-
Juhudi za Waziri Mkuu wa Libya za kuondokana na mgogoro wa kisiasa
Feb 23, 2022 02:30Katika hali ambayo suala la kufanyika uchaguzi nchini Libya limekuwa jinamizi lililoitumbukiza nchi hiyo katika mgogoro wa kisiasa, Waziri Mkuu wa Serikali ya Mpito ametoa pendekezo jipya kwa ajili ya kufanyika uchaguzi wa Bunge katikati ya mwaka huu sambamba na kufanyika kura ya maoni ya katiba ya nchi hiyo.
-
Makundi tofauti ya Libya yaanza mazungumzo ya kuunda serikali ya umoja wa kitaifa
Feb 14, 2022 10:55Waziri Mkuu wa Libya ametangaza habari ya kuanza mazungumzo kuhusu kuundwa Baraza la Mawaziri litakaloshirikisha makundi yote ya nchi hiyo.
-
Mgogoro wa nchi kuwa na serikali mbili wakati mmoja waikumba tena Libya
Feb 13, 2022 04:14Libya imekumbwa tena na mzozo wa kuwa na serikali mbili kwa wakati mmoja baada ya bunge la nchi hiyo kumchagua aliyekuwa waziri wa mambo ya ndani Fat-hi Bashagha kuwa waziri mkuu mpya.
-
Masharti ya Waziri Mkuu wa Libya kwa ajili ya kukabidhi madaraka
Feb 09, 2022 08:03Waziri Mkuu wa Serikali ya Umoja wa Kitaifa ya Libya amesisitiza kuwa baraza lake la mawaziri litaendelea kufanya kazi hadi wakati wa kukabidhiwa madaraka kwa serikali iliyochaguliwa na wananchi.
-
Aliyekuwa mlinzi wa kiongozi wa zamani wa Libya adai, Gaddafi bado yuko hai!
Feb 06, 2022 04:43Afisa wa zamani katika jopo la walinzi wa kiongozi wa zamani wa Libya, Kanali Muammar Gaddafi, Aisha Al-Fitouri, amedai kuwa kiongozi huyo bado yuko hai na kwamba aliyeuawa ni mmoja wa jamaa zake.
-
Waziri wa Sheria wa Libya anusurika kuuawa katika shambulio la watu wenye silaha
Jan 29, 2022 08:16Vyombo vya habari vimetangaza kuwa Waziri wa Sheria wa Libya amenusurika kuuawa katika shambulio la watu wenye silaha lililotokea kwenye barabara ya As-Sawani katika mji mkuu wa nchi hiyo Tripoli.
-
Mjumbe Maalumu wa UN Libya: Kipaumbele kikuu ni maridhiano ya kitaifa
Jan 17, 2022 02:38Mjumbe Maalumu wa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa katika masuala ya Libya amesema kuwa, kipaumbeke kikuu zaidi hivi sasa kuhusu Libya ni kuweko maridhiano ya kitaifa na kusisitiza kuwa wananchi wa Libya hawataki tena vita.
-
Jenerali Haftar, mbabe wa kivita wa Libya aitembelea Israel
Jan 16, 2022 07:54Mbabe wa kivita na jenerali muasi wa Libya Khalifa Haftar ameripotiwa kufanya safari ya siri ya kuutembelea utawala wa Kizayuni wa Israel, huku duru za habari zikieleza kuwa maafisa wa nchi hiyo ya kaskazini mwa Afrika wanaandamwa na mashinikizo ya kuanzisha uhusiano wa kawaida na utawala huo bandia.
-
Waziri Mkuu wa Libya akanusha madai ya kukutana na maafisa wa Israel
Jan 14, 2022 03:05Kaimu Waziri Mkuu wa serikali ya mpito ya umoja wa kitaifa ya Libya amekadhibisha madai kuwa amekutana na kufanya mazungumzo na maafisa wa utawala wa Kizayuni wa Israel.
-
Algeria yaufungua tena ubalozi mdogo nchini Libya
Jan 11, 2022 14:03Algeria imefungua tena ubalozi wake mdogo huko Tripoli mji mkuu wa Libya baada ya kufungwa kwa miaka minane.