Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Libya

  • Misri yaionya Uturuki, yasema operesheni dhidi ya mji wa Sirte huko Libya ni hatua hatari sana

    Misri yaionya Uturuki, yasema operesheni dhidi ya mji wa Sirte huko Libya ni hatua hatari sana

    Jul 14, 2020 10:52

    Waziri wa Mambo ya Nchi za Nje wa Misfri amekosoa vikali matamshi yaliyotolewa na mwenzake wa Uturuki kwamba Ankara inajitayarisha kushiriki katika operesheni ya kijeshi katika mji wa Sirte huko Libya na kusema matamshi hayo kuwa ni hatari kubwa.

  • IOM: Wahajiri 2,300 wanazuiliwa katika mazingira ya kuogofya Libya

    IOM: Wahajiri 2,300 wanazuiliwa katika mazingira ya kuogofya Libya

    Jul 14, 2020 08:03

    Shirika la Kimataifa la Wahajiri (IOM) limesema maelfu ya wahajiri wanazuiliwa katika mazingira ya kutisha huko nchini Libya.

  • Algeria yakosoa misimamo ya Jumuiya ya Nchi za Kiarabu kuhusiana na Libya na Syria

    Algeria yakosoa misimamo ya Jumuiya ya Nchi za Kiarabu kuhusiana na Libya na Syria

    Jul 13, 2020 04:08

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Algeria amekosoa misimamo ya Jumuiya ya Nchi za Kiarabu kuhusiana na Libya na Syria.

  • Uturuki: Usitishwaji vita Libya utategemea  Haftar kuafiki kuondoa askari wake

    Uturuki: Usitishwaji vita Libya utategemea Haftar kuafiki kuondoa askari wake

    Jul 12, 2020 14:12

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Uturuki amesema Serikali ya Muafaka wa Kitaifa Libya, inayotambuliwa na Umoja wa Mataifa, itaafiki mpatano ya usitishwaji vita iwapo tu jenerali muasi Khalifa Haftar ataondoa wapiganaji wake walioko maeneo ya kati na magharibi mwa nchi hiyo.

  • Sisitizo la Russia la kupatikana ufumbuzi wa kisiasa wa mgogoro wa Libya

    Sisitizo la Russia la kupatikana ufumbuzi wa kisiasa wa mgogoro wa Libya

    Jul 12, 2020 02:33

    Mgogoro wa kisiasa na vita vya Libya bado vinaendelea sambamba na jitihada zinazofanyika kikanda na kimataifa kwa ajili ya kupatikana ufumbuzi wa mgogoro huo.

  • Wasiwasi wa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa kuhusu kuongezeka uingiliaji wa kigeni nchini Libya

    Wasiwasi wa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa kuhusu kuongezeka uingiliaji wa kigeni nchini Libya

    Jul 10, 2020 02:24

    Vita vya wenyewe kwa wenyewe huko Libya vimechukua sura mpya na tata na hasa kufuatia uamuzi wa wapiganaji wanaojiita Jeshi la Kitaifa la Libya linaloongozwa na jenerali muasi Khalifa Haftar wa kuanzisha hujuma ya kuuteka mji mkuu wa nchi hiyo Tripoli, mnamo mwezi Aprili 2019 na uingiliaji wa nchi za kigeni kwa ajili ya kuziunga mkono pande hasimu katika mgogoro huo.

  • Guterres: Uingiliaji wa kigeni wa hivi sasa Libya haujawahi kushuhudiwa

    Guterres: Uingiliaji wa kigeni wa hivi sasa Libya haujawahi kushuhudiwa

    Jul 09, 2020 15:25

    Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa amesema uingiliaji wa madola ya kigeni katika mgogoro wa Libya unaoshuhudiwa hivi sasa upo katika kiwango ambacho hakijawahi kuonekana tena huko nyuma.

  • Lavrov: Haftar yuko tayari kusaini makubaliano ya kusitisha vita nchini Libya

    Lavrov: Haftar yuko tayari kusaini makubaliano ya kusitisha vita nchini Libya

    Jul 09, 2020 00:11

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia amesema kuwa wanamgambo wa kundi linalojiita Jeshi la Taifa la Libya wako tayari kusaini makubaliano ya kusitisha vita nchini humo.

  • GNA Libya yaapa kujibu mapigo kwa waliokishambulia kituo cha anga cha al-Watiya

    GNA Libya yaapa kujibu mapigo kwa waliokishambulia kituo cha anga cha al-Watiya

    Jul 06, 2020 11:19

    Naibu Waziri wa Ulinzi wa Serikali ya Muafaka wa Kitaifa ya Libya (GNA) amesema, vikosi hivyo vitajibu mapigo katika wakati na mahali mwafaka kwa waliohusika na shambulio dhidi ya kituo cha anga cha al-Watiya.

  • Rais wa Ageria: Libya itakuwa Somalia mpya barani Afrika

    Rais wa Ageria: Libya itakuwa Somalia mpya barani Afrika

    Jul 05, 2020 09:19

    Rais Abdelmadjid Tebboune wa Algeria amesema kuwa, hali inayoshuhudiwa sasa nchini Libya inafanana na ile ya Syria kutokana na nchi kadhaa kuingilia masuala ya ndani ya nchi hiyo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS