Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Libya

  • Wagombea wa Baraza la Urais la Libya watangazwa

    Wagombea wa Baraza la Urais la Libya watangazwa

    Jan 31, 2021 07:43

    Mjumbe wa Umoja wa Mataifa katika masuala ya Libya ametangaza orodha ya wagombea wa Baraza la Urais na kiti cha Waziri Mkuu nchini humo.

  • Maiti 139 zagunduliwa katika makaburi ya umati Libya

    Maiti 139 zagunduliwa katika makaburi ya umati Libya

    Jan 23, 2021 11:52

    Jumla ya maiti 139 zimegunduliwa katika makaburi ya umati katika mji wa Tarhauna, magharibi mwa Libya tokea mwezi Juni mwaka uliopita 2020 hadi sasa.

  • Umoja wa Mataifa watangaza tarehe ya uchaguzi wa Serikali ya Mpito Libya

    Umoja wa Mataifa watangaza tarehe ya uchaguzi wa Serikali ya Mpito Libya

    Jan 22, 2021 11:53

    Ujumbe wa Umoja wa Mataifa nchini Libya umetangaza kuwa, wagombea wa nafasi za uongozi katika serikali mpya ya mpito ya Libya wanatakiwa wajulikane katika kipindi cha wiki moja ijayo ili mwanzoni mwa mwezi ujao wa Februari kupigwe kura ya kuwachagua wagombea hao.

  • Misri yakaribisha mapatano ya Libya kuhusu mchakato wa katiba ya nchi hiyo

    Misri yakaribisha mapatano ya Libya kuhusu mchakato wa katiba ya nchi hiyo

    Jan 21, 2021 11:53

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Misri imekaribisha mapatano yaliyofikiwa na pande za Libya kuhusu mchakato wa katiba ya nchi hiyo.

  • UN yatoa wito wa kurejeshwa operesheni za uokozi baada ya wahajiri 43 kupoteza maisha

    UN yatoa wito wa kurejeshwa operesheni za uokozi baada ya wahajiri 43 kupoteza maisha

    Jan 21, 2021 07:41

    Mashirika ya Umoja wa Mataifa ya uhamiaji IOM na lile la kuhudumia wakimbizi UNHCR yametoa wito kwa nchi kurejesha operesheni za kuwasaka na kuwaokoa watu kwenye bahari ya Mediterania baada ya wahajiri wengine 43 kupoteza maisha katika ajali ya boti iliyotokea siku ya Jumatatu katika pwani ya Libya.

  • Mkuu wa UN ataka askari ajinabi waondoke Libya haraka iwezekavyo

    Mkuu wa UN ataka askari ajinabi waondoke Libya haraka iwezekavyo

    Jan 19, 2021 11:57

    Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa ametaka wanajeshi na mamluki wote wa nchi ajinabi waondoke nchini Libya haraka iwezekanavyo.

  • Uchaguzi wa kwanza nchini Libya mwaka huu wa 2021

    Uchaguzi wa kwanza nchini Libya mwaka huu wa 2021

    Jan 09, 2021 11:22

    Sambamba na juhudi za kidiplomasia zinazofanyika kwa shabaha ya kupata ufumbuzi wa mgogoro wa Libya na hatimaye kufikia mapatano ya kudumu ya kisiasa, kumefanyika uchaguzi wa kwanza wa mabaraza ya miji katika nchi hiyo ya kaskazini mwa Afrika.

  • Russia: waungaji mkono wa Gaddafi wanapasa kushiriki mazungumzo ya Libya

    Russia: waungaji mkono wa Gaddafi wanapasa kushiriki mazungumzo ya Libya

    Jan 05, 2021 02:18

    Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia ameeleza kuwa waungaji mkono wa dikteta wa zamani wa Libya wanapasa kushirikishwa katika mazungumzo ya amani ya nchi hiyo.

  • Walibya wavamia makazi ya kijeshi ya Haftar, wataka kulipiza kisasi dhidi ya mamluki

    Walibya wavamia makazi ya kijeshi ya Haftar, wataka kulipiza kisasi dhidi ya mamluki

    Jan 01, 2021 13:25

    Wakazi wa mji wa Houn katika eneo la al Jufra huko katikati mwa Libya wamefanya maandamano wakitaka kulipiza kisasi kwa mamluki wa kampuni ya Wagner ya Russia na wapiganaji wa kundi la Janjaweed kutoka Sudan wanaolisaidia jeshi la jenerali muasi, Khalifa Haftar baada ya mauaji ya raia kadhaa wa eneo hilo.

  • Misri yaahidi kufungua tena ubalozi wake nchini Libya

    Misri yaahidi kufungua tena ubalozi wake nchini Libya

    Dec 28, 2020 08:10

    Serikali ya Misri imetangaza kuwa, karibuni hivi itafungua tena ubalozi wake katika nchi jirani ya Libya.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS