Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

mafuriko

  • Makumi wapoteza maisha kutokana na athari za mvua Ethiopia

    Makumi wapoteza maisha kutokana na athari za mvua Ethiopia

    May 11, 2016 07:05

    Kwa akali watu 50 wamepoteza maisha kutokana na mafuriko na maporomoko ya ardhi yaliyosababishwa na mvua kubwa zinazoendelea kunyesha nchini Ethiopia.

  • 21 Wathibitishwa kufariki katika jengo lililoporomoka Nairobi

    21 Wathibitishwa kufariki katika jengo lililoporomoka Nairobi

    May 02, 2016 16:56

    Hadi sasa watu 21 wamethibitishwa kupoteza maisha katika jengo lililporomoka kwenye mji mkuu wa Kenya Nairobi siku ya Ijumaa.

  • Gari ilivyosombwa na maji ya mafuriko Kenya

    Gari ilivyosombwa na maji ya mafuriko Kenya

    May 01, 2016 09:22

    Mara nyingi uamuzi wa mtu mwenyewe ndio unaomtumbukiza kwenye matatizo kama ilivyojiri kwa derehe huyu wakati alipojaribu kuvuka daraja lililofunikwa na mafuriko nchini Kenya.

  • Madai ya serikali ya Msumbiji kuhusu usiri katika deni la nchi hiyo

    Madai ya serikali ya Msumbiji kuhusu usiri katika deni la nchi hiyo

    Apr 30, 2016 04:13

    Waziri Mkuu wa Msumbiji amesema kuwa, machafuko nchini humo ndiyo sababu kuu iliyoifanya serikali kuamua kuficha habari kuhusu deni la dola bilioni moja na laki nne la nchi hiyo kwa Mfuko wa Fedha wa Kimataifa IMF.

  • Watu saba wapoteza maisha kufuatia mvua kali Nairobi

    Watu saba wapoteza maisha kufuatia mvua kali Nairobi

    Apr 30, 2016 04:07

    Watu saba wanaripotiwa kupoteza maisha siku ya Ijumaa katika mji mkuu wa Kenya, Nairobi kufuatia mvua kali zinazoendelea mjini humo.

  • Mvua kubwa yaendelea kunyesha Afrika Mashariki; baadhi ya maeneo ya Kenya na Tanzania yakumbwa na mafuriko

    Mvua kubwa yaendelea kunyesha Afrika Mashariki; baadhi ya maeneo ya Kenya na Tanzania yakumbwa na mafuriko

    Apr 29, 2016 07:22

    Mvua kubwa inayoendelea kunyesha katika ukanda wa Afrika Mashariki imesababisha vifo, hasara na mali na mafuriko katika nchi za Kenya na Tanzania.

  • Mafuriko yaua watu wawili Tanzania

    Mafuriko yaua watu wawili Tanzania

    Apr 15, 2016 07:49

    Watu wawili wamethibitishwa kufariki dunia na mamia ya wengine kuachwa bila makao baada ya mvua kubwa kunyesha kwa wiki moja katika wilaya ya Kyela, kusini magharibi mwa Tanzania.

Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS