-
Amir-Abdollahian aonana na Katibu Mkuu wa Hizbullah na Spika wa Bunge la Lebanon
Sep 01, 2023 12:28Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ameonana na Katibu Mkuu wa Hizbullahi ya Lebanon, Sayyid Hassan Nasrullah na Spika wa Bunge la Lebanon, Nabih Berri.
-
Jenerali Mzayuni: Jeshi la Israel yumkini litaporomoka katika vita vijavyo
Sep 01, 2023 03:05Meja Jenerali mstaafu wa Israel ameonya juu ya uwezekano wa kuangamia jeshi la utawala huo haramu iwapo litajitosa katika vita vipya.
-
Iran yataka kusitishwa mapigano katika kambi ya wakimbizi wa Kipalestina Lebanon
Aug 04, 2023 07:57Msemaji wa Wiziara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema Jamhuri ya Kiislamu inatoa mwito wa kukomeshwa mapigano katika kambi ya wakimbizi wa Kipalestina ya Ain Al-Hilweh nchini Lebanon.
-
Utulivu tete katika kambi ya Ain Al-Hilweh kufuatia matamshi ya Sayyid Hassan Nasrullah
Aug 03, 2023 11:08Utulivu wa kiwango fulani umerejea katika kambi ya wakimbizi wa Kipalestina ya Ain Al-Hilweh nchini Lebanon kufuatia matamshi ya Katibu Mkuu wa Hizbullah, Sayyid Hassan Nasrallah, ya kusisitizia ulazima wa kusitishwa mapigano katika kambi hiyo.
-
Bunge la Lebanon lashindwa tena kumchagua Rais mpya
Jun 15, 2023 02:50Bunge la Lebanon hapo jana lilishindwa tena kumchagua Rais mpya wa nchi hiyo kwa mara ya 12; na kupelekea mkwamo wa kumchagua kiongozi wa juu zaidi nchini humo kuendelea kushuhudiwa.
-
Idi ya muqawama; siku ya jinamizi kwa wavamizi
May 27, 2023 01:39Tarehe 25 Mei mwaka 2000, utawala haramu wa Kizayuni wa Israel ulishindwa vibaya sana kwa kipigo kikali ulichopata kwa Muqawama wa Hizbullah ya Lebanon; na matokeo yake ukalazimika kurudi nyuma na kuondoka kimadhila kusini mwa nchi hiyo. Siku hiyo imekuwa maarufu nchini Lebanon kwa la jina la "Sikukuu ya Muqawama".
-
Waziri Mkuu wa Lebanon: Kuna ulazima wa kuchukua hatua haraka ili kuiokoa nchi
Mar 24, 2023 10:00Waziri Mkuu wa Lebanon Najib Miqati amesema, kuna ulazima wa kuchukuliwa hatua za haraka za kuiokoa nchi hiyo.
-
Nasrullah: Uvamizi wa kijeshi wa Israel dhidi ya Lebanon utajibiwa haraka
Mar 23, 2023 11:03Katibu Mkuu wa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon amepuuzilia mbali vitisho vilivyotolewa hivi karibuni na maafisa wa utawala haramu wa Israel vya kuwepo uwezekano wa kuivamia kijeshi Lebanon na kusisitiza kuwa, uchokozi wowote wa Israel dhidi ya nchi hiyo ya Kiarabu utapata jibu la haraka.
-
Rais Assad: Marekani inazishinikiza nchi nyingi zisiwasaidie waathirika wa tetemeko la ardhi Syria
Feb 09, 2023 13:45Rais Bashar al-Assad wa Syria amefichua kuwa Marekani inatoa mashinikizo kwa nchi zinazotaka kuwasaidia waathirika wa tetemeko la ardhi nchini Syria. Assad ameyasema hayo katika mkutano na ujumbe wa mawaziri kadhaa wa Lebanon.
-
Kuanza tena uchunguzi kuhusu mlipuko wa bandari ya Beirut
Jan 24, 2023 02:23Duru za habari za Lebanon zimetangaza kuwa hakimu anayechunguza kesi ya mlipuko uliotokea mwaka 2020 katika bandari ya Beirut ameamua kuanzisha tena uchunguzi wa kesi hiyo.