-
Waziri Mkuu wa Madagascar amejiuzulu pamoja na baraza lake la mawaziri.
Apr 08, 2016 23:26Taarifa ya kujiuzulu Jean Ravelonarivo Waziri Mkuu wa Madagascar na baraza lake la mawaziri ilitolewa jana Ijumaa na afisa katika ofisi ya rais ambaye hakutoa maelezo yoyote.
-
Watu milioni mbili wanakabiliwa na njaa nchini Madagascar
Feb 13, 2016 04:24Serikali ya Madagascar imetangaza kuwa, watu milioni mbili katika maeneo ya vijijini wanakabiliwa na njaa. Kwa mujibu wa taarifa hiyo, watu milioni moja wanakabiliwa na njaa katika eneo la kusini mwa nchi hiyo kufuatia ukame mkali uliyolikumba eneo hilo.