Gari ilivyosombwa na maji ya mafuriko Kenya
May 01, 2016 04:52 UTC
Mara nyingi uamuzi wa mtu mwenyewe ndio unaomtumbukiza kwenye matatizo kama ilivyojiri kwa derehe huyu wakati alipojaribu kuvuka daraja lililofunikwa na mafuriko nchini Kenya.
Tags