 Aprili 2025 Milaadia.

  • Iran yaalani vikali mashambulizi ya Israel dhidi ya Lebanon

    Iran yaalani vikali mashambulizi ya Israel dhidi ya Lebanon

    Apr 02, 2025 07:14

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amelaani vikali mashambulizi ya utawala wa Kizayuni wa Israel katika eneo la Dhahiya katika mji mkuu wa Lebanon, Beirut.

  • Iran yatahadharisha kuhusu athari za vita vya utawala wa Kizayuni dhidi ya Lebanon kwa usalama wa dunia

    Iran yatahadharisha kuhusu athari za vita vya utawala wa Kizayuni dhidi ya Lebanon kwa usalama wa dunia

    Mar 24, 2025 08:36

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ametahadharisha kuhusu taathira za vita vipya vya utawala wa Kizayuni dhidi ya Lebanon kwa usalama na amani ya kimataifa.

  • Amnesty yataka kuchunguzwa jinai za kivita za Israel nchini Lebanon

    Amnesty yataka kuchunguzwa jinai za kivita za Israel nchini Lebanon

    Mar 06, 2025 02:26

    Shirika la kutetea haki za binadamu la Amnesty International limetoa mwito wa kufanyika uchunguzi huru juu ya mashambulizi ya utawala wa Israel dhidi ya vituo vya matibabu, magari ya dharura na wafanyakazi wa afya nchini Lebanon, na kutaja hujuma hizo kama uhalifu wa kivita.

  • Spika wa Bunge la Iran: Trump anataka kuwahamisha watu wa Gaza na kupora  ardhi ya Palestina

    Spika wa Bunge la Iran: Trump anataka kuwahamisha watu wa Gaza na kupora  ardhi ya Palestina

    Feb 24, 2025 07:14

    Spika wa Bunge la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ameashiria mpango wa Rais Donald Trump wa Marekani wa kutaka kuwahamisha kwa nguvu watu wa Gaza na kupora  ardhi ya Palestina na kubainisha kwamba, mpango huo katu haukubaliki.

  • Mwakilishi wa Kiongozi wa Mapinduzi awasalia Mashahidi wa Hizbullah, bahari ya umati wa watu yaifunika Beirut

    Mwakilishi wa Kiongozi wa Mapinduzi awasalia Mashahidi wa Hizbullah, bahari ya umati wa watu yaifunika Beirut

    Feb 23, 2025 14:58

    Sheikh Muhammad Yazbek, Mwakilishi wa Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ameongoza Sala ya Maiti ya kusalia miili ya Mashahidi Sayyid Hassan Nasrullah na Sayyid Hashim Safiyyuddin katika mazishi ya kihistoria yaliyofanyika leo katika mji mkuu wa Lebanon, Beirut.

  • Israel inaendelea kukiuka makubaliano ya kusitisha mapigano Lebanon

    Israel inaendelea kukiuka makubaliano ya kusitisha mapigano Lebanon

    Feb 16, 2025 14:00

    Utawala wa Kizayuni wa Israel umeshambulia kusini mwa Lebanon na kudai kuwa umemuua mmoja wa makamanda wa kikosi cha anga cha Hizbullah.

  • Iran yaonya baada ya Israel kutishia kushambulia ndege yake ya abiria

    Iran yaonya baada ya Israel kutishia kushambulia ndege yake ya abiria

    Feb 15, 2025 07:15

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran, Esmail Baghaei ameukosoa vikali utawala wa Kizayuni wa Israel kwa kutishia kushambulia ndege ya abiria ya Iran iliyokuwa imebeba raia wa Lebanon.

  • Bunge la Libya lalaani njama za Wazayuni za kuwahamisha watu wa Ghaza

    Bunge la Libya lalaani njama za Wazayuni za kuwahamisha watu wa Ghaza

    Feb 09, 2025 10:37

    Bunge la Libya limelaani na kupinga njama za Marekani na Israel za kutaka kuwahamisha wananchi wa Ghaza na kuwapeleka sehemu nyingine nje ya ardhi zao za jadi za Palestina.

  • Lebanon yaunda serikali ya kwanza baada ya zaidi ya miaka miwili

    Lebanon yaunda serikali ya kwanza baada ya zaidi ya miaka miwili

    Feb 09, 2025 07:09

    Lebanon imeunda serikali yake ya kwanza kamili tangu mwaka 2022, wakati huu ambapo nchi hiyo ya Kiarabu inajitahidi kujenga upya eneo lake la kusini lililoharibiwa na vita; na kuhakikisha usalama unarejea baada ya mapigano kati ya Israel na Harakati ya Muqawama ya Hizbullah.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS